Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Kwahiyo kama ingekuwa ni mtoto wako ungeridhika jamaa liwe linatifua tu!? Ni kichaa peke yake ndie atakaeridhika akisikia mwanawe anatinduliwa na lijamaa ambalo halijui kama litamuoa au linamchezea.
Mkuu kuchukia haibadili ukweli kwamba mtoto wako anatiwa. Hata ujinyonge ataendelea kutiwa. Kikubwa Hekima na busara inatakiwa ili kuficha aibu ya binti. Alafu nyie mbona mnafukua na mitaro kabisa.. mnaona mpo sahihi ?
 
😆😆Mimi ni mtoto wa mchungaji niliyechangamka,mkuu nikupe link umuone mdogo wangu?? Hapana aisee
Mi mwneyewe ni mwinjilist aliyetoroka kama nabii Yona , tuombeane mkuu🚶🤣 wokovu ni mgumu
 
Mtoto Hamisa Mobetto yupo sahihi kabisa, wasimuangushie zigo la mavi.. mtoto wamuharibu wao lawama achukue mobetto
Hivi kwanini wasanii wanapenda sana mambo ya faragha kuweka public? Kulikua na ulazima gan wa ku record na kupost insta. Lol
 
Hawa wazazi wa mtandaoni wanazingua , wao wenyewe background zao ni uchafu mtupu na wengine watoto wao tunawainamisha kama kawa kitaa ila Kwa Paula kila mmoja ni mjuaji mpak Ka Steve Nyerere na kenyewe kanajirekodi et kamemind ....
wewe sio mzazi mkuu kwahiyo huwezi umia wala kuwaza kama mzazi.....just imagine unaona video ya dada zako wadogo utafeel vipi?

huu ujinga atafanya majani inabidi aumalize bila hivyo heshima haitakuwepo...., maana naona vijana mnasema sijui hana cha lumfanya rayvanny......

au rayvanny atafeel vipi endapo majani akimfanyia unyama yule mtoto wake mdogo?
 
Hivi kwanini wasanii wanapenda sana mambo ya faragha kuweka public? Kulikua na ulazima gan wa ku record na kupost insta. Lol
Paula alikuwa haamini kama yeye ndo pekee kaubeba moyo Wa mtu mbaya vanny boy , vanny boy kamwambia asubiri Valentine atamhakikishia , na kweli ikawa hvyo na mwamba katoa na wimbo kabisa akisema mtoto kama mzungu ana asili ya Mwanza na yupo tayar kutoa mahari Kwa Mzee masanja .....

Kimsingi hapo Paula ana furaha isiyo kifani na Kwa vile vannyboy studio yake ndo Kali Tz nzima , 🤪🤣🤣 Paula mtamuua Tu kwa Vanboy , naombeni muwe wapole , tuache wivu na tuiombee hii couple ifike mbali
 
Mi mwneyewe ni mwinjilist aliyetoroka kama nabii Yona , tuombeane mkuu🚶🤣 wokovu ni mgumu
Wokovu ni mgumu sana haswa kwa sisi vijana,kuna muimba kwaya nilipita nae church,kanisa lilipokuja kujua nikatengwa marufuku kukaa siti za mbele😆😆😆 nikawa nakaa siti za nyuma kbs..nikaja kuona uduanzi nikaamua kuachana na kanisa
 
Mleta mada ka wewe niwakushtakiwa unashabikia uharibifu wa underage ingekuwa kwa forum za wenzetu ungeshtakiwa na huu Uzi unaenda kinyume na guidelines
 
Mkuu kuchukia haibadili ukweli kwamba mtoto wako anatiwa. Hata ujinyonge ataendelea kutiwa. Kikubwa Hekima na busara inatakiwa ili kuficha aibu ya binti. Alafu nyie mbona mnafukua na mitaro kabisa.. mnaona mpo sahihi ?
Chief nitake radhi, huko ni kunikosea adabu! Lini umeniona nikimfukua mtu mtaro?
Kuficha aibu?! Kwani pale tunaposema kuwa binti wa miaka 17/18 anaweza kuolewa nyie si ndio mnaokuja na malalamiko kuwa wanaozeshwa wakiwa wadogo! Ni nani hapo mwenye kutumia busara kati ya anaetaka kumwozesha binti wa miaka 18 baada ya kumuona amepevuka na kishaanza michezo ya wakubwa au anaesubiri mpaka asikie mwanawe anagongwa ovyo? Kutumia busara ni kuepusha madhara na sio kusubiri mpaka madhara yatokee ndio eti busara zitumike!! Eti kuficha aibu!! Aibu haifichiki, kizuri ni kukwepa aibu! Tafakari.
 
Paula alikuwa haamini kama yeye ndo pekee kaubeba moyo Wa mtu mbaya vanny boy , vanny boy kamwambia asubiri Valentine atamhakikishia , na kweli ikawa hvyo na mwamba katoa na wimbo kabisa akisema mtoto kama mzungu ana asili ya Mwanza na yupo tayar kutoa mahari Kwa Mzee masanja .....

Kimsingi hapo Paula ana furaha isiyo kifani na Kwa vile vannyboy studio yake ndo Kali Tz nzima , 🤪🤣🤣 Paula mtamuua Tu kwa Vanboy , naombeni muwe wapole , tuache wivu na tuiombee hii couple ifike mbali
🐆🐆🐆🐆🐆 ni daddy wa Paula kajala. Thread closed. 😃😃😃
 
Paula alikuwa haamini kama yeye ndo pekee kaubeba moyo Wa mtu mbaya vanny boy , vanny boy kamwambia asubiri Valentine atamhakikishia , na kweli ikawa hvyo na mwamba katoa na wimbo kabisa akisema mtoto kama mzungu ana asili ya Mwanza na yupo tayar kutoa mahari Kwa Mzee masanja .....

Kimsingi hapo Paula ana furaha isiyo kifani na Kwa vile vannyboy studio yake ndo Kali Tz nzima , [emoji2957][emoji1787][emoji1787] Paula mtamuua Tu kwa Vanboy , naombeni muwe wapole , tuache wivu na tuiombee hii couple ifike mbali
Sikupingi kaka [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ni mdogo wangu nikupe link ya nini?nenda katafute mwenyewe.
Baharia tulimuonea nini? Cha kwanza ametembea na mwanafunzi ,cha pili akasambaza ile video mtaa mzima na ktk groups, cha tatu akawa analeta dharau ametembea na mtoto wa mchungaji anayejifanya yupo strictly ktk malezi, alikuwa hajui kuwa mchungaji ana watoto wanasheria!!! Imekula kwake 30yrs labda atoke kwa msamaha wa rais
Hyo adhabu ndogo kwa huyo mshenzi anamusambaza mtu Ili aweje na akizalilika angepata nini na akome simhurumii huyo baharia mharibifu na mchafuzi hata huyu rayvan anyooshwe iwe funzo kwa wanaozalilisha watoto wa kike
 
Chief nitake radhi, huko ni kunikosea adabu! Lini umeniona nikimfukua mtu mtaro?
Kuficha aibu?! Kwani pale tunaposema kuwa binti wa miaka 17/18 anaweza kuolewa nyie si ndio mnaokuja na malalamiko kuwa wanaozeshwa wakiwa wadogo! Ni nani hapo mwenye kutumia busara kati ya anaetaka kumwozesha binti wa miaka 18 baada ya kumuona amepevuka na kishaanza michezo ya wakubwa au anaesubiri mpaka asikie mwanawe anagongwa ovyo? Kutumia busara ni kuepusha madhara na sio kusubiri mpaka madhara yatokee ndio eti busara zitumike!! Eti kuficha aibu!! Aibu haifichiki, kizuri ni kukwepa aibu! Tafakari.
Mkuu ule uzi wenu wa picha za warembo ni wewe unae comment au zina jicomment kwamba unakata hufukui chemba 😳

Turudi kwa Topica. Hakuna mzazi anae furahia kuharibika kwa mwana wa mwenzake. Kwa hatu aliyofikia Paula kuna mawili au matatu. Moja wazazi wamkalisne chini na kumuuliza msimamo wake na shule na maisha kwa ujumla. Pili Busara itumike baada ya majibu ya mtoto kukabiliana na mengine. Ila kama mtoto kaona kwakwe.. mapenzi ni bora na kampenda 🐆🐆🐆 hapo ndio tunaenda kiutu uzima. Huyo binti mama yake kaisha mpa epxerience ambazo sio.nzuri kwa umri wakw na mtoto ame zi adapt
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Back
Top Bottom