RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
AFUTE KWANZA MISIKITI YAKE.


HEBU AJARIBU KUFUTA MAKANISA TUONE.

NAONA AMANI.
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Kabla hajafunga makanisa, yeye na CCM yake watakuwa wameshafungwa saa nyingi. Chalamila ana mdomo mrefu utadhani hondo-hondo?! We mtu mzima, jaribu kuomba hekima kabla ya kuongea. Kiongozi unapoongea kwa kubwabwaja hivyo unadhalilisha mamlaka ya uteuzi ujue!
 
Yatafungwa yote ila sio la ROMAN CATHOLIC kauli moja tu kutoka vatican nchi huanguka wafalme husujudu
Ona sasa akili zenu zilivyo finyu. Kwahiyo mnategemea wazungu ndio wawafikishe mbiguni? Au ile dhana ya kusema mnaabudu freemason ina ukweli ndani yake?
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Huyu mjinga anadhani watu wanaogopa? kwa technolojia ya leo watu wanaweza kusali kwa you tube. Pumbavu kweli
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Kufungia taasisi za kidini ni kuamsha vita isiyo na kikomo.
 
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia.

Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote.

Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali.

Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi.

Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Haka KABULSHUTI kama mimi kana bore sasa. Sijuwi Ukuu wa Mkoa wa Dar huwa unawadatisha watu?!
Sisi wana Dar twataka awatafutie USAFIRI WA KUDUMU watoto wa shule za msingi na sekondari za kata..
USAFI wa Jiji uimarishwe..
Mitaro na barabara zihudumiwe..
Usalama wa raia..
Afanye HAYO na siyo kutupotezea muda kuongea mambo yaliyomzidi akili na KIMO!
 
Alivyotumbuliwa alikuwa anaenda kulia pale kanisani Kwa Mwamposa machozi,Leo keshasahau eti atakuja mtawala ataefunga makanisa,hata akifunga majenga Mioyo yetu ni makanisa imara....njaa mbaya sana
 
Back
Top Bottom