Ray Kigosi: Huu ni weupe wa maji (Ununuzi wa maji waongezeka mjini)

Ha Ha Ha Ha jamani watu ni hatari!
 
Wanawake wengi wenye kuelewa wanawapenda wanaume halisi, hawawapendi wanaume artificial!
Chuki sio nzuri lakini uko sahihi dada.
NEY.akishusha song ataanza kuandamwa maana unaweza kua mwanume kwa nje ila tabia zako zinainyesha ke.endeleza hapo
 
wacha uwongo mbona MUGABE yuko black zaidi.
 
Hata kuku wangu wa kienyeji bandani nimewaekea BONGE LA SIMTANK naanini after a month watageuka wa kizungu
 
Ukiwa kichwani mtu utapata shida sana kama baadhi ya watu wa bongo movies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…