RC Chalamila asema mjamzito anayegoma kununua gloves akajifungulie nyumbani. Hafai kuendelea kubaki madarakani

kwani hana ndugu na kwanini MNABEBA BEBA MIMBA HOVYO WAKATI HAMNA UCHUMI.


ALIYEWADANGANYA KUZAA NI SIFA NI NANI???

UZAZI WA HIVYO HATA MAKUZI YA WATOTO NI TIAMAJITIAMAJI NA MWISHOWE MNASHALISHA PANYA ROAD!!!
 
Na kama mumewe yupo na anamuhudumia si mjane?
 
Elimu ndio kuhusu Mifumo ya Serikali Kwenye Huduma ya Afya ya MAMA NA MTOTO 🐼
Sasa kama kaambiwa na wahudumu wa afya huko tangu clinic akawa haelewi huyo Chalamila ambaye sio mtaalamu wa afya ndo atampa elimu gani zaidizaidi😁😁😁

Huyo atakuwa KADA mwenzako kapewa za USO.Chalamila kagoma kupokea UMBEA🤝
 
Hakuna ukweli hapo. Labda kama na wewe ni jitu la hovyo. Wewe ni mgeni Tanzania? Hujui michezo inachezwa mahospitali? Kuna maana Gani serikali kutangaza kuwa kujifungua ni bure? Ni kweli tumefikia hatua ya kuishiwa gloves? Vp Kuna viongozi hapo? wananchi wamebebeshwa zigo la Kodi na tozo kwa lipi sasa kama hata gloves zinaisha? Nimegundua wewe ni shetani kama yalivyo mashetani mengine. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Alichoongea ndio uhalisia wenyewe ingawa lugha aliyotumia sio rafiki,

Wanasiasa ndio wanavuruga wanainchi, magu aliwahi kusema fyatueni tu huduma ni bure za kujifungua.
 
MAGUFURI aliwai kunukuliwa akiwaambia watu wa kigamboni Kama hawawezi kulipa 200tsh wapige mbizi..

Pia Ali waambia wafanyabiashara wa stendi ya MAGUFURI mbezi kuhusu KULIPIA 500tsh huduma ya choo AKA WAAMBIA WABAKI NA MAVI YAO TUMBONI😅🤣🤣 Kama hawana pesa KULIPIA huduma tajwa.

NB.
Mtu mweusi hapendi kuambiwaga ukweli..sijaona kosa la chalamila tatizo ni moja tu UMASKINI wa kipato wa WATANZANIA majority.
 
Mkuu million 60 unaona wengi
NI WENGI NDIO MAANA VIJANA HAWANA AJIRA NA WENYE AJIRA MISHAHARA MIDOGO!!!


NI WENGI NDIO MAANA MPAKA LEO HUDUMA ZA MSINGI KAMA AFYA NA ELIMU SIO BURE KAMA NENO BURE LINAVYOMAANISHA😁😁😁

NA SERIKALI IKIONA KUNAUPUNGUFU ITATENGA MPAKA FEDHA KULIPA WATU WAFYATUE,HAPO SASA NDO UNATAKIWA UJIFYATULIE WATOTO KADIRI YA NGUVU ZAKO ZA KUCHAKATA MBUSUSU!!!!

📌NA KWA TAARIFA YAKO AFRICA,HAIKO SIKU SERIKALI ITATENGA FEDHA KWAAJILI YA KAMPENI YA KUSHAWISHI WATU WAZALIANE😁😁😁🤗🤗🤗
 
Ni muda sasa tupendi UKWELI😁😁😁
 
Tatizo la Chalamili bangi zinamwendesha vibaya
 
kwani hana ndugu na kwanini MNABEBA BEBA MIMBA HOVYO WAKATI HAMNA UCHUMI.


ALIYEWADANGANYA KUZAA NI SIFA NI NANI???

UZAZI WA HIVYO HATA MAKUZI YA WATOTO NI TIAMAJITIAMAJI NA MWISHOWE MNASHALISHA PANYA ROAD!!!
Soma nilichoandika acha hisia zako kwenye masuala yanayohusu uhai. Hutaki kuzaa lkn unataka kuajiri watoto wa wenzio.
 
Yeye hajamwomba chalamila aende kumzalisha uwage unaelewa nikiamini Wewe ni nurse mzuri

Wanaccm wote wamepewa Namba za Viongozi Ili kuomba msaada wawapo na dharura

Hii nadhani Chalamila alijisahau na amekiuka kiapo chake Chamani

Haya mambo Wewe huwezi kuelewa ni ya Kichama Dola zaidi 🐼
 
mimi sio nesi mimi ni mhandisi wa jamii na ni jobless🤗 mimi nadhani nina uwelewa wa juu kukuzidi ndomaana nimakuhoji wewe kwa akili ya kawaida tu.

Wewe huna hoja ndugu yangu,wewe umechagua kusifia na kupindisha mambo hata yaliyo wazi. Yote hayo unawaza labda siku utapewa nafasi uwe kiongozi upande vietiiii😁😁😁😁
 
TATIZO NI CCM WALA SUO CHALAMILA
 
Soma nilichoandika acha hisia zako kwenye masuala yanayohusu uhai. Hutaki kuzaa lkn unataka kuajiri watoto wa wenzio.
WEWE UNAJIFANYA UNAUJUA UHAI SANA. UNAJUA MPAKA MIMBA INATUNGWA MBEGU ZA KIUME NGAPI ZIMEKUWA SURCRIFISED ILI MOJA TU NDO IKUTANE NA YAI LA KIKE🤗

📌MY FRIEND KWENYE HII DUNIA " SURVIVAL IS OF THE FITTEST"

#NO BODY GIVES SHIT ABOUT THE WEAK AND THE POORER!!!
 
Huyu alionywa sana ila ana mdomo sana hawezi kujizuia ni hulka yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…