Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Watu wa kwanza kutoa taarifa hii ni Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu. Ilitolewa katika official capacity na sio mtu binafsi. Kuna watu watajisikia wanyonge sana kuona misaada inaenda kwa wale wenye nyenzo nyingi za kujikwamua.

Thanks.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Hata kama tungeona picha za Ursino Estate, si bado angeweza kumfadhili huko kama Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania?

Kwani suala ni sehemu au capacity aliyoitumia kumpa huo msaada?

Suala ni jinsi aliyoitumia kwa sababu rais hata awe wapi bado ni rais tu.

Mimi sioni sababu ya kutangaza kama walivyofanya. Wangeweza kuifanya katika faragha yao tu. Lakini mbele ya waandishi? Why?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hata kama tungeona picha za Ursino Estate, si bado angeweza kumfadhili huko kama Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania?

Kwani suala ni sehemu au capacity aliyoitumia kumpa huo msaada?

Angekuwa Ursino Estate au Msoga angalau angeweza kujitetea kwamba kamsaidia kama Rehema Chalamila kwa sababu ana mahusiano binafsi na Elizabeth Chalamila-Mkwasa kwa siku nyingi ambayo yanajulikana wazi na wafuatiliaji wa mambo.

Kikwete hajakuwa rais tangu azaliwe, ana mahusiano na watu, na akitaka kusaidia wapwa zake kama Jakaya hatuna tatizo na hilo.

Akiwa Ikulu hata akitoa hela zake binafsi, kuna wengine tutasema kampa hadhi ya kumpatia msaada katika nyumba ya taifa kwa suala la binafsi.
 
Suala ni jinsi aliyoitumia kwa sababu rais hata awe wapi bado ni rais tu.

Mimi sioni sababu ya kutangaza kama walivyofanya. Wangeweza kuifanya katika faragha yao tu. Lakini mbele ya waandishi? Why?

Lakini kama aliifanya kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa nini ingeifanya faragha?

Kwa maana nyingine, wananchi hawana haki ya kujua anachofanya Rais wao ikiwa ni pamoja na kutoa misaada?

Hapa nina maana kama alimfadhili kama Rais na siyo kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
 
- So what JK ni binadam ana marafiki na ndugu, kama sio rafiki a baba yako so what ni makosa ya siasa? Childish tafutenu facts kwanza JK ametumia hela zake za mfukoni kumsaidia au ametumia za Serikali, ndio maana ninasema Chadema mna kazi sana kutafuta hoja maana so far hamna, CCM mpya imewaondolea hoja zote sasa mmo kwenye Ray c! ha! ha! kama sio kufilisika kisiasa sijui ni nini!

Es

hELA ZAKE MFUKONI? NI KWELI NI MILIONI 80 AU MANENO YA WASWAHILI?
 
Lakini kama aliifanya kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa nini ingeifanya faragha?

Na kwa nini afanye hivyo kama rais? Sasa unachohoji ni kweli. Rais akifanya kazi katika hiyo capacity haitakiwi iwe jambo la faragha. Lakini kwa nini afanye hivyo kama rais? That is the question.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
jamani. Kweli kila mtu na bahati yake. Yule mama alooza mguu hadi sam mahela kampigia debe kwa watz hakusaidiwa. Yule dada mwathirika wa mabomu tena kwa uzembe wa serikali. Hatujasikia serikali kusema lolote

hakumwendea kikwete, kama anataka naye aende kuomba
 
msaada wa kikwete kwa ray c ni pesa zake binafsi au katoa kwenye kodi zetu?
 
- So what JK ni binadam ana marafiki na ndugu, kama sio rafiki a baba yako so what ni makosa ya siasa? Childish tafutenu facts kwanza JK ametumia hela zake za mfukoni kumsaidia au ametumia za Serikali, ndio maana ninasema Chadema mna kazi sana kutafuta hoja maana so far hamna, CCM mpya imewaondolea hoja zote sasa mmo kwenye Ray c! ha! ha! kama sio kufilisika kisiasa sijui ni nini!

Es

At this point kutenganisha hela binafsi za JK na hela za walipa kodi ni kama kuchanganya maji kutoka katika makopo mawili kwenye ndoo, halafu kujaribu kujua maji yepi yametoka katika kopo lipi.

JK hata mshahara wake unatoka kwa walipa kodi.

Kaandika kitabu gani anachopata royalties? Au ana biashara gani ya kuruhusu hizi frequent extravagances?
 

Je Raisi baada ya kushuhudia madhara ya mihadarati, atachukua hatua ya kuwataja na kuwachukulia hatua zinazostahili wale wanaosemekana kujihusisha na biashara hii haramu, kwa kuanzia na wale atakaotajiwa na RAY C??

Haya ndiyo baadhi ya mambo ambayo Jk anadhalilisha Taasisi ya Uraisi.Kama Mkuu wa Nchi alitutamkia anawajua wauza Unga na hakuwafanya kitu.Leo hii Amiri Jeshi Mkuu mwenye mkono mrefu wa Dola anajitolea kumsaidia mwathirika wa madawa ya Kulevya na cha kushangaza na kustaajabisha zoezi hilo linatanzagzwa kwenye Luninga ya Umma .

Sidhani kama J Mnyika alikuwa amekosea na ninamsifu kwa kutokuwa mnafiki.


John Mnyika (Ubungo- CHADEMA) “rais ni dhaifu,”
.

 
Angekuwa Ursino Estate au Msoga angalau angeweza kujitetea kwamba kamsaidia kama Rehema Chalamila kwa sababu ana mahusiano binafsi na Elizabeth Chalamila-Mkwasa kwa siku nyingi ambayo yanajulikana wazi na wafuatiliaji wa mambo.

Kikwete hajakuwa rais tangu azaliwe, ana mahusiano na watu, na akitaka kusaidia wapwa zake kama Jakaya hatuna tatizo na hilo.

Akiwa Ikulu hata akitoa hela zake binafsi, kuna wengine tutasema kampa hadhi ya kumpatia msaada katika nyumba ya taifa kwa suala la binafsi.

Labda, kwa sababu siku hizi mpaka vikao vya CCM huwa vinafanyika Ikulu, Rais na wasaidizi wake hawakuona shida yoyote ya hilo tukio kufanyika Ikulu?

Kwamba this practice of using the State House for private functions seems to be acceptable by its owners?
 
Jambo jema kwa nini?

Kwa nini Kabhula Masota wa Malampaka anayehitaji kufanyiwa upasuaji wa moyo India hajapatiwa msaada na rais na kapatiwa
Ray C ?

Ray C kafuata mchakato gani mpaka kuweka kupata attention ya rais? Maana na sisi tuna ndugu zetu mamilioni wangependa msaada huu tunataka tujue wasaidiwe.

It's not like rais katumia hela zake binafsi, au za kodi ya familia ya Chalamila (that's what the "C" in Ray "C" stands for y'all)

Kodi ni yetu sote, kwa nini Rehema apate upendeleo? Tena kwa "ugonjwa" wa kujitakia mwenyewe kuvuta mdude?
nasema ni jambo jema kwasababu kamsaidia ili apone.
shida kwangu ni kwann asingeifanya quietly bila kuhitaj iyo media coverage kwani hii inaacha tashwishwi maskion mwetu kwamba je ni vijana wangapi ambao ni wabuya unga na hajawasaidia ama hajajishughulisha nao?? je mateja walioko pale muhimbili stand nao wakidai hayo ataweza kuwasaidia kifedha?? istoshe angekuwa keen enough he would have think of improving rehab centers so as to deal with many addicts rather than dealing with an individual. and kwa wadhifa wake as president angetumia muda wake kuelimisha tabia kuachwa na nafikiri hakuhitaj hata kutoa mchango huo.
 
Labda, kwa sababu siku hizi mpaka vikao vya CCM huwa vinafanyika Ikulu, Rais na wasaidizi wake hawakuona shida yoyote ya hilo tukio kufanyika Ikulu?

Kwamba this practice of using the State House for private functions seems to be acceptable by its owners?

Acceptance does not absolve one from culpability.

Wrong is wrong, whether widely accepted or not.

Your statement is admission of guilt, rather than defense, Mr. Defense Attorney.

The crucial matter here is whether this was wrong or right, not whether it is accepted or not.

After all, if you are trying to be ironic with a rhetoric question, I noticed a critique of holding CCM meetings at Ikulu, by none other nevertheless.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Na kwa nini afanye hivyo kama rais? Sasa unachohoji ni kweli. Rais akifanya kazi katika hiyo capacity haitakiwi iwe jambo la faragha. Lakini kwa nini afanye hivyo kama rais? That is the question.
mm hata kaufanya hivyo kama raisi sina shaka nako ila shaka yangu ni je atamudu kuwafanyia wengine hivyo?? manake yawezekana alitoa pesa zake mfukon weel and good but je kwa wadhifa wake atamudu kuwafanyia wote the same??

think of mgonjwa aloko pale MOI ambapo bei ya upasuaji imepanda by 30% je mtu huyu akimwendea raisi kutaka msaada kwa kutumia guts kama hizi atamsaidia?? manake yawezekana raisi wetu ni mkarimu sana ila sisi tuna hofu nae tu. ngoja nikaombe msaada wa aunt yangu aliye pooza anayehitaj more than 6 mi kwaajili ya upasuaji.

naungana na wewe kwamba ingebaki kati yao tu ingemuongezea heshima sana kuliko kuwa hivi ilivyo.
 
Na kwa nini afanye hivyo kama rais? Sasa unachohoji ni kweli. Rais akifanya kazi katika hiyo capacity haitakiwi iwe jambo la faragha. Lakini kwa nini afanye hivyo kama rais? That is the question.

Agreed. That's the thrust of the issue.
 
Acceptance does not absolve one from from culpability.

Wrong is wrong, whether widely accepted or not.

Your statement is admission of guilt, rather than defense, Mr. Defense Attorney.

The crucial matter here is whether this was wrong or right, not whether it is accepted or not.

After all, if you are trying to be ironic with a rhetoric question, I noticed a critique of holding CCM meetings at Ikulu, by none other nevertheless.

I understand that, but if you don't question a person passing through your land without your explicit permission, it could, in the long run, end up being an easement.
 
naomba kuuliza hivi ukitaka kwenda ikulu kumwona raisi unatakiwa kufanya nini??ama kuchukua hatua gani??
 
I understand that, but if you don't question a person passing through your land without your explicit permission, it could, in the long run, end up being an easement.

The exact rationale of this thread. I hope the relevant handlers are reading.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom