Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yeye mmeshampiga chini jumla?makalla for presidency 2030!
Kumbe nae ni ' Mbunye Lover ' sana pia?Ndio Mkuu
Kibondia maana mizuka iliwapanda ile mbaya 😂Kupigana Kibondia au Kibaiolojia Mkuu?
[emoji3][emoji3][emoji3]ugomvi wa mahabaTutafsirie tu hata kwa hilo kumbato, naona mmoja kakumbatia kwa mikono yote mwingine kakumbatiakwa mmoja, au labda aliogopa kushika kiuno cha wenyewe tumuache tu.
Kwa upande wa Meya na mkurugenzi wamemaliza tofauti zao na wamehaidi kufanya kazi kwa pamoja kwa maslahi mapana ya wananchi.
Nje ya mada.... natamani kujua safari ya mwisho ya mkono wa kulia wa Msahiki Meya 🤣
Hapo ni njaa zao wote wanaogopa kutumbuliwa hivyo wameamua kufunika kombe mwanaharamu apite lakini ndani ya mioyo yao ngoma bado mbichi wataishi kwa kuviziana tu.Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amemaliza sintofahamu ya uongozi wa manispaa ilijitokeza Kati ya meya manispaa ya kinondoni Ndg Songoro Mnyonge na mkurugenzi wa manispaa Spora Liana.
Utatuzi wa mgogoro huo umefanyika leo katika kikao Cha pamoja kilichoitishwa leo na mkuu wa mkoa na kuwakutanisha meya na mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni.
Mkuu wa mkoa amewataka viongozi hao kurejea ofisini na kufanya kazi kwa pamoja, kutekeleza miradi ya maendeleo na kutatua kero za wananchi.
Kwa upande wa Meya na mkurugenzi wamemaliza tofauti zao na wamehaidi kufanya kazi kwa pamoja kwa maslahi mapana ya wananchi.
View attachment 1792517View attachment 1792518View attachment 1792519
View attachment 1792521
Nini chanzo cha mgogoro..!? Na ulikuwa mgogoro kuhusu nini!?
Uvinza,sijui umenielewa?Nje ya mada.... natamani kujua safari ya mwisho ya mkono wa kulia wa Msahiki Meya [emoji1787]
Si unakumbuka kwenye ule ugomvi alimuuliza 'au una sababu nyingine'?Kazi nzuri na Mwanzo mwema kwa Mkuu wa Mkoa mwana Simba SC ' Kindakindaki ' Mwenzangu na Mdau Mwenzangu wa Miziki ya Congo ( Misebene ) hasa Bendi yetu pendwa ya Wenge Musica BCBG Ndugu Amos Makalla.
Sina wasiwasi nae Kiuongozi kutokana na Historia yake na najua huu Mkoa atauweza na atapata Ushirikiano wetu wote wana Dar es Salaam tofauti na ilivyokuwa kwa Mpuuzi Mmoja aliyekosa Kura za Maoni za kutosha ndani ya CCM ili agombee Ubunge Jimbo la Kigamboni.
Ila nimeshtushwa kidogo katika hizi Picha namuona Bwana Songoro ' amemuhagi ' Bi. Spora katika hali ya ' Kimahaba ' kabisa tena huku kama vile ' akijibebisha ' Mabegani Kwake na akiwa na Furaha ya 100% na ya Mwenzake Kisaikolojia ikionekana ni ya 50% tu.
Huenda 'Ugomvi' wao ni wa Kibaiolojia.
Hata akilijua sasa hivi Mzee hana madhara tenaMama Regina analifahamu na hili Mkuu?
Kwa mwanamke kutofikishwa summit ni kuonewa.Huyu mama nilivyosikiliza analalamika kuonewa na huyo Meya nikashangaa kumbe na Sipora nae anaonewaga.
Achana naoNje ya mada.... natamani kujua safari ya mwisho ya mkono wa kulia wa Msahiki Meya [emoji1787]
Acha wivu.Wanakumbatianaje hivyo?