Huyu demu Ni mtu na nusu aiseeMimi huyo demu kama na uwezo wa kumuhonga hata nyumba nahonga , ni chombo hasa ..... Vanny boy nilijua Tu atamla huyo manzi ..... Kila akitoa wimbo demu anajirekod anamtumia mwamba , mwamba anapost insta, nikajisemea vanny boy lazima amgeuze kitoweo huyu manzi ...na kweli , ....mi mwenyewe nataman nimchapie vannyboy