Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Ray C amtembelea Rais Kikwete Ikulu jijini Dar, amshukuru kwa msaada wa matibabu!

Vipi kuhusu hao mateja wengine walioko mtaa?? Mfano pale Manyanya wamejazana na serikali inajua.. Na polisi ndio wamefanya kama mradi wao wa kukusanya mapato.! Kweli Tanzania ni zaidi ya ujuavyo.
 
JK hawezi kusaidia mateja wote wa nchi hii chamsingi wadau wengine wajitokeze. Watu wanatoa pesa nyingi ku spons vitu vya ajabu ajabu mbona hamsemi?
Ni wajibu wake kama Rais wa nchi kupambana na madawa ya kulevya. Sio kusaidia mtu mmoja tu na kupiga nae picha
 
Mkubwa,
Hii ni 100% politics, tena ccm politics.
Haiwezekani state house, with all its metal hands, kutoka kupiga pichA YA KUTOA TIBA KWA MWANANCHI MMOJA, wakati maelfu ya wagonjwa wengine wanakufa jirani na ikulu pale kwa kukosa dawa-mseto!
After all Ray C sio less privileged, ana nduguze wenye uwezo wajuu ambao Ikulu hiyohiyo imewawezesha!...this is just like draining a pond down to the sea!
All ican say ni kwamba rais huenda yuko likizo, na hakuwa na jambo la msingi la kufanya ndani ya siku ya leo!.. halafu alichokosea ni kwamba katika tukio la masikitiko vile alikuwa anatabasmu too much, hii inaonyesha kuwa nia yake ilikuwa ni photogenity zaidi ya tukio!
Nafananisha hili na mtu anayelia kuliko wafiwa!
556341_521242087894563_1401453539_n.jpg

na huyo mtoto kuna wakati alishaulizwa kama kuna tetesi inasemekana anabwia unga...lakini kwa khasira na matusi akajibu kuwa wanamsingizia na wakome wanaojaribu kumchafua.

Sasa leo hii kiko wapi?
 
Sasa wamshauri sasa aachane na bendi za bongoflava laa sivyo yanaweza yakampata tena. Badala yake ili kutoa shukrani kwa aliyemwokoa ajiunge na akina Capt Komba, Vick Kamata n.k. Mwaka 2015 wapige kampeni kambambe. Hapo ka ukiti maalum hakosi. Mambo yako huku jamani mbona hamuyaoni!!! Namtakia maisha marefu mazuri Ray C.
 
Capt Komba will take care of her to ensure no relapse will ever occur again. I know him he is an excellent caretaker with millitary and political experience.
 
Ni jambo zuri- ndio nakubali lakini as president huwezi kusaidia mtu mmoja mmoja kwa nchi yenye watu milioni 45! Juzi kule Lindi ilikua ni kilema na leo ni teja, tena huyu kaingia hadi ikulu! Surely, kama raisi ana nia kweli ya kusaidia watu wenye matatizo mbalimbali na sio kujitengenezea publicity, he can do these things in a better and organised way.
 
Ni aibu ilioje na kwa kweli haya ndiyo matokeo ya kuchagua kuongozwa na MSWAHILI. Kinachotakiwa hapa ni rais kuweka mfumo utakaowawezesha wagonjwa kupata matibabu au wenye shida kutatua shida zao badala ya kusaidia mmoja mmoja.
 
jamani u cdm na ccm ukae mbali, kikwete has done a right thing, mlitaka dada yetu afe? kha sometimes tunamuonea sana huyu presidaa
 
Mbona stori yako mbuzi leo imekuwa kama si wewe? Hujaeleza ameokoa vipi maisha ya Ray C. Kwani alikuwa anaumwa au ameishiwa au anatafuta mume? Niliwahi kusoma kuwa alikuwa akiugua kutokana na kubwia mibwimbwi. Je Kikwete amemuongezea damu hadi akawa mzima au ameamua kumstaafisha toka kwenye kuuza mibwimbwi? Mbona sikuelewi.
 
jamani u cdm na ccm ukae mbali, kikwete has done a right thing, mlitaka dada yetu afe? kha sometimes tunamuonea sana huyu presidaa

MIAFRIKA BWANA ALWAYS HAIFIKILII MBALI, IVI JAMANI HAPA KTK HIZI HOJA KUNA U CDM NA U CCM? UKISIKIA MTU KUPWAYA KWA BW SABASITA NDO IVI, NA. UKSIKIA UBWEGE SASA HUU NDO UBWEGe
 
Mmh hii siyo ya dhamani lakini. Na kwanini afanye upendeleo kwahuyu wanaohitaji msaada wengi.
Nakuunga mkono madameX tena huyo kaponzwa na starehe zake na kila siku tunaona wamama wanaomba msaada kwenye vyombo vya habari watoto wao wanamatatizo makubwa.
 
Back
Top Bottom