Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cjui kama atalala leo,mana anahisi yupo ndotoni hapo alipo.daaah kampiku hadi boss wake,siku dai akiipata hiyo tutaiona cku mwaka mbona
Sasa ungepataje taarifa akati umepotea hihihiiii [emoji23][emoji23].aaah!
skupata taarifa yako ya kunitafuta.
nilikumiss sana yaan
hahahaSasa ungepataje taarifa akati umepotea hihihiiii [emoji23][emoji23].
Hivi ni kweli...!??Sijui EATV wanajisikiaje tokea mwaka huu uanze hawajapiga nyimbo yoyote kutoka WCB, ila ndio hivyo KAMA IPO IPO TU. Hongera dogo.
Wewe ni mchepuko wa Kiba? Mbona umekuwa mkali sana.We mpuuzi hapa kiba anaingiaje, acha chuki za kijinga na uwe unafuatilia habari ndo utajua kama kiba aliishia kwenye kili au aliendelea.....sasa endeleza huu ungese uone ninavyokukeshea..... Congrats to rayvanny! Team Tanzania
Kiuweli kama huna watu wanaokusimamia BET hutoboi,
Tungojee za kilimanjaro,[emoji16] [emoji16]Tim kiba nasisi tutapata lin ya kwetu wajamen
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Sijui EATV wanajisikiaje tokea mwaka huu uanze hawajapiga nyimbo yoyote kutoka WCB, ila ndio hivyo KAMA IPO IPO TU. Hongera dogo.
Published on 24 Jun 2017
Video,Rayvanny akiwa na tuzo ya BET Viewers Choice Best New International Act 2017,anatoa Shukran kwa Diamond na mashabiki
Rayvanny na tuzo ya BET Viewers Choice Best New International Act 2017,Shukran kwa Diamond na ..
Source: SamMisago
Atapewa wema[emoji16]daah! huyu dogo nime mkubali kishenzi yaan hii tuzo si mchezo. kwa kuwa Wanyama kapewa mtaa
dogo tumpe hata barabara ya Mawasiliano ile iwe Rayvanny road
Alikiba ameyokeaje hapa sasa mbona unafiki huuAli Kiba anazeeka bila tuzo za maana, alibebwa Kili na ikajifia moja kwa moja.
Atamhonga nani pale?Duuuh siamini au wameiba tuzo c tale alienda ajaenda kuhonga kweli wakuu