Rayvanny amjibu Harmonize kuhusu BET

Ni kweli ni mkubwa huyo mr matiti, kuhimili sponsor la kwa Mugabe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Uko sawa kabisa.
Sawa huyo Matako makubwa kustahimili sponsor la jembe[emoji23][emoji23][emoji23] Rayvanny Ni BET WINNERS
 
It's so sad mkuu,

Unakuta huyu kijana ndio wale wale wa Vyuo badala ya kuumiza kichwa wawe creative na innovative yeye kutwa na WCB hajui kuwa umri wasonga.
Kama wewe na yeye sawa kijana wa chuo boom limeisha sana
 
Na sema kwa maana kipindi anachukua Rayvanny na harmonize alikua upcoming, means hakuwa mkali sio...? Endelea kukaza fuvu, puru square na utazaa kwa uchungu square mwaka huu[emoji23][emoji125]
Huyo mwamba ana kichwa kigumu kama cha samaki asiyekolea viungo , utakesha chief
 
We kima tuliza mshedede , unalonga Sana we kibwengo
 
We kima tuliza mshedede , unalonga Sana we kibwengo
Mshedede hauwezi kutulia ukiona matiti ya mr. Tipwa tipwa na lipstick zao.

Ni mwendo wa kupeleka motooooo. Peleka motooooo.

Nawapelekea motooooooooooo🔥🔥
 
Mshedede hauwezi kutulia ukiona matiti ya mr. Tipwa tipwa na lipstick zao.

Ni mwendo wa kupeleka motooooo. Peleka motooooo.

Nawapelekea motooooooooooo🔥🔥
Nani umpelekee Moto we kibabu usiye na makao
 
Sawa Dida tumekuelewa uolewe sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una ugonjwa mbaya Sana infact harmonize hakujui na unachuki nae utakuja kuwa mchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…