Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

naungana na wewe kwamba ingebaki kati yao tu ingemuongezea heshima sana kuliko kuwa hivi ilivyo.

Only kama alimfadhili kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

Lakini kama alimfadhili kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tunayo haki ya kujua, regardless of whether it was a right or wrong thing to do.

Tuna haki ya kujua mabaya na mazuri anayofanya Rais, lakini siyo kama Kikwete personally.
 
I understand that, but if you don't question a person passing through your land without your explicit permission, it could, in the long run, end up being an easement.
who was supposed to accept?
 
naomba kuuliza hivi ukitaka kwenda ikulu kumwona raisi unatakiwa kufanya nini??ama kuchukua hatua gani??

Kwenda kumuona kwa minajili gani? Ya kupiga naye stori? Ya kumweleza shida zako? Ama?
 
Only kama alimfadhili kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

Lakini kama alimfadhili kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tunayo haki ya kujua, regardless of whether it was a right or wrong thing to do.

Tuna haki ya kujua mabaya na mazuri anayofanya Rais, lakini siyo kama Kikwete personally.
to me nafikiri hakupaswa kufanya hayo as mr president but rather as dr kikwete. and yawezekana aliifanya hivyo ila tu walikosea venue.
 
On a different note, Kikwete mpaka leo hajui kupose kwa picha tu?

Au? Hatuna wapigapicha?
 
Kwenda kumuona kwa minajili gani? Ya kupiga naye stori? Ya kumweleza shida zako? Ama?
kwasababu yyte ile kwan who cares ninachokwenda kumwambia at state house?? na what if i mention different thing from my intention? like when looking for permission i mention one thing and when talking to him we talk different thing.
 
kwasababu yyte ile kwan who cares ninachokwenda kumwambia at state house?? na what if i mention different thing from my intention? like when looking for permission i mention one thing and when talking to him we talk different thing.

Rais ni mtu mwenye shughuli nyingi sana na sidhani kama unaweza kwenda kwa ajili ya kupiga naye stori tu.

Hiyo ya kudanganya sababu, sidhani kama ukienda kumuona mtakuwa peke yenu chumbani/ofisini. So lazima utagundulika tu unless wawe wako remiss beyond words.
 
Rais ni mtu mwenye shughuli nyingi sana na sidhani kama unaweza kwenda kwa ajili ya kupiga naye stori tu.

Hiyo ya kudanganya sababu, sidhani kama ukienda kumuona mtakuwa peke yenu chumbani/ofisini. So lazima utagundulika tu unless wawe wako remiss beyond words.

wajua kwann nauliza nafikir hata muda wa ray c kwenda na kumshukuru hadi wakapozi kwenye picha wanaomshauri wangesema this is too much. huo muda angeutumia kwa kazi nyingine ama kupumzika tu. sijui kila mtu akisema anaenda ikulu kumshukuru kwa wema alofanyiwa na raisi atakuwa na muda wa kuwasikiliza. but hii ni kwa akili zangu tu.

BTW hivi unapomuandikia raisi article huwa anasoma yeye ama anasomewa? na je kama anakujibu ni yeye ama ni yule msomaji?
 
- Ulitakiwa kuwa na facts kwanza ni kwa nini JK amemsaidia Ray C kabla hujakurupuka na hukumu za kimitaani taani, JK ni binadam ana marafiki ana ndugu, Marahemu Baba Mkubwa wa Ray C amefanya kazi na JK mambo ya nje kwa muda mrefu sana kabla ya kufariki miaka michache iliypoita, sasa kwa nini JK asimsaidie mtoto wa Rafiki yake wa karibu aliyefanya kazi naye ka muda mrefu sana!

- Sometimes mnakuwa kama watoto wadogo flani hivi, sio kila ishu ni lazima museme ndio muonekane ni upinzani wa kweli, daaaamn!!

Es!

kuwa na akili wewe
kama ni hivyo asingemualika ikulu na mipicha tele maana ya kumuita ikulu ni kuwa kamsaidia kama rais na sio JK kama rafiki wa familia

kuna yule mtoto mwenye kibofu cha mkojo kiko nje ambaye sasa anamaliza la saba aliwahi tolewa na star tv na mzazi kasema wazi hana uwezo wa op na hospitali ya bugando wamemueleza akienda nje atasaidiwa. Why not him awe Rayc? au kama kamsaidia RayC kama kikwete na sio raisi kwanini asingefanya kimya kimya thx
 
Si ameamua tu as a person?
Sioni tatizo la Yesu kumfufua Lazarus wakati kuna watoto wengine siku hiyohiyo walipoteza babva au mama zao.
Sometimes people are just ...... people!!!

hebu tuweke dini pembeni huu mfano wa Yesu haukustahili hapa this is unfair
 
Sifa tu keykey. kwani angefanya kimyakimya si ingetosha!! haina tija yoyote kwenye taifa hili.
 
unga noma umeharibu sura yake , mwili na future yake
 
Sasa RAY C ATWAMBIE NANI ALIKUWA ANAMUUZIA MADAWA!

Labda ataandika KITABU; Sababu Anahitaji PESA za KUISHI; KUIMBA sijui sauti itakuwa Imeshakwaruzwa na hayo MADAWA; Good Example WHITNEY HOUSTON pamoja na kuwa na BEST Doctors and VOCALISTS... she never recover to her normal HIGH NOTE...
 
i dare to speak out that our president didn't think critically on this otherwise he would have suggest it to be btn them and not to have media coverage.

na huu ndio udhaifu aliosema JJ nimesikitika dogo mmoja mwanza kibofu kiko nje hadi anafika la saba hajapelekwa nje ila RC faster
 
Si ameamua tu as a person?
Sioni tatizo la Yesu kumfufua Lazarus wakati kuna watoto wengine siku hiyohiyo walipoteza babva au mama zao.
Sometimes people are just ...... people!!!

Yesu hakutumia fedha au venues za walipa kodi.

If you want to analogize, get the analogy right at least.

Jeezuz.
 
Umeona eeh, nchi hii bana haina dira wala mwelekeo. Ni rahisi kwa Mateja kupata msaada kutoka magogoni, kuliko kwa viongozi wastaafu. That's why kila aliyeko madarakani anachukua chake mapema, ukizubaa zubaa kama ngulume utakufa unajiona. Anyway RIP ngulume and get well soon Ray C
napita tu....sijapasoma vizuri
 
Back
Top Bottom