Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuambia K katumia fedha za walipa kodi ni nani?Yesu hakutumia fedha au venues za walipa kodi.
If you want to analogize, get the analogy right at least.
Jeezuz.
Aliyekuambia K katumia fedha za walipa kodi ni nani?
Na yesu alitumia venues za nani alipokuwa akiwapa maono vipofu?
Mwisho kabisa, ulitaka venue iwe wapi? mpaka usitokwe mapovu?
Mayn! ... YBH8ING?
who is that person?? we tz's? or the so called katibu wa ikulu or who??
Aliyekuambia K katumia fedha za walipa kodi ni nani?
Na yesu alitumia venues za nani alipokuwa akiwapa maono vipofu?
Mwisho kabisa, ulitaka venue iwe wapi? mpaka usitokwe mapovu?
Mayn! ... YBH8ING?
Jamani huyu ni Ray C kweli??machoni ni kama yeye lakini sura kama vile sio yeye as if ni kibibi flan toka korea kaskazini. Kweli unga noumer.
Aliyekuambia K katumia fedha za walipa kodi ni nani?
Na yesu alitumia venues za nani alipokuwa akiwapa maono vipofu?
Mwisho kabisa, ulitaka venue iwe wapi? mpaka usitokwe mapovu?
Mayn! ... YBH8ING?
Kwa sababu aliwasaidia baadhi ya watu wakati wengine walikuwa na matatazi yanayofanana.Sasa huyu Yesu umtajaye bila sababu anahusiana vipi na suala zima la msaada aliotoa Kikwete kwa Ray C?
What if it did?Kwa hiyo, unataka kusema kuwa the whole occasion didn't cost taxpayers a penny?
but he was a head of one of a congregation.Ikulu ni nyumba ya taifa, kama angempa msaada kama Jakaya angeenda naye Ursino.
Analogy ya yesu is wrong on so many levels, he wasn't a head of state for starters.
Duh bwana mkubwa nae kwa kupenda uma-harufu hajambo,yaani mateja woote wa nchi hii kamuona "kiuno bila mfupa" tu?,kama ni muungwana kiasi hicho si angefungua rehabilitation centre ili mateja wote wanufaike.
na huu ndio udhaifu aliosema JJ nimesikitika dogo mmoja mwanza kibofu kiko nje hadi anafika la saba hajapelekwa nje ila RC faster
Ni Ray C na kapendeza shinda awali. Inasadikika Ray C kaathirika na kama ni kweli inabidi atulizane ajitunze, mambo ya fleva yamepitwa na wakati.
mlongo wangu, yaani mimi bado nina mkandamizo wa mawazo........ sijui hata cha kusema, nisije nikaishia kwenye ban burealikuwa teja bana!
zikatolewa picha humuu kuwa anahotaji msaada nakumbuka shosti yetu mutoto ya fisadi alisema watanzania tumchangi sijui!weell kwake yeye na wengine ilieleweka!
si ndo chighafula hapa(wapi dada mkubwa FP )tunakutana namipicha na taarifa za habari oh rais kamtibu ray c na rayc,mama yale na dada yake wameenda ikulu kumpongeza basi ITV walitoa habari,TBC ,CHANNEL 10 mradi tu mambo mzomzo!
nilijiuliza maswali mengi sana mwenzio!na mpaka sas sijapata jibu ndo mana nakwambia tukajilipue tu!
bora tu iwe hivo manake we acha tu!mlongo wangu, yaani mimi bado nina mkandamizo wa mawazo........ sijui hata cha kusema, nisije nikaishia kwenye ban bure
but he was a head of one of a congregation.
Your argument is flawed, based on hate ..... kitendo kile hakirudishi nyuma maendeleo ya watanzania, tafuta sababu nyingine.
Makoloni yetu mazeee.....hawa mabinti wakiweka list ya Watu waliowachojolea mtajificha chini ya meza......enzi ray c akiwa ray c kweli....nani rijali angekataa kfursa cha kuandika jina lake kwake?
No hommie ... it depends on what kind of congregation you are talking about.A congregation is not mandated by law to pay taxes, a citizenry is.
The flaw is clearly on your side.