Rayvanny atakiwa kuilipa Wasafi Milioni 50 baada ya kufanya shoo kwenye ndoa ya Bilnas

Rayvanny atakiwa kuilipa Wasafi Milioni 50 baada ya kufanya shoo kwenye ndoa ya Bilnas

Basi huku kwetu hatujafikia yale maisha ya kindava haswa, lakini sio muda mrefu yatakuja...
Hii inanikumbusha wakatiwa NWA miaka yangu ya 90s kupenda Rap Music, Sikuhizi ni upuuzi mtupu
Illkuwa Dr Dre anataka kutoka Ruthless Records ya Eazy E, akajikuta yuko kwenye mkataba ambapo kila nyimbo atakayotoa Eazy E atakula dolari ndefu kwa asilimia kutokana na mkataba.
Dr Dre akaona isiwe shida, akamfuata Suge Knight na kumwambia anataka waanzisha lebo yao, ndio iliyokuja kujulikana kama DeathRow Records, na kumwambia kuna ishu ya yeye na mkataba wa Eazy E, hapo Suge Knight akamwambia Dr Dre usikonde mimi nitamaliza tatizo lako,
Siku kadhaa zilizofata alimfata Eazy E akiwa na baadhi ya wajeda wa kikundi cha undava kinachojulikana kama "Bloods" huku wakiwa na Automat Kalashnikov za kutosha, na kumwambia Eazy E aufute mkataba wake na Dr Dre, na hapo ndio ukawa mwisho na mambo ya kpuuzi kama haya, lakini Bongo nysoso, ooohh sijui utasika Mungu atawalipa, huu upuuzi hautambuliki US wala nchi yeyeto hata South nina uhakika
Hajatokea mtu mwenye akili ya kutukuogopa kufa, na kumaliza huu upuuzi wa WCB

Huyo mwenye shati jekundu ndie Suge Knight enzi zake...
View attachment 2312550
Wcb ni wanyonyaji wa waziwazi!
 
Pesa ingekuwa nyepesi hivyo kama wanavyojitapa WCB hakuna mtu angegombania ajira za sensa...
 
Ni nini hizo mkuu!??🤷😞🤔😇
images (35).jpeg


AK 47
 
Basi huku kwetu hatujafikia yale maisha ya kindava haswa, lakini sio muda mrefu yatakuja...
Hii inanikumbusha wakatiwa NWA miaka yangu ya 90s kupenda Rap Music, Sikuhizi ni upuuzi mtupu
Illkuwa Dr Dre anataka kutoka Ruthless Records ya Eazy E, akajikuta yuko kwenye mkataba ambapo kila nyimbo atakayotoa Eazy E atakula dolari ndefu kwa asilimia kutokana na mkataba.
Dr Dre akaona isiwe shida, akamfuata Suge Knight na kumwambia anataka waanzisha lebo yao, ndio iliyokuja kujulikana kama DeathRow Records, na kumwambia kuna ishu ya yeye na mkataba wa Eazy E, hapo Suge Knight akamwambia Dr Dre usikonde mimi nitamaliza tatizo lako,
Siku kadhaa zilizofata alimfata Eazy E akiwa na baadhi ya wajeda wa kikundi cha undava kinachojulikana kama "Bloods" huku wakiwa na Automat Kalashnikov za kutosha, na kumwambia Eazy E aufute mkataba wake na Dr Dre, na hapo ndio ukawa mwisho na mambo ya kpuuzi kama haya, lakini Bongo nysoso, ooohh sijui utasika Mungu atawalipa, huu upuuzi hautambuliki US wala nchi yeyeto hata South nina uhakika
Hajatokea mtu mwenye akili ya kutukuogopa kufa, na kumaliza huu upuuzi wa WCB

Huyo mwenye shati jekundu ndie Suge Knight enzi zake...
View attachment 2312550
Hapa umeandika pumba tu. Mpaka Leo hi Puff Daddy anashikilia publishing rights za Mase ya nyimbo alizofanya pale Bad Boyz. Unadhani Ni rahisi tu. Hilo jina tu analolimiliki RayVanny Ni utunzi wa Diamond, ambaye alimwambia aachane na jina alilotoka nalo TipTop.

Kama hutaki huu unaouita upuuzi ukutokee pambana mwenyewe kivyako kama Marehemu Nipsey Hussle. Diamond mwenyewe kashapita njia hizo alipotakiwa kumlipa yule promote wake wa Kwanza milioni 300.
 
Wanapigaga picha na mipesa mingimingi alipe kenge huyo,,
 
Basi huku kwetu hatujafikia yale maisha ya kindava haswa, lakini sio muda mrefu yatakuja...
Hii inanikumbusha wakatiwa NWA miaka yangu ya 90s kupenda Rap Music, Sikuhizi ni upuuzi mtupu
Illkuwa Dr Dre anataka kutoka Ruthless Records ya Eazy E, akajikuta yuko kwenye mkataba ambapo kila nyimbo atakayotoa Eazy E atakula dolari ndefu kwa asilimia kutokana na mkataba.
Dr Dre akaona isiwe shida, akamfuata Suge Knight na kumwambia anataka waanzisha lebo yao, ndio iliyokuja kujulikana kama DeathRow Records, na kumwambia kuna ishu ya yeye na mkataba wa Eazy E, hapo Suge Knight akamwambia Dr Dre usikonde mimi nitamaliza tatizo lako,
Siku kadhaa zilizofata alimfata Eazy E akiwa na baadhi ya wajeda wa kikundi cha undava kinachojulikana kama "Bloods" huku wakiwa na Automat Kalashnikov za kutosha, na kumwambia Eazy E aufute mkataba wake na Dr Dre, na hapo ndio ukawa mwisho na mambo ya kpuuzi kama haya, lakini Bongo nysoso, ooohh sijui utasika Mungu atawalipa, huu upuuzi hautambuliki US wala nchi yeyeto hata South nina uhakika
Hajatokea mtu mwenye akili ya kutukuogopa kufa, na kumaliza huu upuuzi wa WCB

Huyo mwenye shati jekundu ndie Suge Knight enzi zake...
View attachment 2312550
Hii ni sawa na inshu ya Kizz Daniel, baada ya kumalizana na label yake wakamwambia asitumie jina la Kiss Daniel ikabidi abadili atumie KIZZ DANIEL. Eti mpaka jina wanakaba. Huu ni unyonyaji.
 
Hii ni sawa na inshu ya Kizz Daniel, baada ya kumalizana na label yake wakamwambia asitumie jina la Kiss Daniel ikabidi abadili atumie KIZZ DANIEL. Eti mpaka jina wanakaba. Huu ni unyonyaji.
Rayvanny Ni jina alilotunga Diamond baada ya kumsaini pale WCB. Usije ukasahau Hilo. RnB group ya 112 baada ya kuzinguana na Puff Daddy hata jina walitakiwa kuliacha kwani halikutungwa na wao wenyewe.
 
Pesa ingekuwa nyepesi hivyo kama wanavyojitapa WCB hakuna mtu angegombania ajira za sensa...
Wanapigaga picha na mipesa mingimingi alipe kenge huyo,,
Hii ni picha ya Juni 2016. Hapa unadhani Ni mamilioni mangapi hayo? Kama miaka 6 imepita, unafikiri kwa Sasa atakuwa na pesa kiasi gani!? Awalipe tu wcb, kila mtu akaendelee na Hussle zake
 

Attachments

  • Raynavy.jpg
    Raynavy.jpg
    40.6 KB · Views: 12
Halafu ilikuwa mnasema ruge mnyonyaji kumbe yeye ndo Adolf Hitler kabisa.
 
Kaweza kushoot video zenye gharama zaidi ya Milioni mia kwa madai yake na akachoma Alteza, ata shindwa vipi kulipa hiyo pesa na anajiita siku hizi Billgate. WACHA AILIPE TU
 
Wabongo bila kubanwa hawaedi. Mkataba umekaa vizuri WCB sio mafala maana hawa wasanii wangwapanda kichwani.
 
Hawa wasanii hela wanazopata wanashindwa kuwa na wanasheria wa kuwasaidia kuepuka huu ujinga?
Kwan hii mikataba wakat wanasain wanakua walev? Hau hua hawasomi hapa ndo nashindwa kuelewa?
 
nje ya mada wadau,hiv rich mavoko si alikua wcb,hiv na yeye alilipa hizo cash
 
Na nguo zetu alizovaa kwenye harusi ya billnass zipo kwenye mkataba faini imefika 70 mil[emoji16][emoji16][emoji2960][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi huku kwetu hatujafikia yale maisha ya kindava haswa, lakini sio muda mrefu yatakuja...
Hii inanikumbusha wakatiwa NWA miaka yangu ya 90s kupenda Rap Music, Sikuhizi ni upuuzi mtupu
Illkuwa Dr Dre anataka kutoka Ruthless Records ya Eazy E, akajikuta yuko kwenye mkataba ambapo kila nyimbo atakayotoa Eazy E atakula dolari ndefu kwa asilimia kutokana na mkataba.
Dr Dre akaona isiwe shida, akamfuata Suge Knight na kumwambia anataka waanzisha lebo yao, ndio iliyokuja kujulikana kama DeathRow Records, na kumwambia kuna ishu ya yeye na mkataba wa Eazy E, hapo Suge Knight akamwambia Dr Dre usikonde mimi nitamaliza tatizo lako,
Siku kadhaa zilizofata alimfata Eazy E akiwa na baadhi ya wajeda wa kikundi cha undava kinachojulikana kama "Bloods" huku wakiwa na Automat Kalashnikov za kutosha, na kumwambia Eazy E aufute mkataba wake na Dr Dre, na hapo ndio ukawa mwisho na mambo ya kpuuzi kama haya, lakini Bongo nysoso, ooohh sijui utasika Mungu atawalipa, huu upuuzi hautambuliki US wala nchi yeyeto hata South nina uhakika
Hajatokea mtu mwenye akili ya kutukuogopa kufa, na kumaliza huu upuuzi wa WCB

Huyo mwenye shati jekundu ndie Suge Knight enzi zake...
View attachment 2312550
Ndio maana kuna sheria. Huyo Suge knight saa hii yuko wapi ?
 
Back
Top Bottom