Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Mnao ponda tuwaeleweje? Ilitolewa akaunti ya kumsaidi RC watu mkaponda rais kajitolea mnaponda nyie ni binadamu kweli au wanyama?
 
Je kwa hili ndio kunaweza kumaanisha kuwa mkuu ni mtu mwema huku akiwaacha mafisadi waendelee kuua watu? Ole wao wapendao kutoa ili wapate kusifiwa bali wewe utoapo kwa mkono wa kushoto na wala wakulia usijue.
 
Yesu hakutumia fedha au venues za walipa kodi.

If you want to analogize, get the analogy right at least.

Jeezuz.
Aliyekuambia K katumia fedha za walipa kodi ni nani?
Na yesu alitumia venues za nani alipokuwa akiwapa maono vipofu?
Mwisho kabisa, ulitaka venue iwe wapi? mpaka usitokwe mapovu?
Mayn! ... YBH8ING?
 
Aliyekuambia K katumia fedha za walipa kodi ni nani?
Na yesu alitumia venues za nani alipokuwa akiwapa maono vipofu?
Mwisho kabisa, ulitaka venue iwe wapi? mpaka usitokwe mapovu?
Mayn! ... YBH8ING?

Ikulu ni nyumba ya taifa, kama angempa msaada kama Jakaya angeenda naye Ursino.

Analogy ya yesu is wrong on so many levels, he wasn't a head of state for starters.
 
Aliyekuambia K katumia fedha za walipa kodi ni nani?
Na yesu alitumia venues za nani alipokuwa akiwapa maono vipofu?
Mwisho kabisa, ulitaka venue iwe wapi? mpaka usitokwe mapovu?
Mayn! ... YBH8ING?

Kwa hiyo, unataka kusema kuwa the whole occasion didn't cost taxpayers a penny?
 
Jamani huyu ni Ray C kweli??machoni ni kama yeye lakini sura kama vile sio yeye as if ni kibibi flan toka korea kaskazini. Kweli unga noumer.



Ni Ray C na kapendeza shinda awali. Inasadikika Ray C kaathirika na kama ni kweli inabidi atulizane ajitunze, mambo ya fleva yamepitwa na wakati.
 
Aliyekuambia K katumia fedha za walipa kodi ni nani?
Na yesu alitumia venues za nani alipokuwa akiwapa maono vipofu?
Mwisho kabisa, ulitaka venue iwe wapi? mpaka usitokwe mapovu?
Mayn! ... YBH8ING?



Sasa huyu Yesu umtajaye bila sababu anahusiana vipi na suala zima la msaada aliotoa Kikwete kwa Ray C?
 
Sasa huyu Yesu umtajaye bila sababu anahusiana vipi na suala zima la msaada aliotoa Kikwete kwa Ray C?
Kwa sababu aliwasaidia baadhi ya watu wakati wengine walikuwa na matatazi yanayofanana.
Na yeye ni binadamu ambaye ni mfano kwa binadamu wengi duniani.
 
Ikulu ni nyumba ya taifa, kama angempa msaada kama Jakaya angeenda naye Ursino.

Analogy ya yesu is wrong on so many levels, he wasn't a head of state for starters.
but he was a head of one of a congregation.
Your argument is flawed, based on hate ..... kitendo kile hakirudishi nyuma maendeleo ya watanzania, tafuta sababu nyingine.
 
Duh bwana mkubwa nae kwa kupenda uma-harufu hajambo,yaani mateja woote wa nchi hii kamuona "kiuno bila mfupa" tu?,kama ni muungwana kiasi hicho si angefungua rehabilitation centre ili mateja wote wanufaike.

Hamjamuelewa jk ray c ni celeb ana umati wa mashabiki wakiwemo watoto...

Rayc obvious atakuja kuwa balozi mzuri kuongelea. Madhara ya haya madawa .. since yeye ni celeb tayari msg itakuwa rahisi.kufika kuliko umchukuwe unknown teja alafu aongee
 
na huu ndio udhaifu aliosema JJ nimesikitika dogo mmoja mwanza kibofu kiko nje hadi anafika la saba hajapelekwa nje ila RC faster

Makoloni yetu mazeee.....hawa mabinti wakiweka list ya Watu waliowachojolea mtajificha chini ya meza......enzi ray c akiwa ray c kweli....nani rijali angekataa kfursa cha kuandika jina lake kwake?
 
Ni Ray C na kapendeza shinda awali. Inasadikika Ray C kaathirika na kama ni kweli inabidi atulizane ajitunze, mambo ya fleva yamepitwa na wakati.

Kwa Watu wa drugs waliofikia kujidunga Kama ray c..9/10 ni positive.....reason kubwa wakiwa allosto lazima watashea mabomba hata Kama wanajuwa mwenzao kaathirika...simply they can't resist .....
Pili ni kubakwa....wakishavuta wengine hulala hadi masaa kumi bila kuamka....na wakiamka wakiunhanisha..inakuwa wameshinda masaa 24 bila kula.....ndio sababu ya kukonda sana....
Wakiwa wamelala wanaume wenye uchu huwafanya watakavyo....mbele na nyumba....hata wanaume hugeuka mashoga
Hufanya hata kuuza MWili kwa bei yeyote hata sh 500 Kama hawana pesa ya kuvuta,au drug dealers huwatumikisha kwenye madanguroo

Ni maajabu tu yanaweza kumuokoa teja wa sindano na ukimwi.......haawa ambao wapo hatua ya awali ya kulamba wanaweza kuokolewa.....lakini pia kwa wanawake ni ngumu kwa sababu ya kuingiliwa wanapozima.....kuna kijana mmoja muuzaji akikuonesha watoto wa kike warembo wa kishua aliowakaza hutaamini.......wanavutia unga ghetto kwake wanapaki vx,vogue etc.......anawauzia wakilewa wanalala kwenye makochi Anaita marafiki wanampa pesa anawapa raundi.....ni wasichana na kazi Zao na heshima Zao...wengine wake za Watu ....sad
 
alikuwa teja bana!
zikatolewa picha humuu kuwa anahotaji msaada nakumbuka shosti yetu mutoto ya fisadi alisema watanzania tumchangi sijui!weell kwake yeye na wengine ilieleweka!
si ndo chighafula hapa(wapi dada mkubwa FP )tunakutana namipicha na taarifa za habari oh rais kamtibu ray c na rayc,mama yale na dada yake wameenda ikulu kumpongeza basi ITV walitoa habari,TBC ,CHANNEL 10 mradi tu mambo mzomzo!
nilijiuliza maswali mengi sana mwenzio!na mpaka sas sijapata jibu ndo mana nakwambia tukajilipue tu!
mlongo wangu, yaani mimi bado nina mkandamizo wa mawazo........ sijui hata cha kusema, nisije nikaishia kwenye ban bure
 
but he was a head of one of a congregation.
Your argument is flawed, based on hate ..... kitendo kile hakirudishi nyuma maendeleo ya watanzania, tafuta sababu nyingine.

A congregation is not mandated by law to pay taxes, a citizenry is.

The flaw is clearly on your side.
 
A congregation is not mandated by law to pay taxes, a citizenry is.

The flaw is clearly on your side.
No hommie ... it depends on what kind of congregation you are talking about.
Christian, jewish and muslim congregations have to pay taxes!!!
Lol, you are so predictable..... I already know ur next question.
 
Back
Top Bottom