RC Chalamila: Hatuwezi kuzuia bajaji kutumia barabara Kuu Mbeya

Leo tusio na usafiri chamoto tutakipata nauli za bukubuku hizi dah na nilishazoea 400 inanifikisha nyumbani.
Pole mkuu ila kwa kawaida mbeya inakosa hadhi ya jiji ka kukosa mpangilio wa vitu kama hivi

Saiz bajaji zinatoka mwanjelwa hadi mbalizi na zingne igawilo hadi mwanjelwa na zipo za mwanjelwa hadi stand kuu na majengo
 
Watu mnashindwa kuelewa kwamba watu wanaomiliki dala dala ni wachache na wapo vizuri kiuchumi, wanaomiliki bajaji ni wengi pia ndio wanyonge wenyewe ukiwafukuza wasitumie bala bala unataka wakale wapi?
 
Watu mnashindwa kuelewa kwamba watu wanaomiliki dala dala ni wachache na wapo vizuri kiuchumi, wanaomiliki bajaji ni wengi pia ndio wanyonge wenyewe ukiwafukuza wasitumie bala bala unataka wakale wapi?
Kikubwa wadau hamja helewa
 
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema hatozizuia bajaji kupita barabara kuu kwa kuwa na wao wanatafuta riziki za kutumia na familia zao...
Huyu anaafa Ukatibu Mkuu kwenye Chama. Japo sijajua Elimu yake
 
Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh. Chalamila amesema hatasita kuingiza barabarani mabasi ya JW, Polisi, Zimamoto, Mahakama na Magereza kubeba abiria endapo daladala zitaendelea na mgomo.

Chanzo: ITV habari

My take; RC Chalamila ana mamlaka hayo?

Maendeleo hayana vyama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…