Rayvanny amjibu Harmonize kuhusu BET

Rayvanny amjibu Harmonize kuhusu BET

Watu mnatukanana kisa hao wapuuzi?
 
Hivi BET aliyopata Rayvanny kuna msanii mwingine aliwahi kupewa. Ni kama kilikuwa kituzo cha kuchonga ila jamaa anavyo ki-hype unaweza kudhani ni tuzo ya maana sana.

Tuzo za BET walizowahi kupata Eddy Kenzo, Black Coffee, Davido, Wizkid ni tofauti kabisa na hiyo aliyopewa Rayvanny.

Ya Rayvanny ilikuwa ni viewers choice ambayo haijawahi kutolewa tena maana haikuwa na issue yoyote.

Wasanii wamekuwa too obssessed Tuzo yaani mpaka kina Karen naona wameenda kupewa Tuzo huko Zambia🤣 yaani ni ilimradi mtu aonekane ana tuzo.

Kina Rayvanny watulie tu, wanafanya muziki kipindi ambacho Tuzo nyingi zimekufa then, it's okay.

Hiyo BET Diamond amewahi kuingia mara kibao lakini hajawahi kushinda.

Kwani tuzo ya BET ni big deal kihivyo? Tena BET viewers choice🤣

Tuzo yenyewe ni ile ya kipengele kisicho na hadhi hata ya kuonyeshwa kwenye live show!

Shaking my damn head!!
Acha unafiki tambua ni tuzo kubwa hiyo atakama unaidadavua kihivyo but kuipata tu ni shughuli so mnyonge mnyongeni but haki yake mpeni bigup rayvann coz hakunaga east africa aliyeipata
 
Acha unafiki tambua ni tuzo kubwa hiyo atakama unaidadavua kihivyo but kuipata tu ni shughuli so mnyonge mnyongeni but haki yake mpeni bigup rayvann coz hakunaga east africa aliyeipata
Choko kama choko
 
Hivi BET aliyopata Rayvanny kuna msanii mwingine aliwahi kupewa. Ni kama kilikuwa kituzo cha kuchonga ila jamaa anavyo ki-hype unaweza kudhani ni tuzo ya maana sana.

Tuzo za BET walizowahi kupata Eddy Kenzo, Black Coffee, Davido, Wizkid ni tofauti kabisa na hiyo aliyopewa Rayvanny.

Ya Rayvanny ilikuwa ni viewers choice ambayo haijawahi kutolewa tena maana haikuwa na issue yoyote.

Wasanii wamekuwa too obssessed Tuzo yaani mpaka kina Karen naona wameenda kupewa Tuzo huko Zambia🤣 yaani ni ilimradi mtu aonekane ana tuzo.

Kina Rayvanny watulie tu, wanafanya muziki kipindi ambacho Tuzo nyingi zimekufa then, it's okay.

Hiyo BET Diamond amewahi kuingia mara kibao lakini hajawahi kushinda.

Kwani tuzo ya BET ni big deal kihivyo? Tena BET viewers choice🤣

Tuzo yenyewe ni ile ya kipengele kisicho na hadhi hata ya kuonyeshwa kwenye live show!

Shaking my damn head!!
Hebu waeleze, kuna tuzo zingine zinahypiwa ila hazina mvuto kule kwao, ata ikionyeshwa kwa live show labda show ikiwa inakaribia kukamilika. BET award ya kibabe ni ile unashindana na miamba mingine! 🤣 🤣 🤣 Rayvanny, Harmonize and Diamond wanafanya kazi nzuri, and that comes from someone who rarely listens to them, lakini kuna tuzo zingine ukipata au hata uwe nominated, bora usipayuke payuke sana, kiasi tu inatosha. Sababu kuna mjomba Wizkid ana mpaka siku maalum yake ndani ya Minnesota, US, sijui ka ilipitishwa bunge ila Governor wa jimbo hilo alitia tiki, na bado humuoni akijamba Jamba kila wakati kuhusu hilo, that's how pros roll! 🤣
 
Mzalie mzee wa domo jekundu aka mr. Lipstick ili uanze kupewa interviews wafasi fm🤣

Niambie ni msanii gani mwingine amewahi kupewa BET viewers choice Africa zaidi ya huyo tipwa tipwa mwenye matiti🤣

Hicho ki-viewers choice labda hata aligawa tundu ndio akapewa, maana ni kituzo useless cha kuchonga tu. Na alivyopewa tu kikafia hapo hapo.
Unapenda sana kuliwa tako
 
Hivi BET aliyopata Rayvanny kuna msanii mwingine aliwahi kupewa. Ni kama kilikuwa kituzo cha kuchonga ila jamaa anavyo ki-hype unaweza kudhani ni tuzo ya maana sana.

Tuzo za BET walizowahi kupata Eddy Kenzo, Black Coffee, Davido, Wizkid ni tofauti kabisa na hiyo aliyopewa Rayvanny.

Ya Rayvanny ilikuwa ni viewers choice ambayo haijawahi kutolewa tena maana haikuwa na issue yoyote.

Wasanii wamekuwa too obssessed Tuzo yaani mpaka kina Karen naona wameenda kupewa Tuzo huko Zambia🤣 yaani ni ilimradi mtu aonekane ana tuzo.

Kina Rayvanny watulie tu, wanafanya muziki kipindi ambacho Tuzo nyingi zimekufa then, it's okay.

Hiyo BET Diamond amewahi kuingia mara kibao lakini hajawahi kushinda.

Kwani tuzo ya BET ni big deal kihivyo? Tena BET viewers choice🤣

Tuzo yenyewe ni ile ya kipengele kisicho na hadhi hata ya kuonyeshwa kwenye live show!

Shaking my damn head!!
tuzo gani za zambia mkuu 🤣 🤣 🤣
 
Hivi BET aliyopata Rayvanny kuna msanii mwingine aliwahi kupewa. Ni kama kilikuwa kituzo cha kuchonga ila jamaa anavyo ki-hype unaweza kudhani ni tuzo ya maana sana.

Tuzo za BET walizowahi kupata Eddy Kenzo, Black Coffee, Davido, Wizkid ni tofauti kabisa na hiyo aliyopewa Rayvanny.

Ya Rayvanny ilikuwa ni viewers choice ambayo haijawahi kutolewa tena maana haikuwa na issue yoyote.

Wasanii wamekuwa too obssessed Tuzo yaani mpaka kina Karen naona wameenda kupewa Tuzo huko Zambia🤣 yaani ni ilimradi mtu aonekane ana tuzo.

Kina Rayvanny watulie tu, wanafanya muziki kipindi ambacho Tuzo nyingi zimekufa then, it's okay.

Hiyo BET Diamond amewahi kuingia mara kibao lakini hajawahi kushinda.

Kwani tuzo ya BET ni big deal kihivyo? Tena BET viewers choice🤣

Tuzo yenyewe ni ile ya kipengele kisicho na hadhi hata ya kuonyeshwa kwenye live show!

Shaking my damn head!!
Hyo Tuzo unayoiona ya kawaida kumbuka Hakuna msanii wa mwingine TZ ashawai ipokea, hvyo inabaki kwenye vitabu vya historia latika sanaa ya Bongo fleva
 
BET viewers choice Africa awards = Fanta awards... 😂 😂 😂 😂
Cheki hii kima, et WizKid ana sku yake Minnesota ..what a shit , utazani anakujua ... Anyway kama unamuingiza WizKid kama reference ya kumu-outclass Rayvanny , basi vannyboy n mtu mkubwa Sana .....
Ila jarbu kumtetea hata Marioo au harmonize utaonekana wa maana kuliko kukimbilia kujibanza Nigeria ....
 
Back
Top Bottom