Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni ajabu sanaWakati wanatia vidole hizo mikataba wanakuwa wamevuta kimea au ?
umeongea point, kwamba ameenda alikua hajui?Anasemaje Rayvann mwenyewe....?
Ukute ni uzushi tu,na kama ni kweli,kwanini Rayvann akiuke makubaliano,au ni ile kutaka Diamond aonekane mbaya?
WCB ni kampuni,Diamond hatakama akitaka kumfanyia fair,ataonekana ndivyosivyo na wenzake,wajibihevu vizuri bhana.
Bifu linaanza kutokota, hakuna urafiki palipo na pesa
Watu wanasahau maana ya mkataba, it is binding by the law, Rayvann nadhani anaelewa hili kabisa maana kakaa pale muda mrefu, mengine ni kumtafutia tu Diamond lawama zisizo na msingi.Asitaftie watu lawama suala la mkataba lipo kisheria zaidi.
kumbuka "ingnorance of the law is not an excuse"
Ingawa alinunua gari la mamia ya mamilioni kama sio bilioniHiyo ni kiki tu ya ku ibrand wcb.. Diamond mwenyewe hamiliki hata milioni 40 kwenye akaunti yake...
Wanapoingia kwenye wanakuwa apeche alolo huyo mwanasheria watampata Nani....Kuna umuhimu wasanii wanapoingia kwenye label wawe na wanasheria wao, usije ukaingia mkenge
duh kwa matangazo alio nayo malipo ya platform za miziki shows kweli m40 akose [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tusiwe watu wa kuweka hisia kali kwenye mambo yanayoonekana.Hiyo ni kiki tu ya ku ibrand wcb.. Diamond mwenyewe hamiliki hata milioni 40 kwenye akaunti yake...
Ngoja aisome namba, watu wahuni wasio heshimu makubaliano ni kuwachapa faini tuuuHiyo ni kiki tu ya ku ibrand wcb.. Diamond mwenyewe hamiliki hata milioni 40 kwenye akaunti yake...