Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa wakuu wa mikoa wa Mbeya na Dar es Salaam si ndio Bashiru alisemaa anaanza nao warudi shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa wakuu wa mikoa wa Mbeya na Dar es Salaam si ndio Bashiru alisemaa anaanza nao warudi shule
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nadhani kuna haja ya kuomba pambano la masumbwi na huyu Rc, ni mara ya pili sasa namsikia akitamba
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Daaaaaa ngoja nikaweke record ya kudundana na RC!!!!!
Yule alivyo lazima atajibu.Tumpe kipaza sauti RC Makonda tuone anasemaje kuhusu hili [emoji3][emoji3][emoji3]
Na huyo jamaa wa Mbeya alivyoambiwa hivyo na Bashiru akaenda pale NDC(National Defence College) kuongeza maujuzi,lkn naona bado hakijaeleweka.Hawa wakuu wa mikoa wa Mbeya na Dar es Salaam si ndio Bashiru alisemaa anaanza nao warudi shule
Shukrani ya mungu ni kumkufuru sasa,Ngoja tuone muda utasema
Huyu mkuu wa mkoa naona anapenda kuzichapa mtu mbili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app