Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndugu na makada wa CCM ndiyo huajiriwa kwenda kutajirika kwa njia za wizi wa mali za umma.Ndiyo maana mambo mengi ya serikali hayafanikiwi, kwasababu wengi ya waajiriwa hawajapata kwa uwezo bali connection