Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kaanguka ila hilo la kuvunjika mikono yote miwili na nyimbo ya Nyegezi ni CHAI.jana kwanye show ya Wasafi tumewasha na tigo ilibidi show ighailishwe baada ya Rayvany kucheza nyimbo yake ya Nyegezi akaanguka na kuvunjika mikono yote miwili
Mkuu mweka mada itakuwa anaumwa kovidi sio akili zake hizi..😂Kweli kaanguka ila hilo la kuvunjika mikono yote miwili na nyimbo ya Nyegezi ni CHAI.
Mchawi huwatambuwa wachawi wenzake, ndugu punguza uchawi utakuja kufa.Uchawi wake ulikua mdogo dhidi ya wenzake watakuja kufia majukwaani hawa, washaurini wapunguze uchawi
Nachokukubali habari za WCB unazifuatilia,ila usisahau kutupostia ujio wa Cheed na Killy kutoka Konde Gang kama ulivyo kuwa unawafanyia wakiwa King Music.Uchawi wake ulikua mdogo dhidi ya wenzake watakuja kufia majukwaani hawa, washaurini wapunguze uchawi
Ila ukitazama video jamaa alvoangukaizo za kuvunjika bado wanafanya siri ila kavunjila ndo maana hata leo hakuna after party pale kidimbwi
Jamaa katupiga kamba kweupe kabisa😀 Bora angesema hata kateguka tungemwelewaKweli kaanguka ila hilo la kuvunjika mikono yote miwili na nyimbo ya Nyegezi ni CHAI.