Ray Asema Yeye Ndiyo Msanii Tajiri Kuliko Wote Hapa Bongo

Toka Kanumba afe, huyu jamaa kapotea sana
 
Tajiri!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kama yy ni tajiri na wakina Bakhresa tuwaiteje ?????????
 
Cha msingi angetaja tu vitu anavyomilki sisi ndo tungefanya tathimini kama ni tajiri au maskini
 

Wenzio walijudai hivo hivo lkn wsliumbuka huna lolote mzungu wa unga mpaka uumbuliwe?
 
Pesa ni kama Mimba. Haijifichi, Atuache tuone wenyewe maneno mengi hayana ishu
 
Jamaa ana mpunga kias chake maana nilisikia ana viwanja kam vinne kuna kimoj kipo bunju ndo anaporomosha mjengo, pia anamilik magar manne ikiwemo ile landcruiser

Bongo ukimiliki nyumba na vigari viwili, wewe tajiri !
 
TBS watusaidie hili maana viwango vya utajiri wa humu nchini havijulikani. Kesho khanga moja nao wakija wakisema matajiri itabidi tuwasikilize tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…