Ravinder Kaushik ''Black Tiger'' : Jasusi mbobezi aliyefia jela ya ugenini

Ravinder Kaushik ''Black Tiger'' : Jasusi mbobezi aliyefia jela ya ugenini

Military Grade Weapons huwa zinanunuliwa na watu binafsi kupitia Black Market ili kukwepa mkono wa sheria pindi wanakamatwa na vyombo vya Usalama. Kwasababu kuna mikataba ya kimataifa ambayo inazuia kabisa uuzwaji holela wa silaha za kivita.
Ina maana kuna watu wanamiliki F-16 kwenye backyard zao!!.. Ila nikirelate na hawa Oath Keepers na 3 percenters naona ikitokea ww3 then itakapoisha bila mshindi basi yale tunayoyaona kwenye movie yatakuwa real!.
Kama mtu anaweza kumiliki a piece of technology kama ile basi ataweza jimilikisha kipande cha ardhi na yeye akawa baron!.
Mfano hawa Oath Keepers wenyewe kuna jamaa anaitwa Stewart Rhodes alianzisha kundi mwaka 2009 anakwambia motive yao ni kuilinda Katiba ya marekani toka kwa serikali na jeshi ina maana wao ni jeshi ndani ya marekani. Na hao oath keepers wapo hadi wanajeshi wastaafu, waliopo on duty, polisi, fire fighters, national guards etc!.
Polisi wenyewe wa Marekani wanawaogopa, kuna kesi flani ilitokea mwenzao mmoja alitakiwa fungwa na mahakama wakazuia hakuna kumkamata!. Sasa kwa hali hiyo ina maana huyu Rodhes anawezekana akawa na vifaa vya kivita kaweka na inawezekana kuna wakubwa wanampa sapoti pia!.
 
Huwa kuna viapo vya awali ambavyo sometimes ukikamatwa the country remains with nothing to do with you. So, the best solution ni kujizuia kutokukamatwa!
 
Nina hofu nchi jirani zimepenyeza sana watu wake wa usalama Tanzania...na wengine ni watu wakubwa sana na wenye vyeo na madaraka makubwa..Kenya, Rwanda, Uganda na Malawi hawakosi
 
Ina maana kuna watu wanamiliki F-16 kwenye backyard zao!!.. Ila nikirelate na hawa Oath Keepers na 3 percenters naona ikitokea ww3 then itakapoisha bila mshindi basi yale tunayoyaona kwenye movie yatakuwa real!.
Kama mtu anaweza kumiliki a piece of technology kama ile basi ataweza jimilikisha kipande cha ardhi na yeye akawa baron!.
Mfano hawa Oath Keepers wenyewe kuna jamaa anaitwa Stewart Rhodes alianzisha kundi mwaka 2009 anakwambia motive yao ni kuilinda Katiba ya marekani toka kwa serikali na jeshi ina maana wao ni jeshi ndani ya marekani. Na hao oath keepers wapo hadi wanajeshi wastaafu, waliopo on duty, polisi, fire fighters, national guards etc!.
Polisi wenyewe wa Marekani wanawaogopa, kuna kesi flani ilitokea mwenzao mmoja alitakiwa fungwa na mahakama wakazuia hakuna kumkamata!. Sasa kwa hali hiyo ina maana huyu Rodhes anawezekana akawa na vifaa vya kivita kaweka na inawezekana kuna wakubwa wanampa sapoti pia!.

Moja ya Changamoto kubwa sana kwenye mambo ya vita katika Karne hii ya 21 ni haya Majeshi binafsi, kwa lugha ya kitaalamu wanasema PRIVATIZATION OF THE MILITARY. Imefikia kipindi Serikali hazitumi tena wanajeshi wake na majasusi wake bali zinaajiri makampuni binafsi kufanya hizo kazi za kijeshi: Sasa kama makampuni binafsi yanaenda kufanya shughuli kubwa unategemea hawatakuwa na silaha nzito kweli ??? Kibaya zaidi ni kwamba Sheria za vita zilitengenezwa kwa kuwalenga wanajeshi wa nchi, makundi ya wadai uhuru na makundi ya waasi lakini hazikuyalenga haya makampuni binafsi ya ulinzi. Mfano kuna mikataba ya kimataifa inayohusu Vita inaitwa The GENEVA CONVENTION ya mwaka 1949, hii imewagusa tu wanajeshi wa nchi husika. Mpaka sasa hakuna Sheria au Mkataba wa kimataifa ambao umetengenezwa ili kuyabana haya makampuni binafsi ya Ulinzi ambayo yanaweza kumiliki silaha nzito.

Hapa kuna hatari kubwa kwasababu hizi silaha na teknolojia zinaweza kuangukia kwenye mikono ya magaidi na wakafanya mambo ya ajabu msiamini. Hivi kama wale BLACK WATERS wanapigana na wanajeshi wa Iraq na kuwaua unadhani hao watu wana silaha ndogo kweli ??? Tatizo hili la watu binafsi kumiliki silaha au jeshi madhara yake tumeyaona sana katika historia. Nchini Uchina miaka mia kadha iliyopita kulikuwa na wafanyabiashara "Merchants" ambao walikuja kupata pesa nyingi sana na wakaanza kumiliki vikosi vikubwa vya wanajeshi wao, hili lilipelekea ufalme wa Uchina kuwa katika vita zisizoisha hadi wakajikuta wamechelewa sana kwenye maendeleo.

Ushahidi mwingine ni K.G.B na Interpol,
Baada ya Urusi kuanguka majasusi wengi waliajiriwa na makundi ya kimafia ambayo mengi yao yalikuwa yanahusika na biashara haramu ya silaha nzito. Kuna jasusi wa K.G.B alikuwa anaitwa Victor Anatoliyevich Bout a.k.a Africa's Merchant of Death. Yeye alikuwa anachukua silaha nzito za kivita kutoka nchi zilizokuwa zinaunda Jumuiya ya kisovieti na kule sehemu kama Congo DRC, Sierra Leone, Angola, Rwanda, Burundi na kwingineko. Kibaya zaidi ni kwamba silaha nyingi zilikuwa zinapitia Bandari ya Dar es Salaam na Mombasa na baadhi ya wakubwa walikuwa wanajua na kushiriki kabisa. Nchi kama Uchina, Iran, India na Korea Kaskazini zilitumia huu mwanya kununua teknolojia nzito kutoka Urusi kupitia watu binafsi.
Sasa hii michezo yote michafu inafanywa kupitia BLACK MARKET kwasababu kukamatwa ni ngumu, hakuna kodi yoyote ile na mataifa mengi yanajihakikishia usiri mkubwa juu ya taarifa zao za manunuzi ya silaha. Yaani ni hatari sana haya makundi ya watu binafsi yanapoanza kufanya biashara za Vita na Ulinzi bila kuwepo na Mikataba maalumu ya kuwabana.

Hebu usiangalie tu kwenye vita ya hizi silaha la Kimakenika bali angali kwenye ulimwengu wa kimtandao sasa "THE WORLD OF CYBER SPACE" ambayo ni sehemu mbaya sana na hatari kuliko zote kwasasa. Watu wanasema INTERNET KNOWS NO BOUNDARIES. Hakuna sheria madhubuti ambayo imejaribu kuzungumzia hatari za mtandao kwenye mambo ya Usalama, NATO peke yao ndiyo walijitahidi kuaandaa THE TALLINN MANUAL inayozungumzia haya mambo. Lakini kuna makampuni makubwa sana ya kimtandao siku hizi, yanaajiri wasomi na wataalamu mbali mbali duniani kote. Yanaweza yakafanya vita ya kimtandao na kusababisha madhara makubwa sana kwa dunia. Hebu angalia makampuni kama GOOGLE, MICROSOFT, FACEBOOK, KASPERSKY na mengineyo jinsi ambavyo yana teknolojia kubwa sana kuliko hata nchi ya Tanzania na vyombo vyake vya Usalama (Haya ni makampuni binafsi). Ushahidi wa hili ni kipindi kile GOOGLE MAPS zimeingia, tulikuwa tunaweza hata kuangalia ramani nzima ya kambi ya jeshi ya LUGALO bure kabisaa.

Binafsi naona shirika kama hili kwa dunia yetu ya sasa ni hatari kuliko wale wanaomiliki RAPTORS au SUKHOI. Tumeona juzi Mark Zuckerberg kapata kashfa ya kuuza taarifa za wateja wake kwa wanasiasa. Nasikia GOOGLE nao wanauza kwa siri taarifa za watumiaji wao (Mimi na wewe) kwa makampuni mengine ya Urembo, Magari, Ngono na muziki ili yaweze kujua mwelekeo wa soko umekaaje. Sasa jiulize kama Tanzania inaingia kwenye Vita na baadhi ya mataifa au makundi ya Kigaidi halafu wakaamua kwenda Google kununua taarifa zao kuhusu Tanzania unadhani nini kitawazuia kuuza ??? Maana katika ubepari haya Makampuni yanachoangalia ni kupata faida kwa gharama yoyote ile.

NB: Mkuu pia usisahahu kwamba mpaka sasa Marekani imeshindwa kuyadhibiti hata makampuni makubwa ya Ulinzi, Silaha na Mafuta. Tumeona jinsi ambavyo makampuni makubwa ya mafuta kama Halliburton na Exxon Mobil yanawachezea wanasiasa wa Marekani ili kufanya migogoro nao wapate faida kubwa. Mfano hai kabisa Vita vya Iraq viliumiza sana Uchumi wa Marekani lakini kampuni la Mafuta la Halliburton lilipata faida mara tano na soko lake la hisa lilipanda balaa. Ukisoma vitabu kama MIDNIGHT IN THE AMERICAN EMPIRE na THE MERCHANTS OF DEATH haya yote kuhusiana na hizi hatari za makampuni binafsi kumiliki nguvu kubwa ya kijeshi. Leo hii kampuni la Exxon Mobil alikokuwepo Rex Tillerson kuna kitengi cha Intellijensia kinafanya kazi kama ambavyo TISS inafanya kwa Tanzania au CIA kwa Marekani. Sasa na jinsi walivyokuwa na pesa sidhani kama leo wakiamua kupigana na nchi kama Tanzania, Kenya, Uganda au Congo DRC tunaweza kushindana nao kwa Urahisi.

Hapa kuna hatari kubwa sana huko mbeleni,
Hapo bado hujagusa makampuni makubwa binafsi ya madawa kama Pfizer, Monsanto, Syngenta, NYSE na mengineyo ambayo mbali tu na kututengenezea madawa yanafanya tafiti hatari sana za silaha za kibaolojia na kuziuzia Serikali zao.
Miaka nyuma kadhaa niliwahi kushirikishwa kwenye tafiti moja inayohusiana na BIO-PIRACY barani Africa nikapewa niwaandikie wale walimu wangu baadhi ya vitu. Ndipo nikapata bahati ya kusoma nyaraka zinazohusu umafia ambao Africa tunafanyiwa na haya makampuni nikabaki nasikitika tu.....

CC: Red Giant , Consigliere, Nalendwa , SirChief , Prof, chige , Maalim Shewedy ,neo1
 
Wakati tunasoma Kantalamba Sumbawanga kulikuwa na bango kubwa lenyeaandishi yasemayo. ASK NOT WHAT THE COUNTRY WILL FOR YOU BUT ASK WHAT YOU WIL DO FOR YOUR COUNTRY. Tujiulize tutaifanyia nini nchi yetu na tuache legacy kwa generation zijazo. Hiyo ilikuwa ndoo kazi niipendayo kuliko zote Mungu hakunialia tu. Ninapenda mpaka leo nife shahidi nikiitetea Tanzania sijui kwa nini
 
Moja ya Changamoto kubwa sana kwenye mambo ya vita katika Karne hii ya 21 ni haya Majeshi binafsi, kwa lugha ya kitaalamu wanasema PRIVATIZATION OF THE MILITARY. Imefikia kipindi Serikali hazitumi tena wanajeshi wake na majasusi wake bali zinaajiri makampuni binafsi kufanya hizo kazi za kijeshi: Sasa kama makampuni binafsi yanaenda kufanya shughuli kubwa unategemea hawatakuwa na silaha nzito kweli ??? Kibaya zaidi ni kwamba Sheria za vita zilitengenezwa kwa kuwalenga wanajeshi wa nchi, makundi ya wadai uhuru na makundi ya waasi lakini hazikuyalenga haya makampuni binafsi ya ulinzi. Mfano kuna mikataba ya kimataifa inayohusu Vita inaitwa The GENEVA CONVENTION ya mwaka 1949, hii imewagusa tu wanajeshi wa nchi husika. Mpaka sasa hakuna Sheria au Mkataba wa kimataifa ambao umetengenezwa ili kuyabana haya makampuni binafsi ya Ulinzi ambayo yanaweza kumiliki silaha nzito.

Hapa kuna hatari kubwa kwasababu hizi silaha na teknolojia zinaweza kuangukia kwenye mikono ya magaidi na wakafanya mambo ya ajabu msiamini. Hivi kama wale BLACK WATERS wanapigana na wanajeshi wa Iraq na kuwaua unadhani hao watu wana silaha ndogo kweli ??? Tatizo hili la watu binafsi kumiliki silaha au jeshi madhara yake tumeyaona sana katika historia. Nchini Uchina miaka mia kadha iliyopita kulikuwa na wafanyabiashara "Merchants" ambao walikuja kupata pesa nyingi sana na wakaanza kumiliki vikosi vikubwa vya wanajeshi wao, hili lilipelekea ufalme wa Uchina kuwa katika vita zisizoisha hadi wakajikuta wamechelewa sana kwenye maendeleo.

Ushahidi mwingine ni K.G.B na Interpol,
Baada ya Urusi kuanguka majasusi wengi waliajiriwa na makundi ya kimafia ambayo mengi yao yalikuwa yanahusika na biashara haramu ya silaha nzito. Kuna jasusi wa K.G.B alikuwa anaitwa Victor Anatoliyevich Bout a.k.a Africa's Merchant of Death. Yeye alikuwa anachukua silaha nzito za kivita kutoka nchi zilizokuwa zinaunda Jumuiya ya kisovieti na kule sehemu kama Congo DRC, Sierra Leone, Angola, Rwanda, Burundi na kwingineko. Kibaya zaidi ni kwamba silaha nyingi zilikuwa zinapitia Bandari ya Dar es Salaam na Mombasa na baadhi ya wakubwa walikuwa wanajua na kushiriki kabisa. Nchi kama Uchina, Iran, India na Korea Kaskazini zilitumia huu mwanya kununua teknolojia nzito kutoka Urusi kupitia watu binafsi.
Sasa hii michezo yote michafu inafanywa kupitia BLACK MARKET kwasababu kukamatwa ni ngumu, hakuna kodi yoyote ile na mataifa mengi yanajihakikishia usiri mkubwa juu ya taarifa zao za manunuzi ya silaha. Yaani ni hatari sana haya makundi ya watu binafsi yanapoanza kufanya biashara za Vita na Ulinzi bila kuwepo na Mikataba maalumu ya kuwabana.

Hebu usiangalie tu kwenye vita ya hizi silaha la Kimakenika bali angali kwenye ulimwengu wa kimtandao sasa "THE WORLD OF CYBER SPACE" ambayo ni sehemu mbaya sana na hatari kuliko zote kwasasa. Watu wanasema INTERNET KNOWS NO BOUNDARIES. Hakuna sheria madhubuti ambayo imejaribu kuzungumzia hatari za mtandao kwenye mambo ya Usalama, NATO peke yao ndiyo walijitahidi kuaandaa THE TALLINN MANUAL inayozungumzia haya mambo. Lakini kuna makampuni makubwa sana ya kimtandao siku hizi, yanaajiri wasomi na wataalamu mbali mbali duniani kote. Yanaweza yakafanya vita ya kimtandao na kusababisha madhara makubwa sana kwa dunia. Hebu angalia makampuni kama GOOGLE, MICROSOFT, FACEBOOK, KASPERSKY na mengineyo jinsi ambavyo yana teknolojia kubwa sana kuliko hata nchi ya Tanzania na vyombo vyake vya Usalama (Haya ni makampuni binafsi). Ushahidi wa hili ni kipindi kile GOOGLE MAPS zimeingia, tulikuwa tunaweza hata kuangalia ramani nzima ya kambi ya jeshi ya LUGALO bure kabisaa.

Binafsi naona shirika kama hili kwa dunia yetu ya sasa ni hatari kuliko wale wanaomiliki RAPTORS au SUKHOI. Tumeona juzi Mark Zuckerberg kapata kashfa ya kuuza taarifa za wateja wake kwa wanasiasa. Nasikia GOOGLE nao wanauza kwa siri taarifa za watumiaji wao (Mimi na wewe) kwa makampuni mengine ya Urembo, Magari, Ngono na muziki ili yaweze kujua mwelekeo wa soko umekaaje. Sasa jiulize kama Tanzania inaingia kwenye Vita na baadhi ya mataifa au makundi ya Kigaidi halafu wakaamua kwenda Google kununua taarifa zao kuhusu Tanzania unadhani nini kitawazuia kuuza ??? Maana katika ubepari haya Makampuni yanachoangalia ni kupata faida kwa gharama yoyote ile.

NB: Mkuu pia usisahahu kwamba mpaka sasa Marekani imeshindwa kuyadhibiti hata makampuni makubwa ya Ulinzi, Silaha na Mafuta. Tumeona jinsi ambavyo makampuni makubwa ya mafuta kama Halliburton na Exxon Mobil yanawachezea wanasiasa wa Marekani ili kufanya migogoro nao wapate faida kubwa. Mfano hai kabisa Vita vya Iraq viliumiza sana Uchumi wa Marekani lakini kampuni la Mafuta la Halliburton lilipata faida mara tano na soko lake la hisa lilipanda balaa. Ukisoma vitabu kama MIDNIGHT IN THE AMERICAN EMPIRE na THE MERCHANTS OF DEATH haya yote kuhusiana na hizi hatari za makampuni binafsi kumiliki nguvu kubwa ya kijeshi. Leo hii kampuni la Exxon Mobil alikokuwepo Rex Tillerson kuna kitengi cha Intellijensia kinafanya kazi kama ambavyo TISS inafanya kwa Tanzania au CIA kwa Marekani. Sasa na jinsi walivyokuwa na pesa sidhani kama leo wakiamua kupigana na nchi kama Tanzania, Kenya, Uganda au Congo DRC tunaweza kushindana nao kwa Urahisi.

Hapa kuna hatari kubwa sana huko mbeleni,
Hapo bado hujagusa makampuni makubwa binafsi ya madawa kama Pfizer, Monsanto, Syngenta, NYSE na mengineyo ambayo mbali tu na kututengenezea madawa yanafanya tafiti hatari sana za silaha za kibaolojia na kuziuzia Serikali zao.
Miaka nyuma kadhaa niliwahi kushirikishwa kwenye tafiti moja inayohusiana na BIO-PIRACY barani Africa nikapewa niwaandikie wale walimu wangu baadhi ya vitu. Ndipo nikapata bahati ya kusoma nyaraka zinazohusu umafia ambao Africa tunafanyiwa na haya makampuni nikabaki nasikitika tu.....

CC: Red Giant , Consigliere
Analysis yako ina mantiki kubwa
 
Huwa kuna viapo vya awali ambavyo sometimes ukikamatwa the country remains with nothing to do with you. So, the best solution ni kujizuia kutokukamatwa!

Well and good for the country not to get involved with u..lakini hakuna recognition ya hawa fallen agents hasa kwa wale waliolitumikia taifa kwa uadilifu na utiifu ???
 
Nina hofu nchi jirani zimepenyeza sana watu wake wa usalama Tanzania...na wengine ni watu wakubwa sana na wenye vyeo na madaraka makubwa..Kenya, Rwanda, Uganda na Malawi hawakosi
Kama dunia inavyoendelea kuzunguka jua bila kusimama ndivyo ilivyo kwa uchunguzi na udukuzi baina ya mataifa.Hii ni katika nyanja zote kielimu,kibiashara,kijamii na hata kiimani !
 
Moja ya Changamoto kubwa sana kwenye mambo ya vita katika Karne hii ya 21 ni haya Majeshi binafsi, kwa lugha ya kitaalamu wanasema PRIVATIZATION OF THE MILITARY. Imefikia kipindi Serikali hazitumi tena wanajeshi wake na majasusi wake bali zinaajiri makampuni binafsi kufanya hizo kazi za kijeshi: Sasa kama makampuni binafsi yanaenda kufanya shughuli kubwa unategemea hawatakuwa na silaha nzito kweli ??? Kibaya zaidi ni kwamba Sheria za vita zilitengenezwa kwa kuwalenga wanajeshi wa nchi, makundi ya wadai uhuru na makundi ya waasi lakini hazikuyalenga haya makampuni binafsi ya ulinzi. Mfano kuna mikataba ya kimataifa inayohusu Vita inaitwa The GENEVA CONVENTION ya mwaka 1949, hii imewagusa tu wanajeshi wa nchi husika. Mpaka sasa hakuna Sheria au Mkataba wa kimataifa ambao umetengenezwa ili kuyabana haya makampuni binafsi ya Ulinzi ambayo yanaweza kumiliki silaha nzito.

Hapa kuna hatari kubwa kwasababu hizi silaha na teknolojia zinaweza kuangukia kwenye mikono ya magaidi na wakafanya mambo ya ajabu msiamini. Hivi kama wale BLACK WATERS wanapigana na wanajeshi wa Iraq na kuwaua unadhani hao watu wana silaha ndogo kweli ??? Tatizo hili la watu binafsi kumiliki silaha au jeshi madhara yake tumeyaona sana katika historia. Nchini Uchina miaka mia kadha iliyopita kulikuwa na wafanyabiashara "Merchants" ambao walikuja kupata pesa nyingi sana na wakaanza kumiliki vikosi vikubwa vya wanajeshi wao, hili lilipelekea ufalme wa Uchina kuwa katika vita zisizoisha hadi wakajikuta wamechelewa sana kwenye maendeleo.

Ushahidi mwingine ni K.G.B na Interpol,
Baada ya Urusi kuanguka majasusi wengi waliajiriwa na makundi ya kimafia ambayo mengi yao yalikuwa yanahusika na biashara haramu ya silaha nzito. Kuna jasusi wa K.G.B alikuwa anaitwa Victor Anatoliyevich Bout a.k.a Africa's Merchant of Death. Yeye alikuwa anachukua silaha nzito za kivita kutoka nchi zilizokuwa zinaunda Jumuiya ya kisovieti na kule sehemu kama Congo DRC, Sierra Leone, Angola, Rwanda, Burundi na kwingineko. Kibaya zaidi ni kwamba silaha nyingi zilikuwa zinapitia Bandari ya Dar es Salaam na Mombasa na baadhi ya wakubwa walikuwa wanajua na kushiriki kabisa. Nchi kama Uchina, Iran, India na Korea Kaskazini zilitumia huu mwanya kununua teknolojia nzito kutoka Urusi kupitia watu binafsi.
Sasa hii michezo yote michafu inafanywa kupitia BLACK MARKET kwasababu kukamatwa ni ngumu, hakuna kodi yoyote ile na mataifa mengi yanajihakikishia usiri mkubwa juu ya taarifa zao za manunuzi ya silaha. Yaani ni hatari sana haya makundi ya watu binafsi yanapoanza kufanya biashara za Vita na Ulinzi bila kuwepo na Mikataba maalumu ya kuwabana.

Hebu usiangalie tu kwenye vita ya hizi silaha la Kimakenika bali angali kwenye ulimwengu wa kimtandao sasa "THE WORLD OF CYBER SPACE" ambayo ni sehemu mbaya sana na hatari kuliko zote kwasasa. Watu wanasema INTERNET KNOWS NO BOUNDARIES. Hakuna sheria madhubuti ambayo imejaribu kuzungumzia hatari za mtandao kwenye mambo ya Usalama, NATO peke yao ndiyo walijitahidi kuaandaa THE TALLINN MANUAL inayozungumzia haya mambo. Lakini kuna makampuni makubwa sana ya kimtandao siku hizi, yanaajiri wasomi na wataalamu mbali mbali duniani kote. Yanaweza yakafanya vita ya kimtandao na kusababisha madhara makubwa sana kwa dunia. Hebu angalia makampuni kama GOOGLE, MICROSOFT, FACEBOOK, KASPERSKY na mengineyo jinsi ambavyo yana teknolojia kubwa sana kuliko hata nchi ya Tanzania na vyombo vyake vya Usalama (Haya ni makampuni binafsi). Ushahidi wa hili ni kipindi kile GOOGLE MAPS zimeingia, tulikuwa tunaweza hata kuangalia ramani nzima ya kambi ya jeshi ya LUGALO bure kabisaa.

Binafsi naona shirika kama hili kwa dunia yetu ya sasa ni hatari kuliko wale wanaomiliki RAPTORS au SUKHOI. Tumeona juzi Mark Zuckerberg kapata kashfa ya kuuza taarifa za wateja wake kwa wanasiasa. Nasikia GOOGLE nao wanauza kwa siri taarifa za watumiaji wao (Mimi na wewe) kwa makampuni mengine ya Urembo, Magari, Ngono na muziki ili yaweze kujua mwelekeo wa soko umekaaje. Sasa jiulize kama Tanzania inaingia kwenye Vita na baadhi ya mataifa au makundi ya Kigaidi halafu wakaamua kwenda Google kununua taarifa zao kuhusu Tanzania unadhani nini kitawazuia kuuza ??? Maana katika ubepari haya Makampuni yanachoangalia ni kupata faida kwa gharama yoyote ile.

NB: Mkuu pia usisahahu kwamba mpaka sasa Marekani imeshindwa kuyadhibiti hata makampuni makubwa ya Ulinzi, Silaha na Mafuta. Tumeona jinsi ambavyo makampuni makubwa ya mafuta kama Halliburton na Exxon Mobil yanawachezea wanasiasa wa Marekani ili kufanya migogoro nao wapate faida kubwa. Mfano hai kabisa Vita vya Iraq viliumiza sana Uchumi wa Marekani lakini kampuni la Mafuta la Halliburton lilipata faida mara tano na soko lake la hisa lilipanda balaa. Ukisoma vitabu kama MIDNIGHT IN THE AMERICAN EMPIRE na THE MERCHANTS OF DEATH haya yote kuhusiana na hizi hatari za makampuni binafsi kumiliki nguvu kubwa ya kijeshi. Leo hii kampuni la Exxon Mobil alikokuwepo Rex Tillerson kuna kitengi cha Intellijensia kinafanya kazi kama ambavyo TISS inafanya kwa Tanzania au CIA kwa Marekani. Sasa na jinsi walivyokuwa na pesa sidhani kama leo wakiamua kupigana na nchi kama Tanzania, Kenya, Uganda au Congo DRC tunaweza kushindana nao kwa Urahisi.

Hapa kuna hatari kubwa sana huko mbeleni,
Hapo bado hujagusa makampuni makubwa binafsi ya madawa kama Pfizer, Monsanto, Syngenta, NYSE na mengineyo ambayo mbali tu na kututengenezea madawa yanafanya tafiti hatari sana za silaha za kibaolojia na kuziuzia Serikali zao.
Miaka nyuma kadhaa niliwahi kushirikishwa kwenye tafiti moja inayohusiana na BIO-PIRACY barani Africa nikapewa niwaandikie wale walimu wangu baadhi ya vitu. Ndipo nikapata bahati ya kusoma nyaraka zinazohusu umafia ambao Africa tunafanyiwa na haya makampuni nikabaki nasikitika tu.....

CC: Red Giant , Consigliere, Nalendwa , SirChief , Prof, chige , Maalim Shewedy ,neo1

Mkuu Lumuba you couldn't be more clearer.Umenifanya nijikumbushe kuhusu tukio moja lililoripotiwa kwa wingi zaidi ingawa kuna matukio mengine mengi ambayo ama hayaripotiwi kabisa au yanaripotiwa kwa uchache mno.THE NISOOR SQUARE MASSACRE ilitekelezwa na hii kampuni ya BlackWater na kusababisha vifo kwa wananchi wengi wakiwa ni kina mama na watoto.Kampuni hii imekuwa mshiriki mkubwa wa Marekani katika kampeni za kivita tokea Afghanistan hata Iraq.

Kuna changamoto kubwa kimiongozo na kisheria kwa kuwa hivi vikundi / kampuni hayabanwi popote pale. 'They operate in a legal vacuum ' na hata wanapokuwa field ni rahisi mno kubadilika kutoka kuwa inactive/passive na kuwa active and offensive.Ni hatari kwa wananchi wa kawaida na hata jumuia ya kimataifa pia.
 
Mkuu Lumuba you couldn't be more clearer.Umenifanya nijikumbushe kuhusu tukio moja lililoripotiwa kwa wingi zaidi ingawa kuna matukio mengine mengi ambayo ama hayaripotiwi kabisa au yanaripotiwa kwa uchache mno.THE NISOOR SQUARE MASSACRE ilitekelezwa na hii kampuni ya BlackWater na kusababisha vifo kwa wananchi wengi wakiwa ni kina mama na watoto.Kampuni hii imekuwa mshiriki mkubwa wa Marekani katika kampeni za kivita tokea Afghanistan hata Iraq.

Kuna changamoto kubwa kimiongozo na kisheria kwa kuwa hivi vikundi / kampuni hayabanwi popote pale. 'They operate in a legal vacuum ' na hata wanapokuwa field ni rahisi mno kubadilika kutoka kuwa inactive/passive na kuwa active and offensive.Ni hatari kwa wananchi wa kawaida na hata jumuia ya kimataifa pia.

Naam Naam Mkuu Dumbuya nafurahi kuona umeelewa kabiaa hii changamoto tuliyonayo. Umeongea msemo mzuri sana "They Operate in a Legal Vacuum" kwasababu kwenye uwanja wa vita wanaingia kama raia wa kawaida lakini hubadilika ghafla na kuanza kuwa wanajeshi kinyume kabisa cha sheria. Kisheria tunasema Direct Participation in Hostilities (DPH). Montreaux Convention imeyazungumzia tu haya makampuni kama raia wa kawaida na kusema kuwa kazi zao ni zile za kulinda Convoy, kusaidia kurekebisha silaha na ushauri wa kitaalamu kazi zote ambazo ni Indirect Participation in Hostilities. Lakini cha kushangaza hawa mamluki wakiingia huanza kufanya kazi kama wanajeshi wengine.. Balaa tupu.!
 
Salute mkuu
Moja ya Changamoto kubwa sana kwenye mambo ya vita katika Karne hii ya 21 ni haya Majeshi binafsi, kwa lugha ya kitaalamu wanasema PRIVATIZATION OF THE MILITARY. Imefikia kipindi Serikali hazitumi tena wanajeshi wake na majasusi wake bali zinaajiri makampuni binafsi kufanya hizo kazi za kijeshi: Sasa kama makampuni binafsi yanaenda kufanya shughuli kubwa unategemea hawatakuwa na silaha nzito kweli ??? Kibaya zaidi ni kwamba Sheria za vita zilitengenezwa kwa kuwalenga wanajeshi wa nchi, makundi ya wadai uhuru na makundi ya waasi lakini hazikuyalenga haya makampuni binafsi ya ulinzi. Mfano kuna mikataba ya kimataifa inayohusu Vita inaitwa The GENEVA CONVENTION ya mwaka 1949, hii imewagusa tu wanajeshi wa nchi husika. Mpaka sasa hakuna Sheria au Mkataba wa kimataifa ambao umetengenezwa ili kuyabana haya makampuni binafsi ya Ulinzi ambayo yanaweza kumiliki silaha nzito.

Hapa kuna hatari kubwa kwasababu hizi silaha na teknolojia zinaweza kuangukia kwenye mikono ya magaidi na wakafanya mambo ya ajabu msiamini. Hivi kama wale BLACK WATERS wanapigana na wanajeshi wa Iraq na kuwaua unadhani hao watu wana silaha ndogo kweli ??? Tatizo hili la watu binafsi kumiliki silaha au jeshi madhara yake tumeyaona sana katika historia. Nchini Uchina miaka mia kadha iliyopita kulikuwa na wafanyabiashara "Merchants" ambao walikuja kupata pesa nyingi sana na wakaanza kumiliki vikosi vikubwa vya wanajeshi wao, hili lilipelekea ufalme wa Uchina kuwa katika vita zisizoisha hadi wakajikuta wamechelewa sana kwenye maendeleo.

Ushahidi mwingine ni K.G.B na Interpol,
Baada ya Urusi kuanguka majasusi wengi waliajiriwa na makundi ya kimafia ambayo mengi yao yalikuwa yanahusika na biashara haramu ya silaha nzito. Kuna jasusi wa K.G.B alikuwa anaitwa Victor Anatoliyevich Bout a.k.a Africa's Merchant of Death. Yeye alikuwa anachukua silaha nzito za kivita kutoka nchi zilizokuwa zinaunda Jumuiya ya kisovieti na kule sehemu kama Congo DRC, Sierra Leone, Angola, Rwanda, Burundi na kwingineko. Kibaya zaidi ni kwamba silaha nyingi zilikuwa zinapitia Bandari ya Dar es Salaam na Mombasa na baadhi ya wakubwa walikuwa wanajua na kushiriki kabisa. Nchi kama Uchina, Iran, India na Korea Kaskazini zilitumia huu mwanya kununua teknolojia nzito kutoka Urusi kupitia watu binafsi.
Sasa hii michezo yote michafu inafanywa kupitia BLACK MARKET kwasababu kukamatwa ni ngumu, hakuna kodi yoyote ile na mataifa mengi yanajihakikishia usiri mkubwa juu ya taarifa zao za manunuzi ya silaha. Yaani ni hatari sana haya makundi ya watu binafsi yanapoanza kufanya biashara za Vita na Ulinzi bila kuwepo na Mikataba maalumu ya kuwabana.

Hebu usiangalie tu kwenye vita ya hizi silaha la Kimakenika bali angali kwenye ulimwengu wa kimtandao sasa "THE WORLD OF CYBER SPACE" ambayo ni sehemu mbaya sana na hatari kuliko zote kwasasa. Watu wanasema INTERNET KNOWS NO BOUNDARIES. Hakuna sheria madhubuti ambayo imejaribu kuzungumzia hatari za mtandao kwenye mambo ya Usalama, NATO peke yao ndiyo walijitahidi kuaandaa THE TALLINN MANUAL inayozungumzia haya mambo. Lakini kuna makampuni makubwa sana ya kimtandao siku hizi, yanaajiri wasomi na wataalamu mbali mbali duniani kote. Yanaweza yakafanya vita ya kimtandao na kusababisha madhara makubwa sana kwa dunia. Hebu angalia makampuni kama GOOGLE, MICROSOFT, FACEBOOK, KASPERSKY na mengineyo jinsi ambavyo yana teknolojia kubwa sana kuliko hata nchi ya Tanzania na vyombo vyake vya Usalama (Haya ni makampuni binafsi). Ushahidi wa hili ni kipindi kile GOOGLE MAPS zimeingia, tulikuwa tunaweza hata kuangalia ramani nzima ya kambi ya jeshi ya LUGALO bure kabisaa.

Binafsi naona shirika kama hili kwa dunia yetu ya sasa ni hatari kuliko wale wanaomiliki RAPTORS au SUKHOI. Tumeona juzi Mark Zuckerberg kapata kashfa ya kuuza taarifa za wateja wake kwa wanasiasa. Nasikia GOOGLE nao wanauza kwa siri taarifa za watumiaji wao (Mimi na wewe) kwa makampuni mengine ya Urembo, Magari, Ngono na muziki ili yaweze kujua mwelekeo wa soko umekaaje. Sasa jiulize kama Tanzania inaingia kwenye Vita na baadhi ya mataifa au makundi ya Kigaidi halafu wakaamua kwenda Google kununua taarifa zao kuhusu Tanzania unadhani nini kitawazuia kuuza ??? Maana katika ubepari haya Makampuni yanachoangalia ni kupata faida kwa gharama yoyote ile.

NB: Mkuu pia usisahahu kwamba mpaka sasa Marekani imeshindwa kuyadhibiti hata makampuni makubwa ya Ulinzi, Silaha na Mafuta. Tumeona jinsi ambavyo makampuni makubwa ya mafuta kama Halliburton na Exxon Mobil yanawachezea wanasiasa wa Marekani ili kufanya migogoro nao wapate faida kubwa. Mfano hai kabisa Vita vya Iraq viliumiza sana Uchumi wa Marekani lakini kampuni la Mafuta la Halliburton lilipata faida mara tano na soko lake la hisa lilipanda balaa. Ukisoma vitabu kama MIDNIGHT IN THE AMERICAN EMPIRE na THE MERCHANTS OF DEATH haya yote kuhusiana na hizi hatari za makampuni binafsi kumiliki nguvu kubwa ya kijeshi. Leo hii kampuni la Exxon Mobil alikokuwepo Rex Tillerson kuna kitengi cha Intellijensia kinafanya kazi kama ambavyo TISS inafanya kwa Tanzania au CIA kwa Marekani. Sasa na jinsi walivyokuwa na pesa sidhani kama leo wakiamua kupigana na nchi kama Tanzania, Kenya, Uganda au Congo DRC tunaweza kushindana nao kwa Urahisi.

Hapa kuna hatari kubwa sana huko mbeleni,
Hapo bado hujagusa makampuni makubwa binafsi ya madawa kama Pfizer, Monsanto, Syngenta, NYSE na mengineyo ambayo mbali tu na kututengenezea madawa yanafanya tafiti hatari sana za silaha za kibaolojia na kuziuzia Serikali zao.
Miaka nyuma kadhaa niliwahi kushirikishwa kwenye tafiti moja inayohusiana na BIO-PIRACY barani Africa nikapewa niwaandikie wale walimu wangu baadhi ya vitu. Ndipo nikapata bahati ya kusoma nyaraka zinazohusu umafia ambao Africa tunafanyiwa na haya makampuni nikabaki nasikitika tu.....

CC: Red Giant , Consigliere, Nalendwa , SirChief , Prof, chige , Maalim Shewedy ,neo1
 
Hahaa eti uzalendo....siku zote huwa naamini hivyo kwamba "uzalendo una gharama"
 
Mkuu Palantir,

Ahsante kwa kunikaribisha vinginevyo huenda nisingeuona huu mjadala manake nimetingwa kidogo! Baadae nita-force kupata muda nije kupitia maoni ya wadau hapo juu!

Back to the topic.

Binafsi, huyu Indian Hero nilikuwa sijawahi kumsikia na kwahiyo thanks to Dumbuya.

Pamoja na yote hayo, ngoja nichangie jambo moja kwamba kwanini nadhani RAW walimpotezea Black Tiger!!

Hapa sina shaka, RAW wenyewe ndo wanajibu sahihi.

Hata hivyo, kwa maoni yangu naona Black Tiger alikuwa 100% ASSET kwa RAW huku akiwa na percentage ndogo sana ya kuwa LIABILITY kwao!

Ni kama naji-contradict but am not!

Kwa mtazamo wangu, naona kuna sababu kubwa 2 za kufanya Spy swap au kufanya jaribio lolote la kumuokoa Jasusi aliyedakwa!

1. Sababu ya kwanza ni kujenga confidence... kuwafanya Deep Cover Operatives wa-feel so secured kwamba, cku likiwakuta basi agency itafanya kila iwezalo kuwaokoa.

Yale mambo ya "if you're caught, you're on your own" they don't work pretty good... yana-demoralize!

2. Sababu nyingine ni hofu kwamba, Agent aliyedakwa anaweza kumwaga siri zaidi akiona agency yake imemtosa.

Kwamba, Jasusi limedakwa lakini pamoja na mateso yote bado anakaza kuongea chochote USEFUL kwa sababu anaamini anaweza kuokolewa either through Spy swap or through any Spy trade!

Lakini akiona agency yake imemtosa, wengine option inayobaki ni kutoa siri in exchange for something!

Sasa turudi kwa Black Tiger.

Ukifuatilia historia yake, anaonekana wazi hakuifahamu vizuri RAW cuz', baada tu ya kuwa recruited na kupewa mafunzo ya kikachero; akavuka border na kuingia Pakistan.

Aidha, kuna uwezekano mkubwa kwamba kabla hajavuka border, Security Clearance yake ilikuwa ya kawaida ambayo isingemwezesha kuwa na access to top secret.

Hii maana yake ni kwamba Black Tiger aliondoka India wakati akiifahamu RAW kijuu juu tu na kwahiyo, kudakwa kwake hakuwa threat (LIABILITY) to RAW kv RAW yenyewe hakuifahamu vizuri!

Na kwavile hakuwa threat, nadhani ndo maana RAW waliamua kumchinjia baharini. Waliamini hata kama angesagwa namna gani, asingekuwa na siri ya kuitoa kiasi cha kuwa threat kwa RAW au any Indian intelligence agency.

Kinyume chake, kama angekuwa amekaa RAW kwa muda mrefu kiasi cha kufahamu mengi (top secrets + secrets) kuhusu RAW, I think ingekuwa ni story tofauti!

I believe RAW wangekuwa tayari kufanya spy trade kwa hofu asije kutoa siri zaidi!

Aidha, suala la Pakistan kutaka maongezi baada ya kuwa wamemdaka Black Tiger; ni dalili tosha kwamba hawakupata chochote cha maana toka kwake!! Hawakupata kwa sababu hakuwa nacho!

kwahiyo; kuliko kukosa yote, inaonekana Pakistan walishakuwa tayari for any tangible Spy trade!

Kwa bahati mbaya, Wahindi wakakaza kv walijua wamedaka "Joka la Kibisa!"

That brings us to Hoja #2... kwanini basi hawakumwokoa ili kuwapa nguvu maajenti wengine kwamba, in case of anything, wapo pamoja nao?!

Binafsi sioni sababu ya ku-justify kitendo walichomfanyia unless kama ndo policy yao!! Kwamba, ile policy ya "if you are caught, you're on your own", kwao haina mjadala!

Na kwa kuangalia uadui uliopo kati ya India & Pakistan, naweza kuwaelewa... kwamba, kuliko kukiri hadharani kwamba una deep cover operatives ndani ya military and/or intelligence community ya adui yako; ni kheri kukana jumla!
 
Back
Top Bottom