Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Covid 19 imeisha kwani?Makalla for presidency 2030!
Angeomba kumtoa Out piaWanakumbatianaje hivyo?
Pia ni mwanakitengo mzoefuMke wa PM mstaafu
Unakubali kumgusisha manyonyo yako huyo kisa nafasi duiiihhhu wanawake wa siku hizi oya oya sana si wakubwa wala wadogo tofauti na mama zetu wa enzi hizoWanakumbatianaje hivyo?
Hiyo ni 'Isidingo' tu.... kazi iendeleeAngeomba kumtoa Out pia
Hiyo ni 'Isidingo' tu.... kazi iendeleeAngeomba kumtoa Out pia
Naona watamnyanyasa mpaka aseme poh! Mama Mkurugenzi kaingilia maslahi ya watu na vocha(risiti) zao za shs 1,000! Mradi unamfahidisha hata Mayor!Meya aache ukanjanja.
Kwahiyo baada ya kumaliza tofauti zao watuambie ukweli sasa, nani alikuwa sahihi kati ya Meya na Mkurugenzi, afu hela zetu zirudishwe.
Afu naona Meya kambamba mke wa watu kwa mahaba yote.
sina chama,!Huu i uungwana nimeukubali.!!Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amemaliza sintofahamu ya uongozi wa manispaa ilijitokeza Kati ya meya manispaa ya kinondoni Ndg Songoro Mnyonge na mkurugenzi wa manispaa Spora Liana.
Utatuzi wa mgogoro huo umefanyika leo katika kikao Cha pamoja kilichoitishwa leo na mkuu wa mkoa na kuwakutanisha meya na mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni.
Mkuu wa mkoa amewataka viongozi hao kurejea ofisini na kufanya kazi kwa pamoja, kutekeleza miradi ya maendeleo na kutatua kero za wananchi.
Kwa upande wa Meya na mkurugenzi wamemaliza tofauti zao na wamehaidi kufanya kazi kwa pamoja kwa maslahi mapana ya wananchi.
View attachment 1792517View attachment 1792518View attachment 1792519
View attachment 1792521
Zaidi tazama: Video: Malumbano kati ya Meya Isaya Mwita na Mkurugenzi wa Kinondoni Sipora Liana
Swali sahihi!Mmejuaje mgogoro umeisha?
Hivi huyu Spora si ndio kipindi kile aliwachoma akina Kangi Lugola et al walivyomuomba rushwa...