RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

Huyu ni mwe

Huyu ni. Mwehu,Wachaga ni watata pia,mbona kwao kumeendelea,
Kizungu na haiba ya watu inazuia vipi maendeleo ya mkoa?waziri wa tamisemi sio muhaya,katibu sio muhaya,wakuu wa mikoa waliopita sio wahaya,sheria zipo,kwanini hazifuatwi,katika kujenga stend,watu wa ccm walipinga kwa vile halmashauri ilikuwa chini ya upinzani,wakaweka figisu kibao!hapo kinacho kwamisha ni Siasa kuingilia maendeleo,ccm imefanya watu wawe kama mazombi,wapo tayari waishi kwenye shida mradi usijengwe kwa vile tu sifa zitaenda kwa watu wasio wa ccm!Siasa chafu za ccm ndio chanzo,meya anapanga miradi,inafanyiwa figisu na mkuu wa wilaya mkoa,kwa maagizo kutoka juu,
Nakumbuka yule mkuu wa wilaya somebody kinawiro yule aliyetoka.alizuia kabisa manispaa ya bukoba isihamishe stendi pale ilipo ( yaan iendelee ile ya matope) kupeleka kule kyakairabwa ambako walishaanza hata kujikusanya kuweka tiles..
Kisa ikiamishiwa kyakairabwa chadema watapata credit ya kuchaguliwa tena 2020...

Sasa 2020 ccm walishinda kwa nguvu lakin hadi leo 2022 hakuna ujenzi wowote...

It seems ccm wanapenda watu wa kagera wasipate maendeleo..
 
Hivi ukijengwa stand ndio maedeleo tayari??, ungezungumzia viwanda, vyuo vikuu hapo ningekuelewa.
Kinachotakiwa ni kuitisha development forum
na kualika wataalm wakafanya mawasilisho ya changzmoto na fursa zilizopo,na kuibua mjadala wenye lengo la kuweka mipango ya maendekeo endelevu kwa maslahi mapana ya mko wa Kagera.
 
Kagera iko mpakani mwa Uganda, Rwanda, Burundi lakini watu wa kagera kwaufupi wamelala sana wavivu
Kilichokuwa kinaleta maendeleo Kagera ni "nyarubanja", tangu nyarubanja ife na maendeleo yaliondoka. Hao walangira walipenda saana kuwatumikisha Wahangaza, Warundi, Wanyambo, na Wanyarwanda. Ni kama vile Wanyakyusa walivyokuwa wakifanikiwa kwenye kilimo kwa kuwatumikisha Wasafa na Wakinga. Baada ya huduma za hayo makabila kuondoka ukawa ndiyo mwisho wa kukua kwa maendeleo kwa kasi kwa Wanyakusa. Wahaya nao "fate" yao ni hiyohiyo, Kingereza kinngi huku majanga kwenye kazi.
 
Ukiwa na pesa unajenga nyumba nzuri, unasomesha watoto, unaishi vizuri kwa ujumla. Bukoba Wana sofa zote hizo, Sasa wewe unataka wafanye Nini kuona kuwa wanafanya kazi? Wachimbe madini na sululu Kama wasukuma na wakurya? Kazi hizo za manamba wameshazipita zamani Sana. Kazi za wasiosoma hizo , then you are right if that is the case kutowaona migodini na sululu
Siyo kweli kazi za manamba wamezipita. Asili mia 90 ya watanzania wa makabila yote kazi za manamba hawajazipita, na hii ni pamoja na Wahaya. Kisomo na kusoma kunakoongelewa mpaka leo ambapo tunadai Wahaya/Wachagga wamesoma hizo ni takwimu wakati tunapata uhuru. Sasa hivi mikoa inakaribia kuwa sawa, na hata huko BK siyo kila mtu amesoma. Zaidi ya asili mia 80 ya Wahaya hawajasoma kama ilivyo kwenye makabila mengine. Wahaya walidekezwa na huduma za sawa na bure za Warundi, Wahangaza, Wanyambo. Huduma hizi zilipopotea, maendeleo yalisimama. Labda warudishiwe "nyarubanja".
 
Alianza Nyerere kupeleka washenzi mkoa wa Kagera ili kukwamisha maendeleo ya mkoa, hiyo tabia haijawahi kuisha leo tunatafuta mchawi kwa maneno ya shombo.

Eti mara hii Wahaya leo wamekuwa laughing stock ya nchi!!
Jamani mbona mnamuonea Nyerere, wakati technocrats wengi wakati wa Nyerere walikuwa Wahaya?. Mchawi wa maendeleo ni ninyi wenyewe (Wahaya). Mnaukumbuka mvutano wa viongozi wenu kuhusu ujenzi wa soko? Kagasheki, et al, waligombana vikali kuhusu ujenzi wa soko na sjui iliishia wapi.
 
Siyo kweli kazi za manamba wamezipita. Asili mia 90 ya watanzania wa makabila yote kazi za manamba hawajazipita, na hii ni pamoja na Wahaya. Kisomo na kusoma kunakoongelewa mpaka leo ambapo tunadai Wahaya/Wachagga wamesoma hizo ni takwimu wakati tunapata uhuru. Sasa hivi mikoa inakaribia kuwa sawa, na hata huko BK siyo kila mtu amesoma. Zaidi ya asili mia 80 ya Wahaya hawajasoma kama ilivyo kwenye makabila mengine. Wahaya walidekezwa na huduma za sawa na bure za Warundi, Wahangaza, Wanyambo. Huduma hizi zilipopotea, maendeleo yalisimama. Labda warudishiwe "nyarubanja".
Hizo takwimi za 80% ya wahaya kutosoma umezitoa wap?
 
Kagera iko mpakani mwa Uganda, Rwanda, Burundi lakini watu wa kagera kwaufupi wamelala sana wavivu

Sijawahi kuona mpakani watu wanalala maajabu haya

Kufungua biashara na kufanya kazi 24/7 ndio duniani wanashindana hivyo ingawa miaka ya nyuma sana hata wazungu walikuwa wanafungua maduka siku 4 tu kwa wiki ila Wahindi wakawafundisha namna ya kufanya kazi walipoona muda mchache tu wameisha nunua nyumba na wanatembelea Benz

Sasa ndugu zetu hapo masifa kibao ila maendeleo zero

Acha wapewe ukweli
 
Acha kuongea kama choko , kilimo cha kahawa na ndizi kimekuwa backbone ya huo mkoa tangu enzi za mkoloni CCM na ufala wao WA vyama vya ushirika wakaua biashara ya Kahawa , watu wanalima maelfu ya hekari ya Kahawa Kwa wingi bukoba vijijini kuvukisha hapo Tu Uganda ambapo BEI ni 2× / sometimes even 3× ya Tz unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi ,kufungwa na kufilisiwa mali zako ,BEI za vyama vya ushirika ni za kiseng£ kila mtu anajua na ni za kukopwa , malipo si Kwa wakati .
Ushirika hasa wa zao la kahawa umewainua saana Wahaya. Kumbuka ushirika na makanisa ndiyo ulihangia saana kusomesha Wahaya. Shule binafsi pamoja na kugharimia karo kuliwafanya Wahaya wengi kupata elmu. Kama ni ushirika kufa mjilaumu wenyewe Wahaya. Ushirika uliendeswa loally kila sehemu. Kama mliuua ushirika mjilaumu wenyewe.
 
Hizo takwimi za 80% ya wahaya kutosoma umezitoa wap?
Labda ningeongeza kwa kusema ninamaanishha kuhitimu chuo. Maana elimu yenye manufaa TZ inaanzia kuhitimu chuo, kumbuka hayo ni makadirio ya nchi nzima, tena huenda yako juu.
 
Inyi nshomile fomu foo na ngambo tukakwenda .......
Ndiyo hayo sasa Chalamila hayataki
 
Kingereza kinazuiaje maendeleo?

Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..

NimeYaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Binafsi nimemwelewa..kamaanisha mbwembwe nyingi na hawatak kuamka kiakili wanajikuta wako mbele by far ..wala sio kejeli ni kweli
 
Kabla ya kulaumu ni bora ufanye research kwa nini hali iko hivyo...

Watu baada ya kutafuta solution wanabeza personality, makabila nk ...serikali ambayo iko responsible kuleta maendeleo ya mkoa kwa sababu inachukua kodi ndo ya kwanza kwa kejeli na matusi...

Kuna professor mmoja juzi alisema " linapokuja suala la maendeleo ya mkoa wa kagera ambayo ni ya umma...serikali inajitetea kwa kuattack wahaya as wahaya wana serikali yao..lakin mikoa mingine no one cares about kabila"


Lakin hio simiyu sijui geita kote umaskini mtupu tena bora kagera kuna tatizo la miundombinu ya umma lakin maendeleo ya mtu mmoja mmoja yako vzr tazama hata makazi ya watu huko vijijini..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ndo haya anayosemea Rc ...umeanza kupinga na huku bk panajulikana ...acha kufananisha hiyo mikoa na bk mkuu
 
Mengine wanaamua kuzusha , labuda alinunua ekibanja cya watu.
Kesi za ardhi ziko kira sehemu Tena maeneo ya Ilinga wilaya ya kilolo wanauza mara mbirimbiri.
Mini mingi inayo kua katikati imeedelea kudumaa , hii sio kwa kagera TU. Hata Njombe Iringa , nenda Manyara.
Una uandishi murua
 
Kwa hiyo kujua kingereza kunazui Bukoba kujengwa stendi ya kisasa...

Stendi za dom, dar, nk zimejengwa kwa sababu watu wake hawajui kingereza...


CCM haipendi wasomi na watu wa kureason Ndo maana inapata shida sana kagera
Dah kweli kabisa hapo.....yaani Kagera kwa sababu wanaongea sana viingereza ndo maana stendi kuu ya mabasi ni mbovu Ila ya Dodoma ni nzuri kwa kuwa wanaongea kiswahili.

Sasa sijui lugha ina mahusiano gani na maendeleo ya mkoa husika. Yaani kweli tunaongozwa na vilaza wasiofikiria vya kuongea wao kwuta kuropoka.
 
Kingereza kinazuiaje maendeleo?

Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..

Yaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Acha ubishi wee Nshomile.
 
Back
Top Bottom