Tetesi: Ray C akimbizwa Muhimbili

Tetesi: Ray C akimbizwa Muhimbili

Mungu wangu!
Mdakuzi umeona sasa?
Nilisema mimi,zisipofanyika jitihada za haraka na dhati tutampoteza huyu.

Hivi kwa hali aliyofikia anaachiwa wa nini huyu jamani?
Si afungiwe ndani tu?
Sasa huko anakoshinda na mateja akizidiwa si wanajisevia watakavyo?
Jamani naumia hadi machozi yananitoka.
Ray C lifestyle uliyojichagulia inagharimu maisha yako sasa!
Kwanza yeye mwenyewe akubali tatizo..watamfungia milele??
 
Siwezi Kumuonea Huruma Ray C amezaliwa mwaka 1982 ni Mtu mzima Kuingia katika madawa alijua kabisa madhara yake na hayo ndiyo maisha aliyoyachagua kwani hakua mdogo kwa kuona mifano tuu ya watu mbalimbali ya watu Ambao wanatumia mimi naungana na Mkewangu/ Mama enu mdogo Nifah we don't feel sorry for her.
Mkuu hii post yako design sijaielewa hivi?
Hasa hapo mwishoni......
 
Nani kakudanganya?
Mimi nimewahi kuwa na ukaribu na mateja fulani.
Maana mimi napenda sana kudadisi,waliniambia mengi sana ambayo ningeambiwa na watu tofauti nao (mateja) nisingeamini.

Hayo mambo wanayafanya sana tu,pole zako kama unadhani nao 'hawaponi'.
Nifah wangu mchunguzi weiyee... walikwambiaje
 
Mungu wangu!
Mdakuzi umeona sasa?
Nilisema mimi,zisipofanyika jitihada za haraka na dhati tutampoteza huyu.

Hivi kwa hali aliyofikia anaachiwa wa nini huyu jamani?
Si afungiwe ndani tu?
Sasa huko anakoshinda na mateja akizidiwa si wanajisevia watakavyo?
Jamani naumia hadi machozi yananitoka.
Ray C lifestyle uliyojichagulia inagharimu maisha yako sasa!
Nayakumbuka maneno yako....yanaelekea kutimia
 
Mungu wangu!
Mdakuzi umeona sasa?
Nilisema mimi,zisipofanyika jitihada za haraka na dhati tutampoteza huyu.

Hivi kwa hali aliyofikia anaachiwa wa nini huyu jamani?
Si afungiwe ndani tu?
Sasa huko anakoshinda na mateja akizidiwa si wanajisevia watakavyo?
Jamani naumia hadi machozi yananitoka.
Ray C lifestyle uliyojichagulia inagharimu maisha yako sasa!
Nifah WANAJISEVIA kitu gani? hembu dadavua bhana.
 
Haya mambo huwa yanazungumziwa kama jokes halafu yanafikia hatua ya No Return.

Juzi picha zililetwa humu akiwa hoi na teja mwenzake, baadhi ya watu wakasema ni za zamani. ..
Ona sasa. ...Chances za kumpoteza ni kubwa mno.
MUUJIZA utokee kwake aweze kuacha hayo madude
 
Kama zile picha zilizorushwa jana ni sahihi manake ni kua karudia tena kwa kwasi ya ajabu, so hatimae ndo yamemuangusha... Mungu ampe uzma wake..
 
Alaaniwe aliyesababisha huyu dada akaanza kutumia hayo madude.
 
Back
Top Bottom