RC Antony Mtaka kumsema Waziri mbele watoto umekosea. Kama watoto wakimdharau, watamheshimu nani?

Kwahiyo ikifika saa 9 hakuna kushika kitabu uwe nyumbani au shuleni? Haya ndio yalikua maagizo ya waziri? Kama haya ndio yalikua maagizo basi ni huu ni utopolo.
 
Najua huyu jamaa yangu hawezi kubaki ofisini ila ni kama katupiwa kagundu maana siyo kwa kuongea kule. Mpaka muda huu tuna kikao cha dharura kujadili ni nini kimempata rafiki yetu na mwana jamii wetu?
Wakimuondoa ndio watakuwa wanaizika ccm
 
Ameteleza kwa kusema ukweli! Binafsi nawakubali sana watu wanaosema ukweli.

Hayo mambo ya kubembelezana na kufichiana madhaifu, yalishapitwa na wakati.
Eti mtu kuongea ukweli anakosea Magufuli mwenyewe alikuwa akiwazalilisha tu mbona walikuwa hawasemi

Makonda, PolePole, Wakina,Gambo, happi na Sabaya walizalilisha watu wangapi?

Kwani waziri kuzalilishwa yeye sio MTU kama watu wengine?

Hawa watu hawajielewi kabisa

Wakina mollell mpaka walisema Mbowe anahusika na shambulio la lissu bila ushahidi ila mpaka Leo wapo offisini?

Nchi hii tuna watu wa ajabu sana
 
Mkuu wa mkoa kazungumza kama mwananchi wa kawaida.

Tunapowaambia katiba mpya ni muhimu mtuelewe tunaona mbali 100 miles kuliko nyinyi.
 
Prof. Ndalichako yupo sahihi. Maisha si kupekua karatasi tu, kuna maisha mengine na mtoto anapaswa kuyajua na kujifunza.
TATIZO LIPO KWENYE MUUNDO WA WIRAZA YA ELIMU KWA UJUMLA.
KADIRI YA MUUNDO WA SASA HATA DEO ANAWEZA KUMFOKEA WAZIRI NA DEO ASIFANYWE CHOCHOTE.
HAKUNA MUUNGANIKO BAINA YA WIZARA NA ELIMU YA MSINGI/SEKONDARI.
 
Una hakika watoto wa Mtaka wanasoma kayumba?

Yule alikuwa anatafuta sifa za kijinga kwa wananchi hata kama alikuwa na pointi, ila alivuka mipaka ya uwasilishaji wa ujumbe wake.
Lakini si kasema ukweli ?
 
Una hakika watoto wa Mtaka wanasoma kayumba?

Yule alikuwa anatafuta sifa za kijinga kwa wananchi hata kama alikuwa na pointi, ila alivuka mipaka ya uwasilishaji wa ujumbe wake.
Hiyo haihusiani na hoja yake hata kama watoto wake wanasoma private ila hoja yake ni kujari na watoto wa wengine wawe na muda wa kutosha kusoma ili wafaulu

Kuliko waziri ambaye hana uchungu huo
 
Umenikumbusha mbali sana DEO,miaka hiyo nikiwa mwalimuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani ambaye ataki analazimishwa? Pumbavu kweli ambaye hataki anaacha watoto wanataka kusoma

Acha upumbavu wako simiyu ya 2014 na simiyu ya 2021 kielimu zipo sawa? Kama sio sawa unajua ni kwanini?

Wewe najua Huyo waziri ni mkeo au mama yako toeni upumbavu wenu hapa
 
Mpuuzi mkubwa wewe.
 
Nilikuwa namheshimu sana lkn kwa hili,Hapana hata kidogo,Hat a kama Ana hoja lkn hawezi kutumia lugha ya kejeli,na kashfa kumkashifu kiongozi mkuu kama w azri. Suala la kusoma kwa ratiba ni la kisera.yeye analazimisha tu kutafuta kiki.
 
1 Dorothy Gwajima
2. Ndalichako
3. Mwigulu Nchemba
4. Prof Kitila
5. Prof Kabudi
6. Ndugulile.


Kwenye hiyo orodha tulipigwa waziwazi
Hasa huyo doroty gwajima, mollel, wapumzishwe haraka watu wanapuputika ka wizara imelala tu mbona ummy mwalimu alikuwa active kipindi kile na watu wakawa serious.
Huyo ndalichako si ndo alikuwa anakuja na mtaala wa historia mpya kwa kiswahili kuanzia la kwanza Hadi chuo kikuu wakati wanajua history ipo ka somo. Naona naye apunzishwe tu Kwa kweli
 
Kuna mtu amemfanyia uchawi Mtaka ili apigwe chini, siamini Kama Ni akili yake kuongea yale Mshana Jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…