Watu wa kwanza kutoa taarifa hii ni Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu. Ilitolewa katika official capacity na sio mtu binafsi. Kuna watu watajisikia wanyonge sana kuona misaada inaenda kwa wale wenye nyenzo nyingi za kujikwamua.
Hata kama tungeona picha za Ursino Estate, si bado angeweza kumfadhili huko kama Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania?
Kwani suala ni sehemu au capacity aliyoitumia kumpa huo msaada?
Hata kama tungeona picha za Ursino Estate, si bado angeweza kumfadhili huko kama Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania?
Kwani suala ni sehemu au capacity aliyoitumia kumpa huo msaada?
What a PRESIDENT we have? GOOD JOB!!!
Suala ni jinsi aliyoitumia kwa sababu rais hata awe wapi bado ni rais tu.
Mimi sioni sababu ya kutangaza kama walivyofanya. Wangeweza kuifanya katika faragha yao tu. Lakini mbele ya waandishi? Why?
- So what JK ni binadam ana marafiki na ndugu, kama sio rafiki a baba yako so what ni makosa ya siasa? Childish tafutenu facts kwanza JK ametumia hela zake za mfukoni kumsaidia au ametumia za Serikali, ndio maana ninasema Chadema mna kazi sana kutafuta hoja maana so far hamna, CCM mpya imewaondolea hoja zote sasa mmo kwenye Ray c! ha! ha! kama sio kufilisika kisiasa sijui ni nini!
Es
Lakini kama aliifanya kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa nini ingeifanya faragha?
jamani. Kweli kila mtu na bahati yake. Yule mama alooza mguu hadi sam mahela kampigia debe kwa watz hakusaidiwa. Yule dada mwathirika wa mabomu tena kwa uzembe wa serikali. Hatujasikia serikali kusema lolote
- So what JK ni binadam ana marafiki na ndugu, kama sio rafiki a baba yako so what ni makosa ya siasa? Childish tafutenu facts kwanza JK ametumia hela zake za mfukoni kumsaidia au ametumia za Serikali, ndio maana ninasema Chadema mna kazi sana kutafuta hoja maana so far hamna, CCM mpya imewaondolea hoja zote sasa mmo kwenye Ray c! ha! ha! kama sio kufilisika kisiasa sijui ni nini!
Es
Je Raisi baada ya kushuhudia madhara ya mihadarati, atachukua hatua ya kuwataja na kuwachukulia hatua zinazostahili wale wanaosemekana kujihusisha na biashara hii haramu, kwa kuanzia na wale atakaotajiwa na RAY C??
Haya ndiyo baadhi ya mambo ambayo Jk anadhalilisha Taasisi ya Uraisi.Kama Mkuu wa Nchi alitutamkia anawajua wauza Unga na hakuwafanya kitu.Leo hii Amiri Jeshi Mkuu mwenye mkono mrefu wa Dola anajitolea kumsaidia mwathirika wa madawa ya Kulevya na cha kushangaza na kustaajabisha zoezi hilo linatanzagzwa kwenye Luninga ya Umma .
Sidhani kama J Mnyika alikuwa amekosea na ninamsifu kwa kutokuwa mnafiki.
.John Mnyika (Ubungo- CHADEMA) rais ni dhaifu,
Angekuwa Ursino Estate au Msoga angalau angeweza kujitetea kwamba kamsaidia kama Rehema Chalamila kwa sababu ana mahusiano binafsi na Elizabeth Chalamila-Mkwasa kwa siku nyingi ambayo yanajulikana wazi na wafuatiliaji wa mambo.
Kikwete hajakuwa rais tangu azaliwe, ana mahusiano na watu, na akitaka kusaidia wapwa zake kama Jakaya hatuna tatizo na hilo.
Akiwa Ikulu hata akitoa hela zake binafsi, kuna wengine tutasema kampa hadhi ya kumpatia msaada katika nyumba ya taifa kwa suala la binafsi.
nasema ni jambo jema kwasababu kamsaidia ili apone.Jambo jema kwa nini?
Kwa nini Kabhula Masota wa Malampaka anayehitaji kufanyiwa upasuaji wa moyo India hajapatiwa msaada na rais na kapatiwa
Ray C ?
Ray C kafuata mchakato gani mpaka kuweka kupata attention ya rais? Maana na sisi tuna ndugu zetu mamilioni wangependa msaada huu tunataka tujue wasaidiwe.
It's not like rais katumia hela zake binafsi, au za kodi ya familia ya Chalamila (that's what the "C" in Ray "C" stands for y'all)
Kodi ni yetu sote, kwa nini Rehema apate upendeleo? Tena kwa "ugonjwa" wa kujitakia mwenyewe kuvuta mdude?
Labda, kwa sababu siku hizi mpaka vikao vya CCM huwa vinafanyika Ikulu, Rais na wasaidizi wake hawakuona shida yoyote ya hilo tukio kufanyika Ikulu?
Kwamba this practice of using the State House for private functions seems to be acceptable by its owners?
mm hata kaufanya hivyo kama raisi sina shaka nako ila shaka yangu ni je atamudu kuwafanyia wengine hivyo?? manake yawezekana alitoa pesa zake mfukon weel and good but je kwa wadhifa wake atamudu kuwafanyia wote the same??Na kwa nini afanye hivyo kama rais? Sasa unachohoji ni kweli. Rais akifanya kazi katika hiyo capacity haitakiwi iwe jambo la faragha. Lakini kwa nini afanye hivyo kama rais? That is the question.
Na kwa nini afanye hivyo kama rais? Sasa unachohoji ni kweli. Rais akifanya kazi katika hiyo capacity haitakiwi iwe jambo la faragha. Lakini kwa nini afanye hivyo kama rais? That is the question.
Acceptance does not absolve one from from culpability.
Wrong is wrong, whether widely accepted or not.
Your statement is admission of guilt, rather than defense, Mr. Defense Attorney.
The crucial matter here is whether this was wrong or right, not whether it is accepted or not.
After all, if you are trying to be ironic with a rhetoric question, I noticed a critique of holding CCM meetings at Ikulu, by none other nevertheless.
kwani wengine ni watu wa nyani, kila mtu ni mtu wa watu, bana.Kama kawa kama dawa, Jk ni MTU WA watu
I understand that, but if you don't question a person passing through your land without your explicit permission, it could, in the long run, end up being an easement.