The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Wewe mwenye IQ kubwa mbona unapoteza muda wako kumjadili hapa? Au huelewi hata unachokiandika hapa?Kwa watu wenye akili ndogo kama wewe, lazima.umwone Chalamila ni super bright.
Watu kama ninyi kwa namna tu mnavyofanya arguments zenu, mnaweka dhahiri upeo wenu na uwezo mdogo.wa akili.mlio nao.
Lakini ukweli ni kwamba hakuna mtu ambaye ni serious super brain atapoteza muda wake na tje low IQ Chalamila.
Mpumbavu tu huyu akishavuta bangi zake anajiona Mungu. Amwambie hata huyu aliyepo ayafute makanisa aone moto wake. Katiba yenyewe inatoa uhuru wa kuabudu au kwa vile wamezoea kuibagaza katiba na kuiita kijitabuRC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]
Na tunasubiria huyo Rais mwenye uwezo wa kufunga nyumba za ibada ili injili isisonge mbele!! Tunamsubir kwa shauku kubwa!! Naona akina herode wanaanza kujitokeza!!RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Nawatakia Sabato Njema 😀😀
Unamkosoa RC au unapigia debe ulokole?Anaota huyo akaulize Idd Amin kilichomkuta hadi akapinduliwa uasi ulianzia kanisani baada ya kunyanyasa kanisa na kuua Askofu Luwun na viongozi wa dini kibao kuwa hataki makanisa anata kuislimisha Uganda kwa pesa na jeuri aliyompa Ghaddafi ya msaada wa pesa na kijeshi aue Ukristo.Uganda kilichomkuta Chalamila anajua
Hapo Zambia tu Raisi aliyepita Edgar Lungu alikuwa mnyanyasaji wa dini ndogo hakuna kama yeye alitaka dini wabaki wakatoliki tu makanisa mengine akiwafanyia kitu mbaya wakajiunga na kuanzisha harakati za kumtoa .Zambia sasa hivi ina Raisi Msabato Raisi Hichlema
Chalamila anaonyesha kalewa madaraka
Hapo alipoongelea kanisa la TAG sio watoto wadogo .Mjinga sana huyo.
Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliitoka hapo Mchungaji Dk Kipilimba , Spika wa Bunge Dk Tulia ACkson ni muumini wa TAG
Kiongozi mkuu wa Mahakama Professor Ole Gabriel ni TAG hivi anaelewa maana ya kufuta makanisa?
Kachoka uongozi huyo na sehemu aliyoongelea sio sahihi sana kwake kwa mustakabali wake wa kisiasa
Anamtishia nyau nani mjinga huyo
Mamie AbdulKatumwa na nani?[emoji848]
Ukiona mtu ana kichwa mithili ya mbegu ya ubuyu ujue ni hamnazoHuyo kichwa chake tu kinaeleza yeye ni mtu wa aina gani.
Asitupotezee muda kumjadili.
..Hivi ni nani aliyemleta kuja kuongoza mkoa wa Dar?
KabisaaaIfike wakati wanasiasa waache kuapa huku wakiwa wameshirikira vitabu ya dini,ashikirie katiba ya nchi na ilani ya vyama vyao.
Hakuna mwenyewe uwezo wa kufuta 'Kanisa'. Wanaweza kufuta hizo ministry wanazosajili kama saccos za wapigaji kama kina bulldozer au mzee wa upako lakini siyo 'Kanisa'.Yatafungwa yote ila sio la ROMAN CATHOLIC kauli moja tu kutoka vatican nchi huanguka wafalme husujudu
Haoni huko owenue ziara ya zRaidi juko Newala sasa hivi wameitwa viongozi wa diniKabisaaa
Tusiandikie mate na wino upo,mwambieni afute leo hii aone mziki wakeUjumbe umewafikia RC
Wewe umezoea kutumwa unadhani kila mtu anatumwa tu.Katumwa na nani?[emoji848]
TAG lina wafuasi wengi sana kwa sasa hapa nchini.Roman Catholic Church
Tanzania Assembly of God
Tofauti ni kubwa mno
Kanisa Moja Takatifu La Mitume [emoji3]
Ana akisi uwezo wa aliyemtuma kufanya hivyo,ukiona kobe juu ya mti ujue kapandishwa huyu hajakurupuka ametumwa.Chalamila inaonekana IQ, uwezo na upeo wake ni mdogo sana.
He is misfit for the position.
..Anaweza kutokea Mujahedeen akafunga Makanisa Yote, nimekuelewa!
RC Chalamila amewakumbusha Wananchi kutochanganya Dini na Siasa kwani Kanisa na Serikal ni Wabia
Chalamila Alikuwa akihubiri kwenye mkutano wa Kanisa la TAG na amewakumbusha kuwa Msajili wa Makanisa Yote ni Serikali hivyo ni vema wakalielewa hilo Siku zote
Chalamila amesema haipendezi kuona Kanisa linajiingiza kwenye Siasa na Kufanya Uchochezi kwani Utulivu wa Kanisa ndio Utulivu wa Serikali
Kanisa lisiwe kama vyama vya Siasa ambavyo baada ya kuruhusiwa Kufanya Mikutano badala ya kuhubiri Sera Zao wao wanaporomosha Matusi
Nawatakia Sabato Njema [emoji3][emoji3]
Kabla Kolola na Lazaro hawajavurugana ndio TAG ilikuwa Taasisi kubwa lakini baada ya Kulola kuondoka iligawanyika mno na Waumini Wengi wasiopenda ugomvi walioasisi ministry Zao lakini Wengi walipitia kwa Mzee Kulola baada ya Mwenisongole kuwa mkuu wa TAGTAG lina wafuasi wengi sana kwa sasa hapa nchini.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app