Ravinder Kaushik ''Black Tiger'' : Jasusi mbobezi aliyefia jela ya ugenini

Nashangaa watu wanao tamani kuwa majasusi
Ni bora uuze mchicha
Hilo ni kweli mkuu,

Hii kazi sio ya dezo kama watu wengi wanavoifikiria.

Kumbuka kua;
Ili kua spy mzur, ni lazma uweze Ku interact na ile jamii unayoispy

Na kanuni za kijeshi duniani znasema;
"Hakunaga msamaha kwa msaliti"

KWAHYO;
Hao unao waSPy, siku wakikugundua ni lazima wakupoteze
 
Mbona hiyo Black Hawk iliuzwa ela ya mboga tu.

USD 667,000 Ukibadilisha ni sawa tu na Trillion 1.5 pesa halali za kitanzania.
 
Mi nasemaga jasusi wa kweli ni yule ambaye hakamatwi wala kujulikana,naam huyu ndiye jasusi aliyebobea.
 
Uko vzur mkuu;

Nmelipenda sana andiko LAKO hili
 
Mi nasemaga jasusi wa kweli ni yule ambaye hakamatwi wala kujulikana,naam huyu ndiye jasusi aliyebobea.
Jasusi kukamatwa ni jambo la kawaida kwa sababu hata kama wewe umebobea namna gani; kosa linaweza kufanywa na wenzako na kosa hilo likapelekea kukamatwa kwako!

Aidha, Majasusi wengi hukamatwa baada ya kuchomwa na wenzao/mwenzao!

So, sio kila anayekamatwa ni mzembe!! Hata top CIA Spy anaweza kudakwa na polisi wa Tanzania!
 
Hawa Wahindi wamenikera kama walimtelekeza mwanang,kazi zingine basi tu
 
Hawa makampuni bora yasije uku Tz,

Maana Mkulu akikurupuka KICHWA KICHWA akakamata makinikia yao

REVENGE YAKE ITAKUA BALAA KWETU

Aisee,
Hii vita ya uchumi inahitaj akili sana, hasa hasa unapopambana na mtu alokuzd kwa kila kitu tena Kwa gap kubwa.
 
Kataa kubali,jasusi mbobezi ni yule asiyekamatwa.Hata iwe kwa kosa la nani.
 
The first mistake was to recruit the star to go undercover in foreign dominion. The second mistake is lack of coordination among
Indian spies in Pakistan. The major was supposed to be alerted of such trap. But shit happens....this reminds me Bradd Pitts movie in which he had married German spy
 
Sijaelewa hapa " Ravinder alikuwa mpenzi wa sanaa za sinema na maonesho na hivyo ilivyofika siku ya mahafali yake mwaka 1975 alikuwemo kwenye kikundi cha maonesho siku hiyo."

"Hatua ya kwanza kwa kijana Nabi aliyekuwa na umri wa miaka 23 kwa sasa ilikuwa ni kujiunga na Chuo Kikuu cha Kashmir akichukua masomo ya sheria (LLB) na mwaka 1975 alimaliza masomo hayo yote"


Mwaka 1975 graduation mbili ya home and away...?
 
mambo ya Wagner groups huko Syria wanampiga USA na Washirika bila legal retribution inabidi kubaki viziana Jeshi halali Vs Military mercenaries 😀
 
Ubaya wa Ujasusi ni kwamba asilimia kubwa huwa wanafanya kazi katika Cells hivyo akidakwa moja tu huwa kundi zima linaathirika. Asilimia kubwa ya majasusi wanaokamatwa ni kuchomwa na wenzao au taarifa kuvijishwa kutoka nchini mwao wenyewe: Uzembe huwa upo lakini kwa asilimia ndogo sana kwasababu mara zote huishi macho wazi (Tip Toe) wakijua kabisa wakidakwa ni tatizo....
 
Hawa makampuni bora yasije uku Tz,

Maana Mkulu akikurupuka KICHWA KICHWA akakamata makinikia yao

REVENGE YAKE ITAKUA BALAA KWETU

Aisee,
Hii vita ya uchumi inahitaj akili sana, hasa hasa unapopambana na mtu alokuzd kwa kila kitu tena Kwa gap kubwa.
Mkuu haya makampuni yametuibia sana sana sanaa mali zetu. Mbali na tofauti zangu zote na Raisi Magufuli, katika hili la Makinikia mimi niko upande wake Asilimia 100% kwasababu najua hayaonei haya makampuni. Yanatuibia, yanachafua mazingira, yametengeneza matabaka makubwa ya Rushwa na Utakatishaji wa pesa kwa wanasiasa hapa nchini hadi hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…