RC Amos Makalla amaliza mgogoro wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni

Jamaniii wakati huu mgogoro wa Meyya na Mkurugenzi unarushwa hewani, mimi sikuwa na luku so simu ilizima, ninaomba mtanange urudiwe (In Mc Mboneka's Challenge)......... hahahaha dah Hongera sana Mh. Makala.
 
Meya aache ukanjanja.

Kwahiyo baada ya kumaliza tofauti zao watuambie ukweli sasa, nani alikuwa sahihi kati ya Meya na Mkurugenzi, afu hela zetu zirudishwe.

Afu naona Meya kambamba mke wa watu kwa mahaba yote.
Naona watamnyanyasa mpaka aseme poh! Mama Mkurugenzi kaingilia maslahi ya watu na vocha(risiti) zao za shs 1,000! Mradi unamfahidisha hata Mayor!
 
sina chama,!Huu i uungwana nimeukubali.!!
 
Huwezi kunioneaaaaa haki nilicheka mpaka wanasiasa lazima uwe mnafiki hapo ukute wako na kinyongo kama kawa kama Dawa. Mimi siwezi uanasiasa mambo ya unafiki I can't do it..
 
Huu mtanange bado mbichi mno na huenda ndio kwanza unaanza! Sababu no hizi hapa:-
1. Mifumo ya upigaji kwenye usafi, ujenzi na usambazaji wa stationaries uliokuwa unafanywa na vijikampuni vya madiwani na wenyeviti wa serikali za mitaa ilipigwa pini na huyu mama.
2. Zile posho za hovyo na rejareja walizokuwa wanalipana madiwani nazo zimefutiliwa mbali na huyu mama.
3. Zile staili za ajira za rejareja kwa kazi za muda mfupi kujazwa na ndugu na watoto wa madiwani kazipiga panga!
4. Wizi na ubadhirifu wa vifaa vya ujenzi na ujenzi usiozingatia value for money kausiriba vibaya kwani anazama Hadi site kuhesabu tofali, nondo, mbao na tofali!
5. Hataki ujazaji holela wa mafuta na car services zilizo nje ya budget.
Yaani siyo madiwani tu tu hawana furaha na Raha ya kazi Bali hata wafanyakazi wa kawaida hawahemi wakisikia sauti yake kwani anafanya account ya kila iitwayo Senti ya serikali lazima ipitie kwenye mkono wake na aihoji.
Mama kaja na mchumi wake kutoka anakokujua!
Hapa njaa lazima ihamie kwao maana ni kweli manispaa ya kinondoni ilioza kwa kuliwa na mchwa wa kila rangi ambao walifikia kiwango Cha kuwa untouchable na mamalaka zao za uteuzi!
Na Mimi nasema, akamatie hapohapo kwani kuwa mjumbe wa siasa wa ccm mkoa na diwani au meya siyo tiketi ya kufisidi Mali za halmashauri na serikali kwani walio wengi wanazibunya fedha za serikali na hata za force account zinazotokana na makusanyo ya halmashauri! Mama piga wezi hao!
 
Hivi huyu Spora si ndio kipindi kile aliwachoma akina Kangi Lugola et al walivyomuomba rushwa...

Alikwisha mtwisha fedha za TAKUKURU mbunge wa Bahi!!! Songoro asifanye mchezo na huyo mama ni chuma cha moto hata Mwendazake alimtambua!! Sio siri kuwa Kinondoni inajulikana kuwa ni chafu nchi nzima hivyo huyo Meya hawezi kuwa msafi!
 
Barabara ya Kinondoni Makumbusho kupitia Mwananyamala inakaribia mwaka sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…