Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Muongo wee mshahara n mwsho wa mwezi, kwa hili lazima posho na marupu rupu yapo, plz hebu fanya hivyo fasta, kabla sijaanza kukufanyia limbwata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah nakupenda mamy , bas tuma namba yako PM nikupe ya vocha jaman , japo tupo kwenye majonzi ya kufiwa na maalim seif
 
Daah nakupenda mamy , bas tuma namba yako PM nikupe ya vocha jaman , japo tupo kwenye majonzi ya kufiwa na maalim seif
Maalim seif sharrif hamad huyu? Au yupi? [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Maalim seif sharrif hamad huyu? Au yupi? [emoji24][emoji24][emoji24]
Ohooo na nakusisitiza uvae barakoa mamy....staki kulia mara mbili Mimi , hebu pitia jukwaa la siasa upate ubuyu kamili ....af leo nitakupiga mate dear😋
 
Wee nae khaaaaah sasa hizi fikra zako za kuwa mie nna muhemko na kufuata mkumbo zimekujaje? Au unadhan mie nlkua sijui? Au mie sijaenda shule?
Nlkua Nawa challenge hao watu wawili, ndo maan nlkua najibizana nao wao tu. Haya sasa relaaaaaaaaaaaax.
Msieeeeeeeeew.
Nilikuwa naona hauna logical argument kwenye comment zako ndio maana nikasema hivyo kumbe lengo Ni kuchangamsha Kijiji basi nisamehe.
 
Wameachiwa?
missyrose tuliwambieni hapo Rayvanny kesi Hana tatizo lenu mnaongozwa na hisia na akili za mangekimambi badala ya kuwa na logical reasoning na facts na kesi yao imeisha mapema Sana.Nilivyoona tu ile video haina ngono zaidi ya mabusu ambapo Ni Jambo la kawaida katika relationship ukizingatia hiyo video inaonesha binti ndio anamzimikia Rayvanny na yupo happy na akimkiss mwamba nikaona hapo kesi haipo lakini nyinyi mkaaminishwa eti video Ina uchafu lengine huyo binti anasoma elimu ya watu wazima private candidate (Imformal education) hayupo kwenye student government system ( Formal education) baada ya kufeli form iv nikapigia kabisa Jibu mstari
Slowly
Holy Man
 
missyrose tuliwambieni hapo Rayvanny kesi Hana tatizo lenu mnaongozwa na hisia na akili za mangekimambi badala ya kuwa na logical reasoning na facts na kesi yao imeisha mapema Sana.Nilivyoona tu ile video haina ngono zaidi ya mabusu ambapo Ni Jambo la kawaida katika relationship ukizingatia hiyo video inaonesha binti ndio anamzimikia Rayvanny na yupo happy na akimkiss mwamba nikaona hapo kesi haipo lakini nyinyi mkaaminishwa eti video Ina uchafu lengine huyo binti anasoma elimu ya watu wazima private candidate (Imformal education) hayupo kwenye student government system ( Formal education) baada ya kufeli form iv nikapigia kabisa Jibu mstari
Slowly
Katoka kilaini sana yani..lol
 
Haha harmo si atapasuka huko aliko
🤣
Katoka kilaini sana yani..lol
Unajua missyrose sometime ukiwa hauna elimu na maarifa inakuwa hasara kajala akili Hana plus bwana wake kondeboy yeye anaongozwa na chuki zake binafsi na ndio alikuwa ana mjaza Kajala ujinga yaani kiufupi wote wamekutana vichwa maji alafu wajuaji kumbe haya mambo hayaogozwi kwa hisia Bali kwa taaluma na maarifa badala yakupata kwanza muongozo au Ushauri wao wamekurupuka kwenda polisi madhara yake ndio haya na wabongo walivyokuwa wanafiki baadhi ya watu walikuwa wanawaunga mkono wataanza kuwageuka.Kama nae Rayvanny angekuwa mjanja hawafungulie kesi ya kumchafulia brand yake anatashinda kesi mapema.
 
,[emoji10][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tz ni full of dramaa ivi anajuaa maana ya mtoto mdg huyu hana ata aibuu du!! Watoto wadgo wanafanya unayo yafanya,,. Mtoto mdg unafiga matataa vile nyambafuuu
 
[emoji15][emoji15][emoji15] Noma... [emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211] acha nimuachie zigo lake mkuu Slowly
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jomoneeeh kumbe ni hilo tyuuh, vipi huna lingne la kutaka kujua kuhusu mie? Ili uwe na uhakika plus ushahidi.
 
Back
Top Bottom