Uchaguzi 2020 RC Chalamila: Mitandao ya kijamii kutoweka hewani hakuhusiani na uchaguzi, huwa inatokea wakati wowote

Uchaguzi 2020 RC Chalamila: Mitandao ya kijamii kutoweka hewani hakuhusiani na uchaguzi, huwa inatokea wakati wowote

RC Chalamila amesema kutoweka hewani kwa mitandao ya kijamii kusihusishwe na uchaguzi kwani ni kawaida mitandao hiyo kusumbua bila kujali matukio.




Maendeleo hayana vyama!

Maneno kama haya kama hayakufanyi wewe mtanzania uhamaki basi sijui wewe ni mtu wa aina gani. Yaani mtu anadanganya jamii kama anadanganya watoto wake wadogo! Ni wakati gani ilipotokea mitandao ya kijamii kutokuwepo hewani kwa muda mrefu kama huu na kwa watumiaji wengi?
 
Hilo sio suluhisho.
Kwanini wafunge?
Ndo hoja ya msingi.
Kila mtandao wa kijamii una APP yake.
Ukifungia app take jua umedisconnect
Hata hivyo mbona ukifungua mitandao hiyo kupitia website yoyote ile inafunguka na maisha yanaendelea kama kawaida
 
Ndio Shida ya Vyeo vya kupewa huwezi kuongea HAKI wala kutenda HAKI utaongea ili kumfurahisha aliyukuhonga cheo
 
Asante kiranja kwa kuhariri kichwa cha hii porojo, ilikuwa upotoshaji.
 
RC Chalamila amesema kutoweka hewani kwa mitandao ya kijamii kusihusishwe na uchaguzi kwani ni kawaida mitandao hiyo kusumbua bila kujali matukio.




Maendeleo hayana vyama!

Maendeleo hayana chama.

A2E667F4-62D8-42AC-A51D-FCF5846946BC.jpeg
 
Huyo mtu ni bogus sana, TCRA wameshatoa agizo kwa vyombo husika halafu huyu mjinga anakuja humu kutusanifu.

Serikali ya shirikisho ije haraka hawa kaluganzila Magufuli akawaajiri kwake wawe wanamfagilia banda la kuku maanake hawana sifa ya kuwa viongozi.
 
Wengine mpaka wakapimwe Milembe but huyu ukimwangalia usoni tu utagundua tatizo lake
 
Sasa mnapoitwa Wadanganyika ,muliewe hilo, viongozi wetu hawaoni aibu kusema uwongo
 
Back
Top Bottom