EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Watu wa kwanza kutoa taarifa hii ni Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu. Ilitolewa katika official capacity na sio mtu binafsi. Kuna watu watajisikia wanyonge sana kuona misaada inaenda kwa wale wenye nyenzo nyingi za kujikwamua.
Thanks.