RC Adam Malima: Yanga ina mashabiki wengi kuliko Simba

RC Adam Malima: Yanga ina mashabiki wengi kuliko Simba

Tulia wewe dogo..taratibu wewe...kwani aliyeahidi milioni 10 ametamka kuwa wawavunje miguu wachezaji wa Simba?! Hivi hukuona ile kungfu ya Kennedy Juma alivyomrukia mchezaji wa Biashara? I'll ilikuwa ni straight red card...lakini alipopigwa kiwiko huyo Kennedy Juma ndiyo red ikatoka...au hukuona msimu uliopita namna John Bocco alivyotaka kumvunja mguu Mukoko? Umesahau ya Chama alipomkanyaga Fee Toto kutaka kumvunja mguu? Na vipi kuhusu Wawa alipotaka kumvunja mguu Ditram? Wachezaji wote hao wa Simba hawakupata red Wala njano kwa kungfu hizo...acheni kulialia nyie...
kennedy aliahidiwa na nani? usijifanye hujui kwamba hela za magodoro zina maagizo maalumu ya kuvunja wachezaji wa simba viungo vya mwili, we are watching you fools.sababu mpira ushawashinda mmebaki u mafisoso wa kitoto
 
kennedy aliahidiwa na nani? usijifanye hujui kwamba hela za magodoro zina maagizo maalumu ya kuvunja wachezaji wa simba viungo vya mwili, we are watching you fools.sababu mpira ushawashinda mmebaki u mafisoso wa kitoto
We are also watching you...ila tunafarijika na Jambo moja ...Simba mmesnza kulialia mapema na kulalamika Kama ilivyokuwa ikifanya Yanga misimu mitatu minne iliyopita...misimu hiyo Simba ilijipanga kweli kweli ndani na nje ya uwanja...this time 6anga nayo imejipanga ndani na nje ya uwanja...Simba kwa sasa hakuna kelele za 4G Wala nini...kwenye ligi raundi ya Yanga itaibanjua Simba 2-0 na kwenye raundi ya pili 3-1...mark my words...na hifadhi comment hi..
 
Tofautisha kuwapa pesa wachezaji kama pongezi baada ya kushinda mechi na kuwaahidi pesa kabla ya mechi kukamia timu fulani na ikibidi kuwaumiza kabisa.

Halafuuuu mbona hizo ahadi ni pale Simba inapocheza na timu nyingine na hizo timu haziahidiwi na hao wakuu wa mikoa zikicheza na timu nyingine,au nyinyi ni vipofu hamuoni hayo eeeh?

Tff hawawezi kufanya upuuzi huo kam una ushahidi uweke wazi tuokoe soka letu,au la hiyo ni mihemko yako tu.

Yaani Mo ampe kesi Manji halafu baadae tena atekwe,kweliii?

Halafu hata hivyo mbona hamkusema kipindi hicho kuwa Mo ndio kapelekea Manji kufanywa vile unakuja na hoja ya kindezi hii leo,kweli??Mo ana nguvu hizo kweli au umefilisika kwa hoja jibaba?

Haya,Mara Kikwete mara sijui nani utawataja wote wahujumu wa Simba hapa,hujaulizwa unajaa mwenyewe.
Acheni ushabiki uchwara maagizo yalitoka Tena kupitia tff


Tena kabla ya mechi!!

Azam pia walipewa maelezo waikazie yanga

Huu utoto anao Simba ndio maana unamrudia analia Lia.
 
We are also watching you...ila tunafarijika na Jambo moja ...Simba mmesnza kulialia mapema na kulalamika Kama ilivyokuwa ikifanya Yanga misimu mitatu minne iliyopita...misimu hiyo Simba ilijipanga kweli kweli ndani na nje ya uwanja...this time 6anga nayo imejipanga ndani na nje ya uwanja...Simba kwa sasa hakuna kelele za 4G Wala nini...kwenye ligi raundi ya Yanga itaibanjua Simba 2-0 na kwenye raundi ya pili 3-1...mark my words...na hifadhi comment hi..
Endeleeni kufarijika sana ila nawaonea huruma sana dodoma jiji juzi usiku kuchwa wamewekwa kikao wanasutwa hadi wanalia kisa ilivyotoka habarti kwamba wachezaji hawajavunjika vizuri wamesalimika, maboss wa dar es salaam wamenuna, posho zinahamishiwa next match na dau limepanda hadi milioni 50 atakayefanikiwa kumtia mtu ukilema anapata bonus
HONGERENI sana utopwinyo, hakuna mtu mwenye muda wa kuhifadhi maneno ya kijinga focus kwa sasa ni kuingia group stages za CAF tuendelee kukusanya points za maana za CAF siyo kutolewa rounds za awali
 
Kwakuwa hakuna takwimu rasmi kwamba Nani ana mashabiki wengi Tanzania basi tuangalia takwimu za mitandao ya kijamii Nani anaongoza kuwa na followers wengi maana technology hasa Mambo ya digital hayadanganyi ,maana fb followers wa Simba ni Mara mbili ya Yanga ,Instagram followers wa Simba ni Mara 3 ya Yanga ,na Twitter followers wa Simba ni zaidi ya Mara 4 wa Yanga.
Unachekesha kweli kwahiyo Manchester na Madrid Nani ana washabiki wengi?
 
Acheni ushabiki uchwara maagizo yalitoka Tena kupitia tff


Tena kabla ya mechi!!

Azam pia walipewa maelezo waikazie yanga

Huu utoto anao Simba ndio maana unamrudia analia Lia.
Usikwepe hoja ,kwa nini maagizo ya sasa hivi ni kutia ukilema wachezajiw a simba ni roho gani za kishetani hizo? mnawaogopa kiasi hiko hadi mnatumia hela wapate u kilema? mbali na mpira kumbukeni wana familia zinawategemea si bora mkahonge marefa kuliko kuhonga wapinzani wawavunje viungo vyao?
 
Endeleeni kufarijika sana ila nawaonea huruma sana dodoma jiji juzi usiku kuchwa wamewekwa kikao wanasutwa hadi wanalia kisa ilivyotoka habarti kwamba wachezaji hawajavunjika vizuri wamesalimika, maboss wa dar es salaam wamenuna, posho zinahamishiwa next match na dau limepanda hadi milioni 50 atakayefanikiwa kumtia mtu ukilema anapata bonus
HONGERENI sana utopwinyo, hakuna mtu mwenye muda wa kuhifadhi maneno ya kijinga focus kwa sasa ni kuingia group stages za CAF tuendelee kukusanya points za maana za CAF siyo kutolewa rounds za awali
Ulichoandika hapa ni propaganda za kitoto..kumbe najadiliana na mshabiki maandazi...eti walie kwa kuwa wachezaji wa Simba hawakuvunjika sawasawa.?! Hizi ni hoja na propaganda za kitoto kabisa...hovyo kabisa...
 
Usikwepe hoja ,kwa nini maagizo ya sasa hivi ni kutia ukilema wachezajiw a simba ni roho gani za kishetani hizo? mnawaogopa kiasi hiko hadi mnatumia hela wapate u kilema? mbali na mpira kumbukeni wana familia zinawategemea si bora mkahonge marefa kuliko kuhonga wapinzani wawavunje viungo vyao?
Mkuu gani wa mkoa amewaagiza wachezaji wavunje wachezaji miguu

Acheni kulia Lia chezeni mpira.
Niletee clip ya mkuu wa mkoa akiagiza wachezaji wavunjwe.
 
Mkuu gani wa mkoa amewaagiza wachezaji wavunje wachezaji miguu

Acheni kulia Lia chezeni mpira.
Niletee clip ya mkuu wa mkoa akiagiza wachezaji wavunjwe.
Narudia tena hakuna ushetani kama kuagiza wachezaji wa team pinzani wavunjwe miguu pua kisa umetoa laki tatu kwa kila mchezaji hakika njaa ni kitu kibaya sana, kam aunajiamini toa hata milioni 500 achan ana maagizo ya kuhakikisha simba kila mechi wavunjike wachezaji wawili HUO NI USHETANI na nyie mnaosapoti binadamu wenzenu wavunjwe makusudi kisa wana talent kubwa na mna hasira ya ubingwa miaka 4 ni mashetani pia
 
Narudia tena hakuna ushetani kama kuagiza wachezaji wa team pinzani wavunjwe miguu pua kisa umetoa laki tatu kwa kila mchezaji hakika njaa ni kitu kibaya sana, kam aunajiamini toa hata milioni 500 achan ana maagizo ya kuhakikisha simba kila mechi wavunjike wachezaji wawili HUO NI USHETANI na nyie mnaosapoti binadamu wenzenu wavunjwe makusudi kisa wana talent kubwa na mna hasira ya ubingwa miaka 4 ni mashetani

Narudia tena hakuna ushetani kama kuagiza wachezaji wa team pinzani wavunjwe miguu pua kisa umetoa laki tatu kwa kila mchezaji hakika njaa ni kitu kibaya sana, kam aunajiamini toa hata milioni 500 achan ana maagizo ya kuhakikisha simba kila mechi wavunjike wachezaji wawili HUO NI USHETANI na nyie mnaosapoti binadamu wenzenu wavunjwe makusudi kisa wana talent kubwa na mna hasira ya ubingwa miaka 4 ni mashetani pia
Mwaka huu kila kitu mtasema
 
Mwaka huu kila kitu mtasema
sasa ile hela ya dodoma imerudi kwenye magodoro au? maan ule msuto usiku ule siyo wa kitoto mababa mazima yakatoa chozi kisa yamekosa milioni 10 ingebaki hata pale basi imwagilie ule uwanja
 
Real Madrid ina mashabiki wengi wa nchi za America kusini
Manchester ina fans milio 650 wakati Madrid in fans 320 hivi

Wakati kwenye social media Madrid ana fans wengi zaidi kuliko Manchester

Kwahiyo hoja yako kwamba kuwa na fans wengi kwwny mitandao ndio kuwa na washabiki wengi umeingia chaka.

Kuna watu ni fans ila hawana habari na mitandao yenu hii.
 
Tupo tunajiandaa kwa ajili ya kutoa dau kwa coastal union kama wakimfunga simba au wakitoa hata sare
 
Acheni ushabiki uchwara maagizo yalitoka Tena kupitia tff


Tena kabla ya mechi!!

Azam pia walipewa maelezo waikazie yanga

Huu utoto anao Simba ndio maana unamrudia analia Lia.
Huna ushahidi unabaki kuropoka ropoka tu ndugu,ila ushahidi wa RC's ni dhahiri kabisa hauna chenga kuwa unawabeba nyie utoo,mnabebwa na hela za kuwahonga wapinzani wetu watukazie,na ndio maana sio ajabu mechi yetu moja wachezaji wetu 3 wanatolewa nje kabisa kwa kuumizwa,ingekuwa Yanga na mechi zijazo mngeshapiga mikwara ya kuua marefa au kutoingiza timu uwanjani
 
Hawa ndio aina ya mashabiki wa simba. Kupanic ndio mtindo wenu wa maisha. Umeongea mengi lakini hamna kitu,mpaka unatamani ukajitupe mtoni. Simba hii hii ndio unataka kuifia?. Pole sana. Kuja kujistukia tayari utakuwa uko mirembe.
Nini umeandika Sasa. Umejibu hoja ipi Sasa.

Wakat mwingine muwe mnakaa tu kimya.

Wee pumbavu nionyeshe mahali tff waliwahi kutoa takwimu za idadi ya mashabiki wa simba au yanga. Acha wenye akili wafikiri au wajibu,we Ni shabiki tu maandazi.

Kila anaeenda mechi ya namungo basi ni shabiki wa namungo.Acha utoto na akili ugoro.

Una akili mavi wewe.
 
Back
Top Bottom