Nae alikuwa anatumia?Duuu walaaniwe wote waingizao madawa haya kwa jina la Yesu...I REMEMBER AMINA CHIFUPA..R.I.P
litakuwa linapiga lishe safi za kitimotoHivi Lile jamaa lake la Arusha nalo si linabugia hayo maunga yao? Mbona lenyewe halikati moto?au lenyewe ni likuruu?? Linaitwa lord eyes?
wala usitake kuujua asee nikimkumbuka kipenz whitney naskitika pamoja na mwanae wauza unga wote walaanike kwa mauwajiHivi Unga unakuaje hadi mtu anashindwa kuacha. Nimetumia vilevi vyote ila hii kitu hii ndo kabisa wala sikujaribu.
Mimi nitakuwa tofauti na wengi hapa,kama anauguwa kwa ajiri ya unga sitompa pole kamwe na niseme aumwe zaidi asipate nafuu kabisa!lakini kama anaugua kwa ajiri ya Mungu niko tayari kufunga kwa maombi kwake hata mwezi mmoja!Mwanadada Ray C amekimbizwa hospitali ya rufaa ya Muhimbili asubuhii hii akiwa mahututi. Ugonjwa unaomsumbua haujajulikana, amewahishwa hospitalini hapo asubuhi hii na kaka yake Tony pamoja na mama yake baada ya kupigiwa simu wamfuate huko Kinondoni.
Tuendelee kumuombea kheri dada yetu.
ikuru aiseeeHivi Lile jamaa lake la Arusha nalo si linabugia hayo maunga yao? Mbona lenyewe halikati moto?au lenyewe ni likuruu?? Linaitwa lord eyes?
alikuwa anapambana yatokomezweNae alikuwa anatumia?
Prince,sisi ambao hatujaanza kutumia Mungu atusaidie hata tusijaribu kuukaribia.Princess. Ukiponyoka kwenye Unga Ukimwi Unaanza, Maana Unga na Ukimwi ni Mtu na Mdogo Wake, maana wakisha Maliza Kubwia wanaanza Kushugulikiana. Sasa hapo Kuna kau salama Princess Nifaa?
Unga ni Pepo Baya Sana, ndiyo maana Mtu Akisha Anza Kubwia Ubadilika Hata Sura, yaani unapoteza ualisia wako kabisa, Embu Fikiria Princess, Rayc Alivyo Mzuri Amekosa Nini Maskini ya Mungu, Shetani Anamtumikisha namna hiijamani!
Kazi ya Shetani ni kuku Aibisha uaibike Machonipa watu, watu wamrudie Mungu Jamani Wawa sikilize viongozi wao wa Dini ili wabadilike na Mungu awashindie Jamani.
Huyu aliwahi kusaidiwa na Kikwete akiwa madarakani na njia pekee kwake ilikuwa kuacha kubwia sasa kama alirudia haipo njia ya kumsaidia tena ni kusubiri matokeo yoyote yanayoweza kumtokea huyu mrembo.Nani kakuambia mateja wana muda wa kujisavia shingo ya kizazi wakati starehe yao ni hiyo sukari laini tu dada yangu.
Na nguvu ya kufanya shughuli hiyo anaitoa wapi kama ulimuona Chid ndio utaelewa vizuri
Ni kama hivyo nilivyosema hapo,nao 'hupona'.Hebu nigee huo ubuyu hata chemba basi nami nijue
Oh,kipenzi changu cha moyo Whitney jamani!wala usitake kuujua asee nikimkumbuka kipenz whitney naskitika pamoja na mwanae wauza unga wote walaanike kwa mauwaji
mama la nguvuu unga ulaaniwe aghrrrrrrrrrrrrOh,kipenzi changu cha moyo Whitney jamani!
R.I.P