naungana na wewe kwamba ingebaki kati yao tu ingemuongezea heshima sana kuliko kuwa hivi ilivyo.
who was supposed to accept?I understand that, but if you don't question a person passing through your land without your explicit permission, it could, in the long run, end up being an easement.
naomba kuuliza hivi ukitaka kwenda ikulu kumwona raisi unatakiwa kufanya nini??ama kuchukua hatua gani??
naomba kuuliza hivi ukitaka kwenda ikulu kumwona raisi unatakiwa kufanya nini??ama kuchukua hatua gani??
to me nafikiri hakupaswa kufanya hayo as mr president but rather as dr kikwete. and yawezekana aliifanya hivyo ila tu walikosea venue.Only kama alimfadhili kama Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
Lakini kama alimfadhili kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tunayo haki ya kujua, regardless of whether it was a right or wrong thing to do.
Tuna haki ya kujua mabaya na mazuri anayofanya Rais, lakini siyo kama Kikwete personally.
who was supposed to accept?
kwasababu yyte ile kwan who cares ninachokwenda kumwambia at state house?? na what if i mention different thing from my intention? like when looking for permission i mention one thing and when talking to him we talk different thing.Kwenda kumuona kwa minajili gani? Ya kupiga naye stori? Ya kumweleza shida zako? Ama?
who is that person?? we tz's? or the so called katibu wa ikulu or who??The holder of the titled deeds.
kwasababu yyte ile kwan who cares ninachokwenda kumwambia at state house?? na what if i mention different thing from my intention? like when looking for permission i mention one thing and when talking to him we talk different thing.
Rais ni mtu mwenye shughuli nyingi sana na sidhani kama unaweza kwenda kwa ajili ya kupiga naye stori tu.
Hiyo ya kudanganya sababu, sidhani kama ukienda kumuona mtakuwa peke yenu chumbani/ofisini. So lazima utagundulika tu unless wawe wako remiss beyond words.
- Ulitakiwa kuwa na facts kwanza ni kwa nini JK amemsaidia Ray C kabla hujakurupuka na hukumu za kimitaani taani, JK ni binadam ana marafiki ana ndugu, Marahemu Baba Mkubwa wa Ray C amefanya kazi na JK mambo ya nje kwa muda mrefu sana kabla ya kufariki miaka michache iliypoita, sasa kwa nini JK asimsaidie mtoto wa Rafiki yake wa karibu aliyefanya kazi naye ka muda mrefu sana!
- Sometimes mnakuwa kama watoto wadogo flani hivi, sio kila ishu ni lazima museme ndio muonekane ni upinzani wa kweli, daaaamn!!
Es!
Si ameamua tu as a person?
Sioni tatizo la Yesu kumfufua Lazarus wakati kuna watoto wengine siku hiyohiyo walipoteza babva au mama zao.
Sometimes people are just ...... people!!!
Sasa RAY C ATWAMBIE NANI ALIKUWA ANAMUUZIA MADAWA!
unga noma umeharibu sura yake , mwili na future yake
i dare to speak out that our president didn't think critically on this otherwise he would have suggest it to be btn them and not to have media coverage.
Si ameamua tu as a person?
Sioni tatizo la Yesu kumfufua Lazarus wakati kuna watoto wengine siku hiyohiyo walipoteza babva au mama zao.
Sometimes people are just ...... people!!!
napita tu....sijapasoma vizuriUmeona eeh, nchi hii bana haina dira wala mwelekeo. Ni rahisi kwa Mateja kupata msaada kutoka magogoni, kuliko kwa viongozi wastaafu. That's why kila aliyeko madarakani anachukua chake mapema, ukizubaa zubaa kama ngulume utakufa unajiona. Anyway RIP ngulume and get well soon Ray C