Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Alafu yeye anajidaigi mtata kinoma..
 
Ray asipokuwa makini anaweza akapigwa vibaya na huyu mzee

Si unajua uchungu wa kulea mtoto halafu anakuja mtu analeta uhuni kukuharibia binti yako

Atapigwaa..
 
Hivi sheria za nchi zikoje mtu kuwa katika mahusiano na mwanafunzi. Mimi sina uhakika ila kama sikosei nikosa kuwa katika mapenzi na mwanafunzi. Naomba kusahihishwa katika hili. Japo kwa upande mwingine hizi family drama sana mtoto utamuacha vipi kujipost katika mitandao ili iweje. wazazi lazima wawajibike
 
Mula vya wenzake na vyake huliwa malipo ni hapahapa duniani.
 
Ni fundisho kwa wanaume wote mnaochezea mabinti wadogo wa wanaume wenzenu huku ukijua kuwa wewe ni rijali na utazaa watoto wakiwemo mabinti. Ukipanda mahindi huwezi vuna mpunga. Pfunk umevuna ulichopanda kwa Kajala miaka kadhaa iliyopita. Na iwe fundisho kwetu sisi madume mbegu. Mkuki kwa nguruwe ni mtamu ila kwa binadamu ni mchungu.
 
Apigwe tu hakuna namna, yeye anadhani maisha ya mtoto wa mtu ni Kampeni za CCM pumbavu kabisa hawa watoto wa siku hizi
 
Kajala yy ndiye anaye takiwa kulaumiwa.
1.Kosa la kwanza alilolifanya ni kumuexpose mtoto kwenye mitandao ya kijamii,mbaya zaidi kumuexpose kwa wadangaji wenzake.

2.Kosa la pili kumsindikiza binti yake kwenye tamasha la after skul bash.Huko wazee wa uchu wenye ndimu na chumvi zao wanejazana kibao,hawajui mwanafunzi wala mtu mzima wao wanagonga.

3.Yeye mwenye hajiheshimu kwani inavyo onekana hata wanaume anao date nao Paula anawajua.Hatukatai kudate ila atizame nafasi yake,kwani yeye ni mama wa binti mkubwa.Kwani kuna kipindi alipigwa denda na Quick Racka na ile clip ikasambaa.Sasa hivi ndio ana date na Kondeboy na Zanzibar wameenda wote na Paula.

So kwa tabia mbaya za mwanae yeye ndiye anaye stahili lawama,ndio maana majani mwezi uliopita aliongea yeye Paula kishamshindwa,inaoneka kuna vitu alikuwa anaviongea kumrekebisha mwanae ila kwa jinsi inavyo onekana mama yake ana mkingia kifua.Kutoka na ile kauli ya Majani Kajala na mwanae wakamponda Majani.
 
Mabeto ni Dalali tu hapo kamuunga Paula na Rayvanny ,ila Hapo wote wana makosa MAbEtO na Ray ni wa kufungwa tu hakuna namna.

Ila Whats goes around comes Around ..Pfunky alikuwa anakula kabinti kanafunzi(KAJALA) na yeye imemrudia kwa PAULA.
Kajala alimwamini sana Mobeto kwakuwa Mobetto na Paula walikuwa best friends...hii ni siku ya birthday ya Paula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…