Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

hii ni mbinu CHAFU ya wasafi na genge lao lile likiongozwa na boya nasibu nyange , kwakua wameona harmonize alikua anatrend zaidi ya wiki sasa na ana nyimbo mpya inakuja, wakaona sasa ngoja watumie mbinu chafu ya kutembea na mtoto wa kajala ambaye harmonize ana date naye, harmonize kua in love na kajala sio kosa na wote ni watu wazima, sasa wao wakaona ngoja tumkomeshe kwa kutembea na binti yake.. mbinu hio hawakujali kua hata kama itawaharibu profile mtoto mdogo kama paula, na wazazi wake, wao lengo lao ilikua ni kuharibu Kabisa trend ya harmonize sababu ya chuki kubwa waliyonayo kwake , japo wamefanikiwa lakini hii itakuja ku backfire vibaya sana ...Mimi ningekua Ndio baba wa huyo mtoto japo kama mzazi naelewa kadhia hii mbaya nisingejali kama ni nasibu wala nani amehusika, ningehakikisha chain yote iliyohusika naimaliza yote , either wafe au waende gerezani.
Anold shwerzniger Kama nakuona vile kwenye movie ya Jack.
 
Teknolojia za miaka hiyo ndiyo hivyo tena. Ila hiyo ya kumrekodi kwa kweli imeenda mbali sana. Ila Pfunk ni mtoto wa mjini. Rayvanny ametengeneza soo kubwa ya hatari. Atume tu watu wa heshima wakaongee na Majani. Tofauti na hapo ninakiona kisasi kikubwa kinakuja
Huyo pfunk hana lolote mzee.. hapa town...kama anaweza afanye lolote aone kama nayeye atakua safe....yani pfunk atachapika kweupe na uzee wake

Tushakutana na washua wale watata kwa mabinti zao...mwisho wa siku wahun sio watu...mtoto hachungwi kwa style hyo..

Huyo mtoto ashapinda kitambo na pipe kwake kama fashion..leo hii pfunk atangaze vita? Angetangaza kwa mkewe basi enz hizo...

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Ht km anatembea na wanajeda anapatikana tu huyo Ray

Sent using Jamii Forums mobile app


Mtu kama Rayvanny huwezi kumfanya chochote kwa mikono yako halafu ukaondoka kulala nyumbani kwako peacefully. Kwa Pfunk kumpiga Rayvanny ni kujitafutia Segerea ya ukubwani tu bila sababu. Kama anataka kumkomesha bora atumie sheria, kwa vile binti yake bado ni mwanafunzi, lakini sio kutumia ubabe wa kizamani, hizo ni akili za kijuha.
 
Mtu kama Rayvanny huwezi kumfanya chochote kwa mikono yako halafu ukaondoka kulala nyumbani kwako peacefully. Kwa Pfunk kumpiga Rayvanny ni kujitafutia Segerea ya ukubwani tu bila sababu. Kama anataka kumkomesha bora atumie sheria, kwa vile binti yake bado ni mwanafunzi, lakini sio kutumia ubabe wa kizamani, hizo ni akili za kijuha.
Hii ngoma hekima na busara tu, vitaweza kutatua. Ila wakiweka ubabe itakuwa ñi sawa na kuzunguka mmbuyu. Paula ni 18+, maisha yake ni ya kiutu uzima tupu
 
Majani wa kawaida sana , sema watu wanapenda mkweza sana. Hili litaisha na litapita kimya kimya.. Majani sio serikali
Unasema majani wa kawaida hivi ushawahi kukutana nae uso kwa uso wewe

Jamaa ana mwili akikubana lazima unyee
 
Hii ngoma hekima na busara tu, vitaweza kutatua. Ila wakiweka ubabe itakuwa ñi sawa na kuzunguka mmbuyu. Paula ni 18+, maisha yake ni ya kiutu uzima tupu


Kwa sheria za Tanzania, msichana hata akiwa na zaidi ya miaka 18,lakini bado ni mwanafunzi wa shule, ikigundulika umeshiriki kufanya nae tendo la ndoa, basi una kesi ya kujibu mahakamani.
Hii sio blah blah, ni sheria ya nchi hasa.
 
Back
Top Bottom