Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi havifichiki,utajiri na elimu!Kanuni ya utajiri ni moja, haufichiki...!
Huyu naye arv zimeanza kumchanganya
Hii Tanzania kila Msanii ni tajiri nyumba hatuzioni jamani
Kwa hiyo utajiri kwako wewe unauthaminisha kwa kigezo cha kuona nyumba tu!!!
Hivi huyu jamaa yupo au kaokoka kama Dotinata!
Star wa filamu nchini Vicent Kigosi "Ray" amesema kuwa yeye ana pesa na mali nyingi na hakuna msanii yeyote wa Tanzania awe wa filamu au muziki anayemfikia sema hapendi tu kujitangaza kama baadhi ya mastaa wenzake akidai ni ulimbukeni. "hakuna msanii anayenizidi uwezo kuanzia mali na hata fedha niko mbali sana mimi, hata gari ninalotembelea hakuna msanii aliyenalo kama ingekuwa ni mtu wa kujisifusifu na kutafuta sifa za kijinga jamii ingejua" alisema star huyo wa filamu za Oprah, Sobbing Sound, Hard Price na Handsome Wa Kijiji akizungumza na gazeti moja.
Ray vile vile aliamua kurusha kombora kwa wabaya wake wasiopenda maendeleo yake kwa kusema "wanaongea sana majungu, fitina na vitu ambavyo havipo kuhusu mimi, mimi ni jembe, kwanini wasiangalie maisha yao? leo msanii unateta nae dakika hiyo hiyo anageuza maneno hayo kuwa majungu, acha nikae peke yangu nifanye issue zangu"
Eee na huyu nae anapumuliwa kisogoni?
Jamaa ana mpunga kias chake maana nilisikia ana viwanja kam vinne kuna kimoj kipo bunju ndo anaporomosha mjengo, pia anamilik magar manne ikiwemo ile landcruiser
Ushasikia bakheresa anajitangaza?