Tetesi: Ray C akimbizwa Muhimbili

Nani kakuambia mateja wana muda wa kujisavia shingo ya kizazi wakati starehe yao ni hiyo sukari laini tu dada yangu.
Na nguvu ya kufanya shughuli hiyo anaitoa wapi kama ulimuona Chid ndio utaelewa vizuri
 
Pamoja na kumuombea yaliyo mazuri....hawa watu wanaoleta hii kitu kwa nini serikali inawaogopa....????kamata weka detention bila kesi kwa miaka isiyopungua 10 na mateja wapelekwe kambi za jeshi kufanyishwa kazi....huku nje wana ambukiza wengine.
 
Nani kakuambia mateja wana muda wa kujisavia shingo ya kizazi wakati starehe yao ni hiyo sukari laini tu dada yangu.
Na nguvu ya kufanya shughuli hiyo anaitoa wapi kama ulimuona Chid ndio utaelewa vizuri
Nani kakudanganya?
Mimi nimewahi kuwa na ukaribu na mateja fulani.
Maana mimi napenda sana kudadisi,waliniambia mengi sana ambayo ningeambiwa na watu tofauti nao (mateja) nisingeamini.

Hayo mambo wanayafanya sana tu,pole zako kama unadhani nao 'hawaponi'.
 
Wanajipakulia tu, wengine utumbo, wengine kisamvu wengine steki, wengine ulimi
 
Alafu bila zana
 
mweee aisee wazazi wake wawe karibu nae wasimwachie ila Mungu amponye na amrudie muumba wake
 
Dah! kiuno bila mfupa kinapotea hivi hivi watu wanaangalia tu,
 
Huyu anafutika kama anaendekeza coca
 
Princess. Ukiponyoka kwenye Unga Ukimwi Unaanza, Maana Unga na Ukimwi ni Mtu na Mdogo Wake, maana wakisha Maliza Kubwia wanaanza Kushugulikiana. Sasa hapo Kuna kau salama Princess Nifaa?

Unga ni Pepo Baya Sana, ndiyo maana Mtu Akisha Anza Kubwia Ubadilika Hata Sura, yaani unapoteza ualisia wako kabisa, Embu Fikiria Princess, Rayc Alivyo Mzuri Amekosa Nini Maskini ya Mungu, Shetani Anamtumikisha namna hiijamani!

Kazi ya Shetani ni kuku Aibisha uaibike Machonipa watu, watu wamrudie Mungu Jamani Wawa sikilize viongozi wao wa Dini ili wabadilike na Mungu awashindie Jamani.
 

Hebu nigee huo ubuyu hata chemba basi nami nijue
 
Asante kwa taarifa mkuu. (Kama ada yetu hapa JF) chanzo cha habari umekitoa wapi mkuu?
 
Hivi Unga unakuaje hadi mtu anashindwa kuacha. Nimetumia vilevi vyote ila hii kitu hii ndo kabisa wala sikujaribu.
 
Inasikitisha sana hasa ukizingatia waliomuingiza kwenye matatizo hayo wanaendelea kula bata
 
Ni kweli kinachomsumbua hakijajulikana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…