2000 tmk wanashinda kwa majani? Ilikuwa kundi gani??Hizo story miaka ya 2000 nakatiza nyuma ya bamaga naenda kwa binamu yangu huyo mtoto alikua unamkuta na bibi yke kabebwa ....enzi hiyo tmk wanashinda kwa majani
Hapana, nakataa hii kauli yako, usigeneralize! Lakini pia hata P funk kwani nae hakujua kuwa Kajala alikuwa mtoto kipindi hicho?
Karma is....
Binti ana miaka 20 huko anakuwaje mtoto jaman...nyie mnataka Mpore haki za faragha za Paula , au ndug we ulianza kuliwa Una miaka 23 nini??
Utakuja kunyea debe kizembe sana wee dogo.Binti ana miaka 20 huko anakuwaje mtoto jaman...nyie mnataka Mpore haki za faragha za Paula , au ndug we ulianza kuliwa Una miaka 23 nini??
Paula ana utoto gani ? Kaangalie mambo yake na mama yake wana twerk kwenye insta.. alafu mwanamke wa miaka 20 ni mtu mzima huyo. Ingawa kuna mahala malezi ya huyu binti hayakuwa sahihi. Misingi ya makuzi yake ili haribika toka udogoniKwa hio kisa mzazi wake alikua hivyo ndio kunampa uhalali mtoto nae afanyiwe huo unyama?? RayVanny huyu ni mtoto na hii ni aibu!
Dogo aliathirika mno kisaikolojia ilipelekea mpaka akafeli kidato cha sita,mpka sasa ni miaka 3 imepita lakini dogo hayuko sawa kabisa video ipo hadi xvideoHyo adhabu ndogo kwa huyo mshenzi anamusambaza mtu Ili aweje na akizalilika angepata nini na akome simhurumii huyo baharia mharibifu na mchafuzi hata huyu rayvan anyooshwe iwe funzo kwa wanaozalilisha watoto wa kike
Happy Valentine
Unaishi unalaya au tanzania hii ? Kuna mabinti huyo Paula mkubwa wanalea familia.. au hujatembea ndugu.. ? Kajala imenonekana kwasababu ya umaarufu wa wazazi wake.. ila kuna mabinti wengi sana wa rika lake sasa hivi wanaleaHuyo alitakiwa awe shule/chuoni...ushaona binti wa makamo hayo anajitegemea?
Duh pole yake ila akubaliane tu na maisha imeshatokea you can't change it, a move forward Mimi hata itoke video gani I don't care Wala, ila I hope she will be okay. Kuna baadhi ya wanaume ka huyo akili sijui huziweka wapi?Dogo aliathirika mno kisaikolojia ilipelekea mpaka akafeli kidato cha sita,mpka sasa ni miaka 3 imepita lakini dogo hayuko sawa kabisa video ipo hadi xvideo
Paula ana utoto gani ? Kaangalie mambo yake na mama yake wana twerk kwenye insta.. alafu mwanamke wa miaka 20 ni mtu mzima huyo. Ingawa kuna mahala malezi ya huyu binti hayakuwa sahihi. Misingi ya makuzi yake ili haribika toka udogoni
Hajafika hiyo miaka, 2018 alikuwa na miaka 16.Binti ana miaka 20 huko anakuwaje mtoto jaman...nyie mnataka Mpore haki za faragha za Paula , au ndug we ulianza kuliwa Una miaka 23 nini??
Hakumpi uhalali mtoto wake kufanyiwa hivyo, lakini kumbuka Malipo ni hapa hapa duniani.Kwa hio kisa mzazi wake alikua hivyo ndio kunampa uhalali mtoto nae afanyiwe huo unyama?? RayVanny huyu ni mtoto na hii ni aibu!
Unaishi unalaya au tanzania hii ? Kuna mabinti huyo Paula mkubwa wanalea familia.. au hujatembea ndugu.. ? Kajala imenonekana kwasababu ya umaarufu wa wazazi wake.. ila kuna mabinti wengi sana wa rika lake sasa hivi wanalea
Kwani alifanya nn?
Happy ValentineWe ndo
Rayvan mwenyewe nini?
Kwani huyo Paulo .. alikuwa Bikra. Alafu hujui maisha ya kiswahiliz miaka 20 ni binti mkubwa sanaMiaka 20 ni mtu mzima?? huyu bado ni mtoto anauaga u teenager,bado hayuko matured enough kufanya decisions...kama malezi yake hayakua sahihi haimpi uhalali RayVanny ku take advantage of her...