Inaonekana mgogoro wao ni kimapenzi zaidi. RC alikuwa anasuluhisha mgogoro wa ndoa!🤣Nje ya mada.... natamani kujua safari ya mwisho ya mkono wa kulia wa Msahiki Meya 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana mgogoro wao ni kimapenzi zaidi. RC alikuwa anasuluhisha mgogoro wa ndoa!🤣Nje ya mada.... natamani kujua safari ya mwisho ya mkono wa kulia wa Msahiki Meya 🤣
Moyo wa mtu ni kiza totoroMzee wa mapicha tutafsirie hiyo unaonaje ndani ya mioyo yao kuna nini?
Yupi huyo? Yule Mcheza 'Kung Fu' sana?Mke wa PM mstaafu
Yupi huyo? Yule Mcheza 'Kung Fu' sana?
Kwa Kumbatio la Pichani naamini 100%.Inaonekana mgogoro wao ni kimapenzi zaidi. RC alikuwa anasuluhisha mgogoro wa ndoa!🤣
Monduli mojaYupi huyo? Yule Mcheza 'Kung Fu' sana?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nje ya mada.... natamani kujua safari ya mwisho ya mkono wa kulia wa Msahiki Meya [emoji1787]
Mama Regina analifahamu na hili Mkuu?Monduli
Monduli mojaYupi huyo? Yule Mcheza 'Kung Fu' sana?
Mkuu unataka kushika nyati sehemu za Siri?Mama Regina analifahamu hili pia Mkuu?
Hivi hawa viongozi hawaoni aibu, wanaweka sintofahamu zao mbele na kuacha kututumikia wananchi, walitakiwa wale vibokoMkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amemaliza sintofahamu ya uongozi wa manispaa ilijitokeza Kati ya meya manispaa ya kinondoni Ndg Songoro Mnyonge na mkurugenzi wa manispaa Spora Liana.
Utatuzi wa mgogoro huo umefanyika leo katika kikao Cha pamoja kilichoitishwa leo na mkuu wa mkoa na kuwakutanisha meya na mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni.
Mkuu wa mkoa amewataka viongozi hao kurejea ofisini na kufanya kazi kwa pamoja, kutekeleza miradi ya maendeleo na kutatua kero za wananchi.
Kwa upande wa Meya na mkurugenzi wamemaliza tofauti zao na wamehaidi kufanya kazi kwa pamoja kwa maslahi mapana ya wananchi.
View attachment 1792517View attachment 1792518View attachment 1792519
View attachment 1792521
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inaonekana mgogoro wao ni kimapenzi zaidi. RC alikuwa anasuluhisha mgogoro wa ndoa![emoji1787]
Leo nimejua kwanini Mzee anaugua pia.Monduli moja
Kupigana Kibondia au Kibaiolojia Mkuu?Hivi siku ile hawakupigana kweli!?
Nalog off
Tutafsirie tu hata kwa hilo kumbato, naona mmoja kakumbatia kwa mikono yote mwingine kakumbatia kwa mmoja, au labda aliogopa kushika kiuno cha wenyewe tumuache tu.Moyo wa mtu ni kiza totoro
wahuni wote haoMkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amemaliza sintofahamu ya uongozi wa manispaa ilijitokeza Kati ya meya manispaa ya kinondoni Ndg Songoro Mnyonge na mkurugenzi wa manispaa Spora Liana.
Utatuzi wa mgogoro huo umefanyika leo katika kikao Cha pamoja kilichoitishwa leo na mkuu wa mkoa na kuwakutanisha meya na mkurugenzi wa manispaa ya kinondoni.
Mkuu wa mkoa amewataka viongozi hao kurejea ofisini na kufanya kazi kwa pamoja, kutekeleza miradi ya maendeleo na kutatua kero za wananchi.
Kwa upande wa Meya na mkurugenzi wamemaliza tofauti zao na wamehaidi kufanya kazi kwa pamoja kwa maslahi mapana ya wananchi.
View attachment 1792517View attachment 1792518View attachment 1792519
View attachment 1792521
Huenda walikuwa wanapendana....Wanakumbatianaje hivyo?