Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Website ipi bro#Hata hivyo mbona ukifungua mitandao hiyo kupitia website yoyote ile inafunguka na maisha yanaendelea kama kawaida
Nawapongeza sana serikali, uhuru bila mipaka ni upumbavu. Kuna vibaraka walikuwa wanasubiri wakusanye taarifa bandia wawatumie mabwana zao sasa sindano imechoma kunako wanatapatapa.
Huyu mpuuzi anaongea nini? Anyamaze tusije mvunjia heshima.
Hivi huyu jamaa ni daktari wa nini?
Empty up stairs, -ve argumentation,RC Chalamila amesema kutoweka hewani kwa mitandao ya kijamii kusihusishwe na uchaguzi kwani ni kawaida mitandao hiyo kusumbua bila kujali matukio.
Maendeleo hayana vyama!
Mgonga wa kienyejiHivi huyu jamaa ni daktari wa nini?
Hapo ndo kunatofauti ya vijana wa ccm na chadema , ccm hawana maneno mengi sasa hivi wapo vituoni wanapiga kura ila vijana wengne wapo mitandaoni wanatafuta updatesSerikali ni nani?