trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 744
Mpwa wangu anaitwa Macho, ni teja kanisumbua mno,keshavunjwa miguu na magari maratatu akiwa anachota mafuta kwenye tankers zikiwa kwenye foleni.ntafanya mpango niende kwa mkulu aisee,
Yaani aibu tuliona sisi watazamaji,nadhani gbta yeye alijilaumu baadaye..
Atakapokoma kujipendekeza na kiherehere ni pale taje lake hilo litakaporudia kubwia miunga. Kama angetaka kuwasaidia waathirika angepambana na biashara ya madawa badala ya kujifanya anawajali mateja. Si alisema ana orodha ya wafanya biashara wa bwimbwi. Mbona hawakamati kama hana faida nao?
Rais wetu ni mtu wa watu. Ndivyo alivyo, tuendelee kumvumilia kwa wale ambao hatufurahishwi na baadhi ya mambo anayofanya.
Atakapokoma kujipendekeza na kiherehere ni pale taje lake hilo litakaporudia kubwia miunga. Kama angetaka kuwasaidia waathirika angepambana na biashara ya madawa badala ya kujifanya anawajali mateja. Si alisema ana orodha ya wafanya biashara wa bwimbwi. Mbona hawakamati kama hana faida nao?
JINA LA MUNGU WA MAJESHI LIHIMIDIWE! jk NANIKOSHA HAPO TU, kuwajali WASANII!! (WATU WENYE TAALUMA KAMA YAKE))!
my dear leo nipo moodless, natamani ningekuwa mitaa ya hm, twende kile kiwanja!usitake kujua nimechekaje leo?
Hivi hapa tatizo ni kumsaidia Ray C, kumsaidia Teja au Kuirusha kwenye Tv?
Pole katoto.my dear leo nipo moodless, natamani ningekuwa mitaa ya hm, twende kile kiwanja!
JINA LA MUNGU WA MAJESHI LIHIMIDIWE! jk NANIKOSHA HAPO TU, kuwajali WASANII!! (WATU WENYE TAALUMA KAMA YAKE))!