RC Amos Makalla amaliza mgogoro wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni

RC Amos Makalla amaliza mgogoro wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni

Meya aache ukanjanja...

Kwahiyo baada ya kumaliza tofauti zao watuambie ukweli sasa... nani alikuwa sahihi kati ya Meya na Mkurugenzi.... afu hela zetu zirudishwe...

Afu naona Meya kambamba mke wa watu kwa mahaba yote...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Makonda kaikarabati ofisi leo anaiona kwa tv [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kazi nzuri na Mwanzo mwema kwa Mkuu wa Mkoa mwana Simba SC ' Kindakindaki ' Mwenzangu na Mdau Mwenzangu wa Miziki ya Congo ( Misebene ) hasa Bendi yetu pendwa ya Wenge Musica BCBG Ndugu Amos Makalla.

Sina wasiwasi nae Kiuongozi kutokana na Historia yake na najua huu Mkoa atauweza na atapata Ushirikiano wetu wote wana Dar es Salaam tofauti na ilivyokuwa kwa Mpuuzi Mmoja aliyekosa Kura za Maoni za kutosha ndani ya CCM ili agombee Ubunge Jimbo la Kigamboni.

Ila nimeshtushwa kidogo katika hizi Picha namuona Bwana Songoro ' amemuhagi ' Bi. Spora katika hali ya ' Kimahaba ' kabisa tena huku kama vile ' akijibebisha ' Mabegani Kwake na akiwa na Furaha ya 100% na ya Mwenzake Kisaikolojia ikionekana ni ya 50% tu.

Huenda 'Ugomvi' wao ni wa Kibaiolojia.
[emoji2960][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Cheo cha Mkurugenzi kifutwe. Miji iongozwe na mameya.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amemaliza sintofahamu ya uongozi wa manispaa ilijitokeza Kati ya meya manispaa ya kinondoni Ndg Songoro Mnyonge na mkurugenzi wa manispaa Spora Liana.

Utatuzi wa mgogoro huo umefanyika leo katika kikao Cha pamoja kilichoitishwa leo na mkuu wa mkoa na kuwakutanisha meya na mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni.

Mkuu wa mkoa amewataka viongozi hao kurejea ofisini na kufanya kazi kwa pamoja, kutekeleza miradi ya maendeleo na kutatua kero za wananchi.

Kwa upande wa Meya na mkurugenzi wamemaliza tofauti zao na wamehaidi kufanya kazi kwa pamoja kwa maslahi mapana ya wananchi.

View attachment 1792517View attachment 1792518View attachment 1792519
View attachment 1792521


Zaidi tazama: Video: Malumbano kati ya Meya Isaya Mwita na Mkurugenzi wa Kinondoni Sipora Liana
Pigo kubwa kwa CHADEMA.......
 
Meya aache ukanjanja.

Kwahiyo baada ya kumaliza tofauti zao watuambie ukweli sasa, nani alikuwa sahihi kati ya Meya na Mkurugenzi, afu hela zetu zirudishwe.

Afu naona Meya kambamba mke wa watu kwa mahaba yote.
Mahaba kazini ,mgogoro imeisha mahaba kikazi yaendeleeee
 
Ilikua haina namna kuchagua kwenda kufanya kazi ingine au utimuliwe au kubalianane mnamapungufu wote kazi iendelee
 
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla ameanza kazi kwa kishindo

Mheshimiwa Makalla mapema leo amemaliza ugomvi uliodumu kwa muda mrefu kati ya Mstahiki Meya wa Manispaa Kinondoni Mheshimiwa Songoro Mnyonge na Mkurugenzi Bi Spora Liana

Viongozi hao wawili baada ya usuluhishi huo walishikana mkono na kuahidi kuchapa kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa Ilani ya CCM

Hongera sana RC Makalla

Kazi iendelee
 
Kazi ya kwanza.. na ilileta matatizo gani kwetu wananchi?..

Oyeeee

Lingine..

Kazi iendelee...
 
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla ameanza kazi kwa kishindo

Mheshimiwa Makalla mapema leo amemaliza ugomvi uliodumu kwa muda mrefu kati ya Mstahiki Meya wa Manispaa Kinondoni Mheshimiwa Songoro Mnyonge na Mkurugenzi Bi Spora Liana

Viongozi hao wawili baada ya usuluhishi huo walishikana mkono na kuahidi kuchapa kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa Ilani ya CCM

Hongera sana RC Makalla

Kazi iendelee
wenzio waliweka na picha wewe hujaipata?
 
Mkuu mpya wa Mkoa wa Dar es salaam Amosi Makalla ameanza kazi kwa kishindo

Mheshimiwa Makalla mapema leo amemaliza ugomvi uliodumu kwa muda mrefu kati ya Mstahiki Meya wa Manispaa Kinondoni Mheshimiwa Songoro Mnyonge na Mkurugenzi Bi Spora Liana

Viongozi hao wawili baada ya usuluhishi huo walishikana mkono na kuahidi kuchapa kazi kwa bidii na ushirikiano mkubwa ili kufanikisha utekelezaji wa Ilani ya CCM

Hongera sana RC Makalla

Kazi iendelee

Walikuwa wanagombea kututumikia wananchi?

Hawa walistahili kutumbuliwa. Kuwalea hao ni kukumbatia ugonjwa.
 
Hivi hawa viongozi hawaoni aibu, wanaweka sintofahamu zao mbele na kuacha kututumikia wananchi, walitakiwa wale viboko
Hawafai kabisa kuwa Viongozi! Magufuli angewafukuza wote!!
 
Back
Top Bottom