Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halali ndugu yangu alikataa kwenda IFM, kumbe ndo chaka la slay queens na connection za pornhub. Khaaaaaaah
Kuhusu maslay quuen hakuna chuo kipo salama hapa mjin daslama sjajua mikoani..[emoji3][emoji3] kama we ni mtu wa connection hili huwez pinga...Huyo ndugu yako itakua preference zake tu na kama hiyo ndo sababu hop alienda nje ya daslam

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Kwa wenzetu hamna kesi hapo kama ingekuwa ana miaka chini ya 18 sawa,ila binti ana miak 18 na mwaka huu ana miaka 19.


Wenzetu ulaya ukifanya mapenzi na binti chini ya miaka 18 una kesi ya kujibu,hii ilikumkuta Adam Johnson wa Stoke City,ila kama binti ana miaka 18 na kuendelea hamna kesi na hupotezi hata deal moja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee utakua m rayvan tyuuh, sio kwa utetezi huu khaaaah
Jamaa uzi wote kautawala yeye anapangua tu hoja za watu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yes yuko mzumbe - morogoro., mbna mie nipo 1 ya chuo kikubwa hapa daslam hakna slay queens wala connection lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ili ufanye km rayvan kupost? Mie nipo std la 7 B, 60 yrs sio 30 tena, ooooooh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana hyo ni faragha yetu wawili , kama upo DSM Kesho natimba chap nakutoa lunch 🤣 Ila tuzidi kumuombea mtu mbaya issue yake hii imempa picha halisi yupi ni rafki wa kweli na yupi ni mnafiki
 
Hapana hyo ni faragha yetu wawili , kama upo DSM Kesho natimba chap nakutoa lunch [emoji1787] Ila tuzidi kumuombea mtu mbaya issue yake hii imempa picha halisi yupi ni rafki wa kweli na yupi ni mnafiki
Yaani ujinga wake afu tumuombee? Hauko serious wee wallah, kwanza ana wasi wasi gani hilo tukio mbona ni la kawaida sana.
Kikubwa akakae na wazazi wa huyo Paula wamalize case.
 
Yes yuko mzumbe - morogoro., mbna mie nipo 1 ya chuo kikubwa hapa daslam hakna slay queens wala connection lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haha basi we haupo daslam [emoji3]
Dar hakuna chuo hakuna slay queen,,,haya mambo ni siri muda mwingne..can you imagine wengne wmejazana tinder uko? Huu mji mpana we piga zako kitabu tu [emoji3]
 
Haha basi we haupo daslam [emoji3]
Dar hakuna chuo hakuna slay queen,,,haya mambo ni siri muda mwingne..can you imagine wengne wmejazana tinder uko? Huu mji mpana we piga zako kitabu tu [emoji3]

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Nisiwe daslam kwa kipi hasa? Ndio kila chuo kina uozo hapa jijini, ila IFM ni kibokooh lol, ndo maan hata Paula umelenga kuwepo huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nisiwe daslam kwa kipi hasa? Ndio kila chuo kina uozo hapa jijini, ila IFM ni kibokooh lol, ndo maan hata Paula umelenga kuwepo huko. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aolewe tu kwa usalama wake kwani mwili nao unahitaji
 
Hata kama alirudia issue ni kuwa she is no longer a student mpaka pale atakopojiunga kidato cha 5. Sasa hivi yeye ni mtu mzima aliyeko mtaani mwenye maamuzi yake binafsi.
Swala si kuwa mwanafunzi tu: katika hili kunaibua makosa kadhaa ambayo yatamkabiri VnBoy.

Tuanze na kosa la kubaka. Kubaka ni pale uume unapogusa uke iwe umeingia au kujaribu kuingia katika uke bila idhini ya mwanamke. Hapa haijalishi awe mwanafunzi au lah. Swala je aliridhia? Pia sheria inasema akiwa chini ya miaka 18 au awe mwanafunzi hata kama aliridhia ni kosa. Sheria inamtaka mkubwa kumlinda binti alie chini ya umri u mwanafunzi. Hivyo ni kosa la jinai kufanya tendo la ngono na mwanafunzi au chini ya umri (18) hata kama msichana akiwa ameridhia.

Inasemekana huyu binti alinyweshwa pombe. Hivyo pombe imetumika kumrubuni si hiari yake hapa kuna kosa. Kwanini anyweshwe pombe. (Rvny) aweza shitakiwa kwa hili. Pili, Vanboy kuweka picha ya mahaba katika jamii au public. Je huyu mdada aliridhia? Binti anaweza lalamika kadhalilishwa mambo ya usiri kuwekwa hadharani. (Udhalilishaji kijinsia).

Tatu; Watu wanataja umri kwa hisia kuwa kamaliza shule. Wakidhani atakuwa na umri mkubwa. Kitu cha kuthibitisha umri kimahakama ni cheti cha kuzaliwa. Na watoto wengi siku hzi wanamaliza kidato cha nne wakiwa na umri mdogo tu. wengi wanaingia chuo ndo wanatimiza miaka 18. Mfano mtoto wa kaka yangu kamaliza kidato cha nne akiwa na miaka 15.

Hivyo hili litathibithishwa na cheti. Mwisho watanzania tunashabikia maovu. Ingekuwa Ulaya au Marekani alichofanya Vanboy ni kosa kubwa angejutia. Sasa watu wanamwona Konde alichoandika kuwa anamchongea Vanboy.

Ebu tuvae taswira ya umama au ubaba mtoto wako ndo angekuwa kafanyiwa hivyo ungeshangilia?

Swala la kumbaka yule binti hapa alikwepeki awe anasoma au asomi. Nakatika sheria ya kubaka mwanamke au binti aloathirika ndo usikilizwa zaidi, kwa kuangalia mazingira husika. Si lazima mbegu no. Ni ushahidi wa kimazingira. Ninyi mteteeni tu Vanboy lakini aombe Mungu. Hii ni kesi itakayo mwalibia future yake.
 
Swala si kuwa mwanafunzi tu: katika hili kunaibua makosa kadhaa ambayo yatamkabiri VnBoy....
Ulaya ni kosa kubwa kama yupo below 18,lkn kama yupo 18 yrs and above yaani hawana time na wewe hata kidogo.

Kuhusu umri kuna mdau alipost picha,iliyo postiwa na Kajala mwaka 2018 akimpongeza mwanae kwa kutimiza miaka 16 ,so kimahesabu Paula kwa sasa ana miaka 18 na miezi kadhaa,mwaka huu anatimiza miaka 19.

Yaani kwa ulaya hapo hamna kesi sababu binti kishafikisha umri wa utu uzima.So hawana mda wa kumdiscus mtu mzima.

Anaye umia hapo ni Majani sababu aliyo yaongea miaka iliyopita ndio yametokea kwani mwanzo Paula na Mama yake walimdharau mpaka Paula akapata ujasiri wa kumrushia kijembe baba yake mzazi Instagram.

Ila mama yake yeye mwenyewe kapanda bange asitegemee kuvuna mahindi,yeye mwenyewe tabia zake za hovyo.

Kitendo alicho kifanya mama yake na Quick Racka ndicho alicho kifanya mwanae na sizani kama kalazimishwa.

 
Ulaya ni kosa kubwa kama yupo below 18,lkn kama yupo 18 yrs and above yaani hawana time na wewe hata kidogo...
Nadhani ujanielewa. kosa la kubaka halina umri. Alinyweshwa pombe. Mie nipo huku huku Ulaya. Sheria za ubakaji ni za kimataifa hata huku Ulaya ubakaji hauna umri.

Na kwa taarifa yako, Ulaya na Marekani kuna sheria ya kumlinda mtu mwenye umri mdogo dhidi ya yule mwenye Umri mkubwa. Mfano mabinti walio na umri wa rika kati ya 16 hadi 20 hawezi kufanya mapenzi na mtu anae mzidi umri kuanzia miaka kumi kwendelea.

Hii sheria inawalinda mabinti wasiwe na mapenzi na watu wazima hata kama yuko na miaka 18 au 20. Sheria inaruhusu mabinti kuwa na mapenzi na watu wanao karibiana umri. Hii ndo Ulaya na Marekani. Wanaruhusu walio na miaka ya chini hiyo 18 kufanya na vijana wanao karibiana umri labda 20 hadi 22 si mbaya. Si jibaba ulale na binti miaka 18. Ni kosa la jinai.

Kuhusu umri Mahakama haifuati mtu kutamka utathibitisha umri kwa cheti cha kuzaliwa basi. Sheria uwa haina story story.
 
Swala si kuwa mwanafunzi tu: katika hili kunaibua makosa kadhaa ambayo yatamkabiri VnBoy...
Siyo rahisi kumshitaki Ray kwa kosa la kubaka as you think. Rape ina ingridients 2. Penetration na lack of consent....wewe unajuaje kama walifanya ngono? Kama walifanya ni muda umepita tangu wafanye hadi kupostiwa kwa videos hizo. Hiyo evidence ya penetration haipo now, maana lazima kuwe na ushahidi kuwa muhusika aliingiliwa bila ridha yake...video haziwaoneshi wakifanya ngono...just two adults chilling in a car.

Kama uchunguzi wa daktari haujaonesha uwepo wa penetration...then hakuwezi kuwepo shitaka la kubaka.

Na hata hiyo intoxication ya pombe ni ngumu kuithibitisha...ni just afterthought ya binti akijaribu kujitetea aonekane innocent kwa mzazi wake ndiyo maana jumba bovu kamuangushia Mobeto.

Wewe jiulize huyo Paula kafikaje kwa Ray? Alitekwa?

Huyo binti ameshafikisha age of th3 majority na si mwanafunzi kwa sasa...it is very difficult kumshitaki Ray kwa hili...ktk video binti ndiye anaonekana akimkiss Ray na kumwambia anampenda sana.
 
Si lazima awe daktari kuthibitisha ubakaji. Mwanamke akitoa ushahidi wa kimazingira na ikathibitika pasipo shaka. Hata kama kosa lilifanywa mika 30 iliyopita, ni kosa. Jinai haina kikomo. Ndo maana makosa mengi ya R Kelly yalifanyika muda mrefu lakini akaukumiwa. Ubakaji uzingatia maelezo ya mbakwaji. iwapo mazingira yatakuwa yameashiria hivyo. CIRCUMSTANTIAL EVIDANCE.
 
Na si kwamba ushahidi penetration ithibitishwe na dakitari hapana. Binti akitoa maelezo yenye ushahidi wa mazingira. Itathibitisha.
Swala la Paula kulala kifuani je inaonesha wazi hawa wanamahusiano. Na ukisikia sauti ya binti utaona alikuwa amelewa. kulewa hakuna ingridient. inategemea mwingine akinywa nusu glass ya wine tayari kalewa. Na hasa wadada ni rahisi sana kulewa.

Na kwann Rvnboy aweke hadharani mambo ya faragha. Huyu dada anauwezo wa kumshitaki na hii itamuweka pabaya Rvnboy. Sina ushabiki ila naandika nikijuacho kwa taratibu za sheria na kesi nyingi nilizoshuhudia za ubakwaji.

Kumbuka Michael Jackson Wale watoto wote hawakupimwa. Ila walipotoa ushahidi kuwa waliingiliwa ngoma ikala kwake. Kesi za kubaka au kudharirisha ni mbaya utegemea aloathirika ndo aokoe jahazi au aangamize.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…