Mpak sasa harmo hatak kusikia habar za Paula na Vannyboy mana zitamtia hasara , Mobeto kabinya kwenye pumbu....endeleeni kumjaza upepo ππHata siangalii twitter mimi.. Jana hamo kasema paula ni mwanafunzi sasa wewe kichwaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kujidai unamjua sana paula kuwa ni gubegube..
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Kenge yule, hadi damu zimtoke masikioni ndio atapata akili ππKonde boy Ka run away ππ
Jana wametoka polisi unajua nini kimetokea huko???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpak sasa harmo hatak kusikia habar za Paula na Vannyboy mana zitamtia hasara , Mobeto kabinya kwenye pumbu....endeleeni kumjaza upepo [emoji3][emoji39]
Ka mobeto kazuri ila.. bora hata konde angeenda pambania pale πππMpak sasa harmo hatak kusikia habar za Paula na Vannyboy mana zitamtia hasara , Mobeto kabinya kwenye pumbu....endeleeni kumjaza upepo ππ
Ndo nimekuelezea sasa , harmo hatak kusikia masuala ya Paula na VannyboyJana wametoka polisi unajua nini kimetokea huko???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hii si picha tu mzee na maandishi au??Ndo nimekuelezea sasa , harmo hatak kusikia masuala ya Paula na Vannyboy
Kilichotokea ni hiki hapa
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1704432
Polisi jana palikuwa Shwari mkuu. Ndio maana Salam_Sk baada ya kutoka huko, akapost wimbo ulio ( alio imbiwa mrembo Paula ) na Rayvanny, na kusema wa comment verse ambayo watu wameilewa. Nahisi hali ilikuwa nzuri. Hiyo issue nyepesi mtoto hajabakwaJana wametoka polisi unajua nini kimetokea huko???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Hii si picha tu mzee na maandishi au??
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Kwani we ulitakaje? Tatizo lako unaendeshwa na mihemko na mkumbo badala ya fact kwa sisi tulienda shule na wenye maarifa tulikuwa tunajua kabisa Rayvanny kesi Hana kwa mambo kazaa tuliona ndio maana maswali yetu tuliokuwa tunawauliza mmeshindwa kujibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi hapo unawehuka na huamini mweeeh.
Wee nae khaaaaah sasa hizi fikra zako za kuwa mie nna muhemko na kufuata mkumbo zimekujaje? Au unadhan mie nlkua sijui? Au mie sijaenda shule?Kwani we ulitakaje? Tatizo lako unaendeshwa na mihemko na mkumbo badala ya fact kwa sisi tulienda shule na wenye maarifa tulikuwa tunajua kabisa Rayvanny kesi Hana kwa mambo kazaa tuliona ndio maana maswali yetu tuliokuwa tunawauliza mmeshindwa kujibu
Mpenzi jamaaan , nan tena kakuvuruga mamyWee nae khaaaaah sasa hizi fikra zako za kuwa mie nna muhemko na kufuata mkumbo zimekujaje? Au unadhan mie nlkua sijui? Au mie sijaenda shule?
Nlkua Nawa challenge hao watu wawili, ndo maan nlkua najibizana nao wao tu. Haya sasa relaaaaaaaaaaaax.
Msieeeeeeeeew.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi huna M-PESA yangu? Nasubiri gawio ulopewa baada ya kusimama wima kumtetea vanny boy mtu mbadi hadi yupo huru now Time.Mpenzi jamaaan , nan tena kakuvuruga mamy
Huwa tunalipwa Kwa mwez dear , subir mwisho wa mwez ithibitishwe , tukale Raha π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi huna M-PESA yangu? Nasubiri gawio ulopewa baada ya kusimama wima kumtetea vanny boy mtu mbadi hadi yupo huru now Time.
Ushapata na katotorito πππMpenzi jamaaan , nan tena kakuvuruga mamy
Kuna ngozi kumbe sio kosa kosa kupost!! Sa hakuna kesi hapo. Kuliwa kimya na hadharani hakuna tofautiKosa la rayvan kupost insta.
Muongo wee mshahara n mwsho wa mwezi, kwa hili lazima posho na marupu rupu yapo, plz hebu fanya hivyo fasta, kabla sijaanza kukufanyia limbwata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa tunalipwa Kwa mwez dear , subir mwisho wa mwez ithibitishwe , tukale Raha [emoji39]
Wee nae mpana lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushapata na katotorito [emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona watuhumiwa wako huru, kuwa mpoleeh sasa na u relaaaaaax.Kuna ngozi kumbe sio kosa kosa kupost!! Sa hakuna kesi hapo. Kuliwa kimya na hadharani hakuna tofauti