RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!

Mnyalu mwenzangu hebu punguza ushamba aisee, unatuaibisha....your status doesn't suite your word selectiveness!
Grow, Learn, Lead (GLL)!
 
Kuna nyakati, nadhani, Mzizima huhitaji viongozi 'wangu wangu' kama hivyo... yaani mtu wa dakika mbili mbele.

Anakwambia akichukiaga anamwaga ngumi kweli kweli, na hujakaa sawa keshakuchomolea 'mkwaju' . πŸ˜„

-Kaveli-
Mimi nasema wote wakuleta vurugu jijini wachapwe tu ngumi
 
Chalamila anakupasua wewe, akikudaba anakutandika knock out kama mandonga.
 
Dah!.... viongozi hao...
 
kwa hiyo hata rais hawezi kumfanya kitu au anamaanisha nini?
 
Mbona inajulikana kitambo hiyo saa mshale wa majira unarudi nyumba...🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…