trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 744
Mpwa wangu anaitwa Macho, ni teja kanisumbua mno,keshavunjwa miguu na magari maratatu akiwa anachota mafuta kwenye tankers zikiwa kwenye foleni.ntafanya mpango niende kwa mkulu aisee,
Au umtumie PM Salva Rweyemamu. nadhani ni member humu JF

