Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
AFUTE KWANZA MISIKITI YAKE.RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Nawatakia Sabato Njema ๐๐
Sasa Ndani ya Kanisa angeusamaje Msikiti?Kwa akili gani alizonazo mpaka atoe hoja ya maana. Lakini ameogopa kuusema msikiti kwa sababu ni dini ya anayempeleka chooni
Kabla hajafunga makanisa, yeye na CCM yake watakuwa wameshafungwa saa nyingi. Chalamila ana mdomo mrefu utadhani hondo-hondo?! We mtu mzima, jaribu kuomba hekima kabla ya kuongea. Kiongozi unapoongea kwa kubwabwaja hivyo unadhalilisha mamlaka ya uteuzi ujue!RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.
Nawatakia Sabato Njema ๐๐
Ona sasa akili zenu zilivyo finyu. Kwahiyo mnategemea wazungu ndio wawafikishe mbiguni? Au ile dhana ya kusema mnaabudu freemason ina ukweli ndani yake?Yatafungwa yote ila sio la ROMAN CATHOLIC kauli moja tu kutoka vatican nchi huanguka wafalme husujudu
Not even the mighty US can dare do that shit.HEBU AJARIBU KUFUTA MAKANISA TUONE.
Huyu mjinga anadhani watu wanaogopa? kwa technolojia ya leo watu wanaweza kusali kwa you tube. Pumbavu kweliRC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.
Nawatakia Sabato Njema ๐๐
Yeye anachowaza ni mshahara mnonoKama kweli huyu ni Mkatoliki tutamfungia Sakramenti zote. Misingi ya Kanisa inafahamika atunze kiapo chake cha Ubatizo wake aliitamka Kanuni ya Imani.
Kufungia taasisi za kidini ni kuamsha vita isiyo na kikomo.RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.
Nawatakia Sabato Njema ๐๐
Haka KABULSHUTI kama mimi kana bore sasa. Sijuwi Ukuu wa Mkoa wa Dar huwa unawadatisha watu?!RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.
Nawatakia Sabato Njema ๐๐
Hao ndio hawezi kabisaaaa,anawajua The Jesuits?Kavimbiwa madaraka,
Hebu AJARIBU kidogo KUFUTA RC TUONE mwisho wake.
Hivi huyu huwa anakunywa Pombe gani maana akili yake Ni yake peke yakeHuyo mlevi hana akili huyo๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Bhangi hazikufai mkuuYatafungwa yote ila sio la ROMAN CATHOLIC kauli moja tu kutoka vatican nchi huanguka wafalme husujudu
Ulanzi Mkangafu!Hivi huyu huwa anakunywa Pombe gani maana akili yake Ni yake peke yake