Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Huyo dogo mbona nasikia ni 21

Kisheria hii ipo je?? Ikumbukwe alipata zero form 4 kwa hiyo sio mwanafunzi tena
Alipata dvsn 4, anasoma private pale St Anne Marie - mbezi, anamaliza 4m 6 now year.
 
Karma is real

Mungu amnusuru Paula, yamrudie P Funk mwenyewe
Upuuzi ni wa mama naona mkiwa kama wanawake mnaamua kubadili uelekeo na kumwangushia zigo la miiba P Funk. Ukumbuke alianza kulalamika mtoto asiwekwe mitandaoni toka akiwa shule ya msingi, ila mama yake aliendelea kumuweka akapuuzia. Majani alilalamika sana mtoto anasoma, ila alipuuziwa. Hamkusema lolote kipindi analalamika Paula akiwa hajaanza form one. Alipounganishwa na Dogo Janja pia hamkuwa mnaona, leo hii kaharibika zigo la mavi eti za dhambi za baba.

Kwa huyu mtoto wa kulaumiwa ni mama aliyekuwa akiishi naye, baba yake licha kuishi mbali. Alipaza sauti na kuhimiza awezavyo, ila mama alihalalisha kile kilichokatazwa. Mtoto ataanza vipi kumsikiliza baba yake hapo? Wakati akikatazwa hili, mama yake anahalalisha.

Hebu msitumie hilo neno karma kumsakama Majani, kisa kumtetea mwanamke mwenzenu. kajala ndiyo kamharibu mwanae
 
Mbona jicho la PAULA ni kavu sio la kulewa pombe kabisa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Kama wazazi wake wamemshindwa kumlea vizuri mtoto wao unataka mabaharia wafanyaje?
Nikwambie kitu uelewe,home Nina dada wa kike.. home kifupi familia yetu Ina maadili sana na wazazi wetu ni wacha Mungu vzr,siku mtaani nakuja kuona video ya mdogo wangu akifanya mapenzi niliumia mnoooooooooooooooooo na video ipo xvideo mpka leo mdogo wangu hayupo sawa kisaikolojia na ilimpelekea mpka akafeli kidato cha sita.
Baharia aliyefanya yote hayo sasa hivi yupo segerea anachukua miaka 30 kisheria.
NB:usifurahie hizi Mambo acha zipite tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Majani mhuni aliwahi kumrekodia nyimbo Chameleon akazengua kumlipa. Alipanda ndege mpaka Kampala na alimnasa Chameleon vibao nyumbani kwake.
Nachosubiri kwa hamu ni Rayvanny awashwe makofi, Dogo Janja zilipokutwa text za Paula kwenye simu yake akiwa studio ya Majani. Pona yake ni kukimbia hadi akaacha viatu.

Ilipovuja video akisemwa ni Paula analiwa kwenye gari, alipohojiwa alisema yule si mwanae. Angekuwa mwanae zingetoka video mbili, hiyo anayoliwa na nyingine huyo njemba anazibuliwa mtaro.
 
Majani mna mkweza sana, hana huo ubavu kwa mkwe wake Rayvanny.
 
Hivi unadhani Majani ana njaa za hovyo sana, yule ni wa kishua
 
Majani Mafia yule wewe unamuonaje
 
Nilichogundua watu mnamuonea wivu Sana Vanboy 🤣
 
Anapeleka mahali kwa mzee masanja
... nimekaelewa sana kale ka wimbo kake.. baba mkwe wake majani yeye atulie tu
Mkuu nilichogundua watu wana chuki Sana Kwa Vanboy kumpata huyo mtoto , wanataka wangekuwa wao 🤣 Acha mtu mbaya vannyboy amwinamishe huyo mtoto mzuri😋
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…