Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
Nakumbuka kuna vibinti vingi vilikuwa vinatamani kuwa kama Ray C, sijui kama bado wanatamani? Umaarufu ni stress juu ya stress. Watu wanafanya mambo hata ya kijinga ili wawe masupasta, I wish wangechukua muda mchache watafakari nini wanachotaka. Wengi hutumia madawa ya kulevya kama njia ya kukabiliana stress za kubaki kuwa relevant as ukirelax kidogo wengine wanauchukua huo ustar. Maisha simple na content ambayo huleta positive impact kwa jamii ni mazuri sana. Ni muda sasa watu wakarudia misingi ya imani. Maana mengine yote ni ubatili.